DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Philosophical jargons? Jitahidi kuacha kutafsiri kwanza vitu, elewa sana ujumbe kabla ya kujibu.

Fantasy gani? Maigizo gani na kwa faida ipi?
Unajua bana
Kama ambavyo wewe unaishi katikati ya jamii inayotukuza uzinzi na kuona usaliti ni normal way of Life, ndivyo na Mimi naishi kwenye jamii inayolaani uzinzi na usaliti kwa kuamini ndilo anguko la mwanaAdamu.
Uzinzi sio sawa

Uzinzi kutokua sawa sio eti ndio utakoma kwenye jamii yetu na hauondoki

Kama realist na sio mtu wa fantansy kama wewe,cha kujiuliza tunaishi nao vipi usiwe na madhara makubwa?

Sasa wewe unaleta propaganda,blah blah as if huo uzinzi ndio utakoma

Wewe mpiga makelele zinzi kama mazinzi mengine
Sijawahi ku cheat hata mara moja ndani ya hiyo miaka 14 ya Ndoa. Sio rahisi ila inawezekana na ninaendelea kuweza Alhamdulillah.
Zinzi wewe

Kadanganye majinga huko
Why nitake kuona upande uliojeruhiwa wa Mume wangu? Kwanini kwanza nimjeruhi? Kosa lake ni kuniamini na kunichagua kuwa mkewe?
Mbona hujamuacha?

Kwanini upo hapa kudanganya wanawake wenzio eti wawaache waume zao?

Huoni unavyowaonesha unafiki wako?
Ndoa sio jela wala adhabu. Ndoa sio lazima wala kifungo. Ndoa ni hiyari ya watu wawili.

Kama Ndoa ngumu achana nayo fanya mambo mengine.
Blah blah

Mumeo kachiti,hujamuacha?

Why?
Sijawahi kupata fununu, taarifa wala ushahidi wa mume wangu kucheat ndani ya Ndoa.

Kumbuka, mimi na mume wangu wote ni binaadam Kama wewe.
hahahaaaa

Yaani wewe dada,unafiki punguza

Eti mumeo wangu hajachiti

Like really?

Hebu kapigie mbuzi gitaa huko!
Kinachotutofautisha ni aina ya maamuzi tunayoamua kwenye maisha yetu na aina ya maisha tunayochagua kuishi kila siku.

Mume wangu ni kiumbe kinachojitegemea kimaamuzi Kama ilivyo mimi na wewe. Na Imani yangu na maono yangu juu ya maisha havimuathiri yeye bila yeye mwenyewe kukubaliana navyo. Anayo maamuzi yake Kama binaadam yeyote mwingine.
Yaani unavyojiongelesha kuhusu wewe na mumeo ni as if nyie ni masuper hero fulani hivi

Wehu nyie

Mumeo anakula pvssy kama wanaume wengine ushafuma msg mara za kutosha,na wewe occasionally unatiwa kama wanawake wengine,you cant tell me nothing

Women are full of sh1t kwenye sekta ya uongo kuhusu mahusiano,I cant fall for this innocent sh1t unasemea hapa

You are all full of it kama walivyo madada wengine

Na ndoa yenu imejaa purukushani kama za binadamu wengine wote

Yaani wewe dada ni mnafiki sana na muongo

Shostito Nancy kashikwa,panga limepita....

Cha msingi tumuonee huruma tu...ila sio tiketi ya wewe kujisafisha na kujiita malaika na mumeo,you are professional lier!
 
Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.

Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
Kama alikuwa mfanyakazi je?.........
 
Kwenye kampuni hapo kuna utata

Sio rahisi kama unavyotaka kusema

Share za mume kwenye kampuni inayofanya kazi mzee huwezi muingiza mwanamke kutoka tu gizani ukasema 50% ni yake

Shida ni kwamba kampuni nayo ni mtu

Na kampuni ipo live inafanya kazi,huwezi ivamia kampuni inayofanyakazi na kuivuruga eti useme 50% ni ya huyu maana yake unaiua hiyo kampuni

Sema kampuni kwa hiyari yao wafanye winding up mali ziuzwe wakawane

Au huyo mume auze share zake kwa hiyari yake ipatikane pesa hapo mwanamke labda ampe 50%

Hali inakua nzito zaidi maana ugomvi wa watu wawili unauhamishia kwa watu wengine (kampuni ni mtu)

Ukihamisshia huo ugomvi huko maana yake kampuni inakufa,hujasolve kitu

Kwa busara ya hakimu shares kama shares za kampuni inayofanya kazi hazigawanywi kama unavyotaka hapa

Na sio jukumu la hakimu kuua kampuni namna hii

Na sio jukumu la hakimu kuhamisha ugomvi kuupeleka kwenye kampuni inatakua hujasolve kitu hapo

Labda uniambia dividends zinazokuja kutokana na share hizo ndio wagawane hizo hela 50% 50%,sasa,dividends zinakuja lini kwenye kampuni binafsi?

Ukishaingiza makampuni kwenye migogoro ya ndoa binafsi unayaua na unaathiri waajiriwa mia kidogo

Sio rahisi kama unavyo onesha hapa eti kila kitu ni 50% 50% tu kirahisi namna hii
Mimi nazungumzia hisa za mume. Hizo ni sehemu ya assets zake. Ni kama nyumba ambazo anamiliki. Watalaka wanapaswa kukaa pamoja na kukubaliana namna haki ya mtalaka kwenye hizo hisa itakuwa realised. Anaweza kumpa sehemu. Anaweza kumlipa value ya shares ambazo watakubaliana kuwa anastahili. Hilo la dividends litatokana na hisa ambazo kila mmoja atakuwa anamiliki baada ya talaka. Hivyo kwa stocks ambazo anaweza kuwa anamiliki katika makampuni mengine.

Amandla...
 
Mimi naongelea from my own experience, mahakama ili iamue how much upewe ni lazima uthibitishe contribution yako.
Ndio namna Mahakama zinavyoshiriki katika dhulma. House wife ataupaje vipi thamani mchango wake? Nani anaweza kuupa thamani mchango wa wazazi wake? Hawa Mahakimu wanaumiza sana watu kwa sababu wengi wana sympathise na mfumo dume. Uonevu mtupu.

Amandla...
 
Philosophical jargons? Jitahidi kuacha kutafsiri kwanza vitu, elewa sana ujumbe kabla ya kujibu.

Fantasy gani? Maigizo gani na kwa faida ipi?

Kama ambavyo wewe unaishi katikati ya jamii inayotukuza uzinzi na kuona usaliti ni normal way of Life, ndivyo na Mimi naishi kwenye jamii inayolaani uzinzi na usaliti kwa kuamini ndilo anguko la mwanaAdamu.

Sijawahi ku cheat hata mara moja ndani ya hiyo miaka 14 ya Ndoa. Sio rahisi ila inawezekana na ninaendelea kuweza Alhamdulillah.

Why nitake kuona upande uliojeruhiwa wa Mume wangu? Kwanini kwanza nimjeruhi? Kosa lake ni kuniamini na kunichagua kuwa mkewe?

Ndoa sio jela wala adhabu. Ndoa sio lazima wala kifungo. Ndoa ni hiyari ya watu wawili.

Kama Ndoa ngumu achana nayo fanya mambo mengine.

Ndoa sio kwa ajili ya viumbe dhaifu vyenye kufuata matamanio ya miili yao na kuendekeza madhaifu yao na kuyapa majina eti nature mara sijui uanaume.

Ndoa ni Taasisi ya kipekee sana. Ndoa na iheshimiwe na watu wote.

Sijawahi kupata fununu, taarifa wala ushahidi wa mume wangu kucheat ndani ya Ndoa.

Kumbuka, mimi na mume wangu wote ni binaadam Kama wewe.

Kinachotutofautisha ni aina ya maamuzi tunayoamua kwenye maisha yetu na aina ya maisha tunayochagua kuishi kila siku.

Mume wangu ni kiumbe kinachojitegemea kimaamuzi Kama ilivyo mimi na wewe. Na Imani yangu na maono yangu juu ya maisha havimuathiri yeye bila yeye mwenyewe kukubaliana navyo. Anayo maamuzi yake Kama binaadam yeyote mwingine.

Experience za mahusiano yako na ya jamii yako sio experience zangu na haziwezi kuwa zangu.
Usijisumbue huyo Nancy Achana naye huyo ni muhuni wa kutupwa Ashafanya unamalaya sana hadi ndani kwa mume wake akisafiri wadada wa kazi wanaambiwa Waandae Achana naye huyu, hata kama Mwanaume akiwa na mwanamke mwingine huyu Nancy ndio sababu alianza uhuni mbele yetu kitambo sana kuanzia kutembea na wafanyakazi wake na hata ……. Yani huyu dada anakera sana baada aombe msamaha ajishushe Eti yeye anakaza na huyo mchepuko wake na hii ni moja ya picha ya mchepuko wake aliyempa ofisi ya Mume wake Bure huko Africana kabla Mwanaume hajashtuka kama mke anasaliti na huyu mchepuko alikuwa anakaa Bure hapo halipi kodi yani mambo ha hovyo kabisa yani akae tu kimya akiendelea ntamuaibisha mno akaushe yani na huu upuuuzi Aliouleta hapa kwenye Jukwaa yani. Eti anadai Mali na wakati Davis aliwahi kuwalipia mkopo mwaka 1995 kabla hata hajamuo a na
Kwasababu umeiandika kiingereza basi umeitoa kuwa tusi (neno la siri) na kuwa neno la kawaida linaloweza kutamkwa mbele ya jukwaa?

Kwamba kiingereza make everything sound and feel better?

Binaadam hawezi kujiona. Anaonwa. Na Kama wewe umeniona najua sana English to Swahili dictionary Mimi hilo halinihusu.

Tako ni neno less graphic? Kwenye jamii ipi uliyokuzwa wewe?

Kumbe kuna mashindano ya Lugha na hutoi taarifa? Uko America, Sawa wasalimie sana.
Yani hii siku ilikuwa ni Birthday Ya mchepuko wa Nancy na akatengeneza cake kwenye moja Ya ofisi zake akaagiza iende kwa huyo mchepuko wake Ila cha ajabu ikaenda nyumbani kwa Davis wakati Dereva anaingia ndani tu na aliyebeba cake yani walichokutana Nacho Mungu ndio anajua mbebaji anajua alichokumbana Nacho kwenye simu toka kwa Nancy Ila Nancy Dah
 

Attachments

  • RPReplay_Final1708953651.mov
    71.1 MB
Mimi nazungumzia hisa za mume. Hizo ni sehemu ya assets zake. Ni kama nyumba ambazo anamiliki. Watalaka wanapaswa kukaa pamoja na kukubaliana namna haki ya mtalaka kwenye hizo hisa itakuwa realised. Anaweza kumpa sehemu. Anaweza kumlipa value ya shares ambazo watakubaliana kuwa anastahili. Hilo la dividends litatokana na hisa ambazo kila mmoja atakuwa anamiliki baada ya talaka. Hivyo kwa stocks ambazo anaweza kuwa anamiliki katika makampuni mengine.

Amandla...
Mkuu

Hisa ni tofauti na nyumba

Hisa ni asset ndio lakini sio asset inaweza gawanyika kirahisi hivyo

Hisa nazo ziko za aina mbili,Hisa za public company na Hisa za private company

Hisa za public company unaweza uza mgawana hela mkiamua,lakini maamuzi ya kuuza sio ya hakimu ni ya mwenye hisa na yupo hai

Nyumba kama ipo moja hawezi gawanyika,kuigawa ni mtihani unaweza mshinda hakimu vile vile

Hisa za kampuni binafsi kama ya Mosha na mwenye hisa yupo hai ni ngumu kuzigawa na hakimu hawezi lazimishwa ziuzwe maana mwenye uamuzi huo ni mwenye hisa na wala sio hakimu

Jukumu la hakimu ni kupunguza mgogoro na sio kuuendeleza au kuuhamishia pengine

Kama kampuni lipo moja ni shida,kama yapo mawili anaweza gawa kwa huyu moja na yule moja,kama ni limoja kugawa ni kupasua sahani

Kitu kikishawekwa kwenye legal company person my friend ni full legal mumbo jumbo ni full wild goose chase,hupati kitu kirahisi

Ila kikiwa kwenye real estate kinaonekana kwa macho na hakihamishiki kipo clear ndio unaweza gawiwa kirahisi,kama nyumba,magari,mashamba,viwanja,etc

Mosha kamla dada chenga ya mwaka viwanja,nyumba nk vipo kwenye jina la makampuni which ni another legal mountain to dismantle mzee
 
Ukiwa kwenye ndoa ukishaondoka ndiyo tayari umejitoa mwenyewe

Kuna mijianamke ina tamaa kwerikweri

Ova
 
Mimi nazungumzia hisa za mume. Hizo ni sehemu ya assets zake. Ni kama nyumba ambazo anamiliki. Watalaka wanapaswa kukaa pamoja na kukubaliana namna haki ya mtalaka kwenye hizo hisa itakuwa realised. Anaweza kumpa sehemu. Anaweza kumlipa value ya shares ambazo watakubaliana kuwa anastahili. Hilo la dividends litatokana na hisa ambazo kila mmoja atakuwa anamiliki baada ya talaka. Hivyo kwa stocks ambazo anaweza kuwa anamiliki katika makampuni mengine.

Amandla...
Sio sehemu ya Matrimonial properties/assets
 
Marioo
Halafu yani huyu Nancy anadai Mali Mali Gani anazodai yani maana tunajua Kuwa kibaha walikuwa wanadaiwa bank Njooo mwaka 1995 na Davis ndio Aliwalipia huo mkopo na alikuwa hata hajamuoa na mpaka Leo wameuza eneo lote zilikuwa hela 20 yani imebaki sehemu Ya Kaburi tu sasa unadai Mali ipi kwa Mfano
😂
 
Sio sehemu ya Matrimonial properties/assets

What’s the difference between matrimonial and non-matrimonial assets?​

Matrimonial assets are financial assets that you and/or your spouse have acquired during your marriage. Non-matrimonial assets are financial assets acquired by you and/or your spouse either before you got married or after your divorce.

Matrimonial assets typically include things such as the family home, pensions and savings. It doesn’t really matter who put the money forward for these assets or who accumulated the wealth. When you’re married, the law in England and Wales considers that any assets you acquire during the marriage also belong to your husband or wife. So, for example, if you contribute towards a pension during your marriage, your spouse is entitled to a share of it.

Examples of matrimonial assets

There are no hard-and-fast rules but for the average couple, marital assets typically include:

  • The family home (even if only one partner has their name on the title deeds)
  • Pensions and savings accounts
  • Stocks and financial investments
  • Businesses
  • Furniture and other household items
  • Cars and other vehicles
  • Property
Inaelekea wanasheria wetu na mahakimu wengi hamjui chochote kuhusu Matrimonial assets. Kama nilivyokuwa nasema na inavyothibitishwa hapo juu haijalishi nani amechanga nini katika mali za familia. Kingine ni kuwa hizi assets haziangalii nani yuko kwenya jina la hati. Aidha, kama ulikuwa na nyumba yako kabla ya ndoa lakini baada ya ndoa ikawa inatumika kama makazi ya familia, hiyo ni matrimonial assets na inaingizwa katika mali zitakazo gawiwa. Na pande zote katika talaka zinatakiwa kueleza mahakama mali zote walizokuwa nazo. Kuficha mali kwa kutumia labda majina ya watu wengine ni kosa la jinai.
Tofauti na ilivyodaiwa humu ndani, Mahakama ina mamlaka makubwa kuhusu mgao wa mali zilizopatikana katika ndoa ikiwa pamoja na investments na stocks. Hata kama mke kasema hahitaji kitu mahakama inaangalia haki yake na uwezo wake wa kuendelea na standard ya maisha aliyozoea wakati wa ndoa. Barua kama hizo zinakuwa hazina mashiko kwa sababu wakati mwingine zinapatikana under duress au mtu anakuwa katika hali ya kutojua analolifanya.

Huu ni mfano kutoka UK ambako sheria zetu nyingi zimekuwa based.
Wanawake wengi wanadhulumiwa kwa sababu ya kutokujua, kukata tamaa mbele ya mfumo dume au imani potofu kuwa akiiachia kila kitu mwanaume anaweza kubadili mawazo na kumrudia. Mambo kama kutokuwa muaminifu katika ndoa, majaribio ya kumuua, uchawi, matumizi mabaya ya fedha, kutopenda ndugu za mume n.k. ni grounds for divorce na hayahusiki katika mgawanyo wa assets. Hii kampeni ya kumchafua huyu dada haitakiwi kuwa na mashiko yeyote katika shauri lake.

Amandla...
 
This is wrong in so many ways. Bora angekuwa mama wa nyumbani (nayo sio sawa pia) Kama ameshiriki kuchuma nae kwa miaka 20 hiyo ni dhulma.

Lakini mali hazijanisikitisha sana kama ndoa kuvunjika. Miaka 28? Ni madhaifu gani hayo ambayo hawakuweza kuyavumilia baada ya miaka 28?
Jurisprudence in divorce cases imebadilika sana kisheria, under the current case law hakuna kitu kama tulichuma pamoja. Lazma uonyeshe uliparticipate vpi katika uanzishaji na kukuza mali . Kama in the course of work ulipewa mshahara basi you were nothing but a mere employee and the courts will view you as such.
Utapewa fidia fulani in some cases ila division of assets 50/50 inaendelea kupitwa na wakati in modern times .
 
Mosha ili suala litamtafuna ngoja huyo mwanamke akate rufaa ,mwanamke alikuwa anajua biashara zake kwa miaka 20 na kitu ,ina maana kilichochumwa baada ya ndoa ni sehemu ya mali ya meke mume.
Lazima aonyeshe by way of evidence uliparticipate kvp , uliwekeza kiasi kipi cha fedha kwa biashara zenyewe by way of statements or receipts.
Shida iliyopo ni mwanamke alipokea a consideration for her services hio miaka , yaani mshahara , you cant claim an equitable share whilst receiving a legitimate consideration at hand . Hata akikata rufaa all the advocates wa mumeo have to do is show she nothing but a mere employee . Hence she bore no risks , hence she can't turn around and claim ownership.
It's highly technical ila the judges can't simply overstep such a crucial fact , kushinda ile kesi kwa mke ni ngumu sana . Na hapo am barely scratching the surface .
Ukiangalia vizuri debt instruments nyingi zilichukiliwa na mume, ya pale labour tu hata iwe miaka 100 sio kigezo kikuu pekee , jurisprudence imebadilika sana in modern times
 

What’s the difference between matrimonial and non-matrimonial assets?​

Matrimonial assets are financial assets that you and/or your spouse have acquired during your marriage. Non-matrimonial assets are financial assets acquired by you and/or your spouse either before you got married or after your divorce.

Matrimonial assets typically include things such as the family home, pensions and savings. It doesn’t really matter who put the money forward for these assets or who accumulated the wealth. When you’re married, the law in England and Wales considers that any assets you acquire during the marriage also belong to your husband or wife. So, for example, if you contribute towards a pension during your marriage, your spouse is entitled to a share of it.

Examples of matrimonial assets

There are no hard-and-fast rules but for the average couple, marital assets typically include:

  • The family home (even if only one partner has their name on the title deeds)
  • Pensions and savings accounts
  • Stocks and financial investments
  • Businesses
  • Furniture and other household items
  • Cars and other vehicles
  • Property
Inaelekea wanasheria wetu na mahakimu wengi hamjui chochote kuhusu Matrimonial assets. Kama nilivyokuwa nasema na inavyothibitishwa hapo juu haijalishi nani amechanga nini katika mali za familia. Kingine ni kuwa hizi assets haziangalii nani yuko kwenya jina la hati. Aidha, kama ulikuwa na nyumba yako kabla ya ndoa lakini baada ya ndoa ikawa inatumika kama makazi ya familia, hiyo ni matrimonial assets na inaingizwa katika mali zitakazo gawiwa. Na pande zote katika talaka zinatakiwa kueleza mahakama mali zote walizokuwa nazo. Kuficha mali kwa kutumia labda majina ya watu wengine ni kosa la jinai.
Tofauti na ilivyodaiwa humu ndani, Mahakama ina mamlaka makubwa kuhusu mgao wa mali zilizopatikana katika ndoa ikiwa pamoja na investments na stocks. Hata kama mke kasema hahitaji kitu mahakama inaangalia haki yake na uwezo wake wa kuendelea na standard ya maisha aliyozoea wakati wa ndoa. Barua kama hizo zinakuwa hazina mashiko kwa sababu wakati mwingine zinapatikana under duress au mtu anakuwa katika hali ya kutojua analolifanya.

Huu ni mfano kutoka UK ambako sheria zetu nyingi zimekuwa based.
Wanawake wengi wanadhulumiwa kwa sababu ya kutokujua, kukata tamaa mbele ya mfumo dume au imani potofu kuwa akiiachia kila kitu mwanaume anaweza kubadili mawazo na kumrudia. Mambo kama kutokuwa muaminifu katika ndoa, majaribio ya kumuua, uchawi, matumizi mabaya ya fedha, kutopenda ndugu za mume n.k. ni grounds for divorce na hayahusiki katika mgawanyo wa assets. Hii kampeni ya kumchafua huyu dada haitakiwi kuwa na mashiko yeyote katika shauri lake.

Amandla...
Hizo sheria nyingi ulizoquote ni mostly under common law and in some ways are applicable ila the statutes of limitations imelimit some of the use , most of those examples ambazo umecite zimekuwa overtaken by time, modern jurisprudence , statutes na case law zetu hapa bongo .
Ungejua sheria kama unavyokurupuka kudai unajua ungebaini kuwa kuprove ownership lazma ulete evidentiary proof , simply bieng a wife sio an automatic ticket to assets .
Kama ulipewa a salary basi you were nothing but an employee and any participation was compensated by a consideration.
Bieng a wife and her position in the company ni mambo mawili tofauti kisheria, ile kesi kulingana na vile respondents wameihandle yule dem kushinda ngumu sana.
Ameshindwa kudisprove many attack points and every law will always have exceptions hizo exceptions ndizo zitamwangusha bidada
 
Lazima aonyeshe by way of evidence uliparticipate kvp , uliwekeza kiasi kipi cha fedha kwa biashara zenyewe by way of statements or receipts.
Shida iliyopo ni mwanamke alipokea a consideration for her services hio miaka , yaani mshahara , you cant claim an equitable share whilst receiving a legitimate consideration at hand . Hata akikata rufaa all the advocates wa mumeo have to do is show she nothing but a mere employee . Hence she bore no risks , hence she can't turn around and claim ownership.
It's highly technical ila the judges can't simply overstep such a crucial fact , kushinda ile kesi kwa mke ni ngumu sana . Na hapo am barely scratching the surface .
Ukiangalia vizuri debt instruments nyingi zilichukiliwa na mume, ya pale labour tu hata iwe miaka 100 sio kigezo kikuu pekee , jurisprudence imebadilika sana in modern times
Mnachosema ni kuwa mwanamke ambae alikaa nyumbani kutunza familia hastahili kitu chochote kwa sababu hana risiti ya kuonyesha kuwa alikuwa anampigia pasi nguo zake, alikuwa ananyonyesha watoto wao, alikuwa anasimamia ujenzi wa kibanda chao, na fedha za kuanzisha bishara alizitoa kwenye kikoba lakini hakudai mkataba kwa sababu ni mume wake n.k. n.k. Huyo mwanamke baada ya kuzalishwa watoto watano, kupita umri wa kuweza kupata ajira, na gravity kuuvuruga mwili wake, kuvumilia mume wake kuzaa nje ya ndoa n.k. akiachwa na jamaa ataondoka na kandambili ambazo walianzia wote maisha! Hamuoni ilivyokuwa ridiculous? Msijaribu kutu gaslight na maneno kama consideration for her services ( kama kuna consideration for her services basi huyo ni house girl na prostitute all in one), debt instruments etc. etc. Hayo mnayozungumza ni ya medieval times wakati haki ya mwanamke ilikuwa mikononi mwa mwanaume. Hiyo sio ya modern times ambapo juhudi zote zinafanywa ili kuhakikisha mwanamke haonewi katika ndoa. Kama mnachosema ni kweli basi tumerudi miaka 150 nyuma. Labda ndio maana wanawake wanaokuwa katika ndoa wanaanzisha miradi yao ambayo wanawaficha waume wao kwa sababu wanajua siku wa kiachwa kwa talaka au kifo hawana lao.

Amandla...
 
Hizo sheria nyingi ulizoquote ni mostly under common law and in some ways are applicable ila the statutes of limitations imelimit some of the use , most of those examples ambazo umecite zimekuwa overtaken by time, modern jurisprudence , statutes na case law zetu hapa bongo .
Ungejua sheria kama unavyokurupuka kudai unajua ungebaini kuwa kuprove ownership lazma ulete evidentiary proof , simply bieng a wife sio an automatic ticket to assets .
Kama ulipewa a salary basi you were nothing but an employee and any participation was compensated by a consideration.
Bieng a wife and her position in the company ni mambo mawili tofauti kisheria, ile kesi kulingana na vile respondents wameihandle yule dem kushinda ngumu sana.
Ameshindwa kudisprove many attack points and every law will always have exceptions hizo exceptions ndizo zitamwangusha bidada
Umesoma lakini haujaelimika. Hizo sheria nilizo zi quote nimezitoa leo kwenye website za matrimonial law firms za UK. Hapa hatuzungumzii mke anayefanya kazi katika kampuni ya kampuni. Tunazungumzia mwanamke aliyeolewa period. Hizi haki za msingi haziondolewi na status yake ya kuwa employee. Unless uniambie alikuwa analipwa mshahara ili atoe huduma za mke.
Hizo unazoita attack points ( alikuwa malaya, alijaribu kumuua mume wake, alikuwa anamuibia mume wake n.k.) hazihusiki katika mgawanyo wa matrimonial assets. Sehemu yake ni katika kujenga hoja ya kuvunja ndoa. Ati statute of limitations katika haki ya aliyekuwa katika ndoa. Kweli mnatuona wajinga sana!

Amandla...
 
Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.

Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
Alikua alipwii
 
Back
Top Bottom