Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 19,110
- 44,218
Ni ugonjwa wa AKILI Kwa mwanaume kuingilia mambo yasiyo muhusu..Kuna mkanganyiko wa hormones....tafuta msaada wa daktari ASAPAna AKILI
Jibu hoja zake,usijigeuze daktari wa akili,hujasomea!
Ni ugonjwa wa AKILI Kwa mwanaume kuingilia mambo yasiyo muhusu..Kuna mkanganyiko wa hormones....tafuta msaada wa daktari ASAPAna AKILI
Jibu hoja zake,usijigeuze daktari wa akili,hujasomea!
Kumbe huyu ndio Nancy mwenyewe? Dada mafia sana aiseeNimeona huu mjadala wa Kesi ya Davis Mosha na Mke wake lakini naweza Nami changia kwa kifupi:-Ni Hivi Huyo mwanamke Nancy alipogundua moja Pesa nyingii alizoiba Kwenye kampuni alikuwa anagawia Waumme zake hasa Mtabibu Mitimingi ili ajengee Gorofa na mbaya zaidi alimuajili Huyo Mpenzi wake Kwenye moja ya Taasisi ya Davis pale Mbezi Afrikana, Hiyo mwanamke alimfanya Mtabibu Huyo kuwa controller wa kila kitu bila kampuni kujua, masuala ya Supermarket NK Lakini pia kuanza kuzicontrol kampuni kiganga, Huku Mkurugenzi akiwa nje ya nchi au popote kusaka fursa za kampuni na kampuni mpya.
Lakini Mbaya zaidi Huyo mwanamke alitaka kuua Mtoto wa Mkurugenzi kimya kimya kwa kumtumia mfanyakazi wa ndani huko arusha akisaidiana na Dada mmoja ambaye Kesi yake iliiendeshwa Nairobi Kenya na kufungwa, Sasa Nancy Baada ya kushtukiwa meseji zile Baada ya Mfanyakazi wa nyumbani huko Arusha kukosea meseji badala ya kumtumia Nancy kuwa Zoezi la kumuua Mtoto litafanyika Usiku akamtumia Mama wa Mtoto.
Ile Meseji ya mauaji ilipokosea njia Nancy akaamua kukimbia kwake kwa Aibu ya Watoto wake na kutamba Mitandaoni kuwa amenunua Apartment Masaki hababaishwi.
Baadaye watu wakamshika masikio, Kesi Kesi Mara Kesi kaamua kwa Hiari yake afute Kesi alipogundua mabilioni ya Mafuta ya kampuni aliyoiba PUMA, CARMEL NK,
Sasa Leo Tena Naona andiko hili kuwa amezulumiwa kwa Hiyo mwanamke akiolewa na mtu Mwenye Pesa Basi mme wake pesa ikizidi anakimbia Halafu anadai Mali kweli?
Basi Matajiri wako mbioni kutooa kama Dangote, Kumbe wanawake Ni staili, Kama Ya Hakimi aiseee.
Pia nimeshangaa Nancy kuweka ili andishi Huku la hukumu Wakati aliitoa Kesi mwenyewe inasikitisha sana, Naona anguko la wanawake kuolewa na Matajiri kabisa,
Mtu ahukumiwi kwa kesi ambayo haipo mahamakani. Hakimu hawezi kumnyima mgao mtalaka ati kwa sababu ameridhika kuwa alijaribu kumuua mume wake wakati hilo sio shtaka lililopo mbele yake. Hauwezi kumfunga mtu aliyeshitakiwa kwa wizi kwa sababu aliyedai kuwa aliibiwa amesema kuwa jamaa anatembea na mke wake!Kumbe ndo Nancy kakudanganya, kwa kifupi achana na Mambo ya ufuska na majina, Lakini Ushahidi wa wizi upo, Ushahidi wa kutaka kuua kwa ajili ya Mali upo na mahakama haiwezi amua bila Ushahidi, Mahakama ilijiridhisha wizi, ilijiridhisha kwa kila Ushahidi na ndo Maana Nancy alishindwa vibaya, vibaya.
Masuala ya kingereza Kibaha na umekielewa hicho kingereza kwa tafsiri ya yaliyoandikwa nawe umepangwa vibaya na Nancy.
Ungemuuliza mteja wako kwa Nini Alishindwa?kwa Nini Alikimbia kwake?
Kama vipi Davis amlipue tu kama mafaili anayo aongee na mange kikambi. Mwanamke akiwa msaliti hatakiwi kuchekewa ni kuacha ghafla na hapati hata stuli.Sababu kubwa ni mke Malaya,ashafumaniwa sana na vijana wadogo. Issue ya kuachana walishaachana tangu mwaka juzi.
Atakuwa Mnyaturu tu huyo maana wale wana viburi na kupenda kupanda wanaume vichwani shenzi zao wale.Nancy ni mtu kutokea Singida nadhani kama sijakoseq
Sasa kwa hizo pesa amekwiba na kama yupo vizuri kichwani then wasi wasi upo wapi si atakwenda kujijenga upya?Kabisa hapa Davis kamdhulumu Nancy ..mdada alikuwa yuko vzr sana kichwani ..Mangi kaleta U mangi wake hapa
HujielewiKama fala. So umezaa na nani? Na hakuna mwanamke mwenye akili anaekubali kuzaa na janaume ambalo halijamuoa. So wewe, uliezaa nae na hao wanao wote mapunguani. Kuzalisha kizazi cha bastards
Kama si Mwisho aendelee Mbele,hakuna alihemzuia kukata Rufaa, Shida Ni kuwa bado ataangukia pua kwa Ushahidi uliopo, Nakumbuka Siku ya mashahidi walifika mahakamani Mashahidi zaidi ya 20 hapo ndo Nancy akalia na kuanza kuwatumia Mashahidi Meseji kuwa wamhurumie ana watoto, Mara waachane na huo Ushahidi kwanza Yuko Tiyari kuachana na kesi.Mtu ahukumiwi kwa kesi ambayo haipo mahamakani. Hakimu hawezi kumnyima mgao mtalaka ati kwa sababu ameridhika kuwa alijaribu kumuua mume wake wakati hilo sio shtaka lililopo mbele yake. Hauwezi kumfunga mtu aliyeshitakiwa kwa wizi kwa sababu aliyedai kuwa aliibiwa amesema kuwa jamaa anatembea na mke wake!
Kushindwa mahakama ya wilaya sio mwisho wa safari. Hizo mahakama ndio zilizomhukumu kifo mbwa immigration. Hao ndio waliomfunga Sugu. Ndio maana kuna kukata rufaa mpaka Mahakama ya rufaa. Safari bado ni ndefu.
Amandla...
Zote hizo ni hearsay. Inaelekea una usongo na huyo Nancy hivyo unadhani mtu yeyote anaesema kuwa hukumu haina mashiko ni mtu aliyetumwa nae. Mimi simjui lakini kwa hicho mnachosema ni ushahidi hamna kesi hapa.Kama si Mwisho aendelee Mbele,hakuna alihemzuia kukata Rufaa, Shida Ni kuwa bado ataangukia pua kwa Ushahidi uliopo, Nakumbuka Siku ya mashahidi walifika mahakamani Mashahidi zaidi ya 20 hapo ndo Nancy akalia na kuanza kuwatumia Mashahidi Meseji kuwa wamhurumie ana watoto, Mara waachane na huo Ushahidi kwanza Yuko Tiyari kuachana na kesi.
Anajua Kuna Mashahidi walifanya naye Biashara za kutapeli na Ushahidi upo, Nancy alilia Wewe, amekutuma vibaya Mwambie aende juu, kwa Nini aje kusaka huruma humu Huyo malaya.
Wachangiaji wengi hawajasoma hiyo hukumu, labda kiingereza ndio tatizo, hata Nifah inawezekana hajaisoma..Watanzania mbona hampendi kusoma?
We nadhani hauko kwenye ndoa...usingeuliza hilo swaliThis is wrong in so many ways. Bora angekuwa mama wa nyumbani (nayo sio sawa pia) Kama ameshiriki kuchuma nae kwa miaka 20 hiyo ni dhulma.
Lakini mali hazijanisikitisha sana kama ndoa kuvunjika. Miaka 28? Ni madhaifu gani hayo ambayo hawakuweza kuyavumilia baada ya miaka 28?
Wa Moroco.Achraf Hakimi ni mchagga wa wapi??
Usiseme sisi sema weweHii mada ina wahusika na ina ndugu wa wahusika, sisi hatuna pa ku comment
amekuwa much know, thinking she can control the man on her will. she thought she is bigger than him.Le Mutuz angekuwa hai tungepata Stori kinaga ubaga🤣🤣
Ila nachokiona mwanaume anajaribu kukazia mambo ya uzinzi na ushirikina ili amnyime mke mgao....Kama uzinzi Davis nae kazini sana nje na mtoto wa nje amezaa....
Pia ukiangalia Kwa ndani zaidi mwanaume bado anampenda mkewe, Ila mke kashikwa masikio.
kiingereza cha kisheria sio grammatical imekaa vizuri inaeleweka angalia content za hukumu isome vizuri yote haina upendeleo:Yote hayo unayoyasema hayana maana katika hili shauri la haki ya mtalaka. Kama alikiri kuwa alitaka kumuua angeshitakiwa kwa kosa la attempted murder. Lakini kama hajawahi kupatikana na hatia mahakamani kuhusu tuhuma hizo zinabakia tuhuma tu. Masuala ya ufuska na yenyewe nafasi yake ni katika talaka na sio katika mgao wa mali. Kuwa na majina mengi sio kosa la jinai. Kama haijawahi kuthibitishwa mahakamani kuwa aliibia kampuni hizo nazo zinabaki tuhuma tuu na hakimu hakupaswa kuzitilia maanani katika kugawa asset. Na hata kama aliwahi kusema kuwa hazitaki hizo mali ulikuwa bado ni wajibu wa hakimu kuangalia tu sheria inampa haki gani mtalaka na sio vinginevyo.
Hii hukumu ilivyoandikwa inaonekana kuwa ilikuwa vindictive yenye nia ya kumkomesha Nancy kwa sababu tu mwanaume mwenzake amelia kuwa amesalitiwa na kuibiwa katika ndoa! Ni hukumu ya ovyo sana. Na imeandikwa kwa kiingereza kibovu mno.
Sitashangaa kama itawekwa pembeni kama huyu mwanamke atakata rufaa.
Amandla...
Wengi kuna kitu hamjaelewa, wengine wote sijawapa maelezo haya ila wewe ndugu yangu ngoja nikwambie…Wachangiaji wengi hawajasoma hiyo hukumu, labda kiingereza ndio tatizo, hata Nifah inawezekana hajaisoma..
Ndio maana anamtetea huyo mwanamke mchepukaji, mshirikina, muuaji na mwizi!
Na mi-jargon yenu hiyoKwenye talaka kuna mirathi,? Au talaka na mirathi zinakwenda mutatis mutandis?