DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nimeona huu mjadala wa Kesi ya Davis Mosha na Mke wake lakini naweza Nami changia kwa kifupi:-Ni Hivi Huyo mwanamke Nancy alipogundua moja Pesa nyingii alizoiba Kwenye kampuni alikuwa anagawia Waumme zake hasa Mtabibu Mitimingi ili ajengee Gorofa na mbaya zaidi alimuajili Huyo Mpenzi wake Kwenye moja ya Taasisi ya Davis pale Mbezi Afrikana, Hiyo mwanamke alimfanya Mtabibu Huyo kuwa controller wa kila kitu bila kampuni kujua, masuala ya Supermarket NK Lakini pia kuanza kuzicontrol kampuni kiganga, Huku Mkurugenzi akiwa nje ya nchi au popote kusaka fursa za kampuni na kampuni mpya.

Lakini Mbaya zaidi Huyo mwanamke alitaka kuua Mtoto wa Mkurugenzi kimya kimya kwa kumtumia mfanyakazi wa ndani huko arusha akisaidiana na Dada mmoja ambaye Kesi yake iliiendeshwa Nairobi Kenya na kufungwa, Sasa Nancy Baada ya kushtukiwa meseji zile Baada ya Mfanyakazi wa nyumbani huko Arusha kukosea meseji badala ya kumtumia Nancy kuwa Zoezi la kumuua Mtoto litafanyika Usiku akamtumia Mama wa Mtoto.
Ile Meseji ya mauaji ilipokosea njia Nancy akaamua kukimbia kwake kwa Aibu ya Watoto wake na kutamba Mitandaoni kuwa amenunua Apartment Masaki hababaishwi.

Baadaye watu wakamshika masikio, Kesi Kesi Mara Kesi kaamua kwa Hiari yake afute Kesi alipogundua mabilioni ya Mafuta ya kampuni aliyoiba PUMA, CARMEL NK,

Sasa Leo Tena Naona andiko hili kuwa amezulumiwa kwa Hiyo mwanamke akiolewa na mtu Mwenye Pesa Basi mme wake pesa ikizidi anakimbia Halafu anadai Mali kweli?
Basi Matajiri wako mbioni kutooa kama Dangote, Kumbe wanawake Ni staili, Kama Ya Hakimi aiseee.

Pia nimeshangaa Nancy kuweka ili andishi Huku la hukumu Wakati aliitoa Kesi mwenyewe inasikitisha sana, Naona anguko la wanawake kuolewa na Matajiri kabisa,
Kumbe huyu ndio Nancy mwenyewe? Dada mafia sana aisee
 
Kumbe ndo Nancy kakudanganya, kwa kifupi achana na Mambo ya ufuska na majina, Lakini Ushahidi wa wizi upo, Ushahidi wa kutaka kuua kwa ajili ya Mali upo na mahakama haiwezi amua bila Ushahidi, Mahakama ilijiridhisha wizi, ilijiridhisha kwa kila Ushahidi na ndo Maana Nancy alishindwa vibaya, vibaya.
Masuala ya kingereza Kibaha na umekielewa hicho kingereza kwa tafsiri ya yaliyoandikwa nawe umepangwa vibaya na Nancy.
Ungemuuliza mteja wako kwa Nini Alishindwa?kwa Nini Alikimbia kwake?
Mtu ahukumiwi kwa kesi ambayo haipo mahamakani. Hakimu hawezi kumnyima mgao mtalaka ati kwa sababu ameridhika kuwa alijaribu kumuua mume wake wakati hilo sio shtaka lililopo mbele yake. Hauwezi kumfunga mtu aliyeshitakiwa kwa wizi kwa sababu aliyedai kuwa aliibiwa amesema kuwa jamaa anatembea na mke wake!

Kushindwa mahakama ya wilaya sio mwisho wa safari. Hizo mahakama ndio zilizomhukumu kifo mbwa immigration. Hao ndio waliomfunga Sugu. Ndio maana kuna kukata rufaa mpaka Mahakama ya rufaa. Safari bado ni ndefu.

Amandla...
 
Mtu ahukumiwi kwa kesi ambayo haipo mahamakani. Hakimu hawezi kumnyima mgao mtalaka ati kwa sababu ameridhika kuwa alijaribu kumuua mume wake wakati hilo sio shtaka lililopo mbele yake. Hauwezi kumfunga mtu aliyeshitakiwa kwa wizi kwa sababu aliyedai kuwa aliibiwa amesema kuwa jamaa anatembea na mke wake!

Kushindwa mahakama ya wilaya sio mwisho wa safari. Hizo mahakama ndio zilizomhukumu kifo mbwa immigration. Hao ndio waliomfunga Sugu. Ndio maana kuna kukata rufaa mpaka Mahakama ya rufaa. Safari bado ni ndefu.

Amandla...
Kama si Mwisho aendelee Mbele,hakuna alihemzuia kukata Rufaa, Shida Ni kuwa bado ataangukia pua kwa Ushahidi uliopo, Nakumbuka Siku ya mashahidi walifika mahakamani Mashahidi zaidi ya 20 hapo ndo Nancy akalia na kuanza kuwatumia Mashahidi Meseji kuwa wamhurumie ana watoto, Mara waachane na huo Ushahidi kwanza Yuko Tiyari kuachana na kesi.
Anajua Kuna Mashahidi walifanya naye Biashara za kutapeli na Ushahidi upo, Nancy alilia Wewe, amekutuma vibaya Mwambie aende juu, kwa Nini aje kusaka huruma humu Huyo malaya.
 
Kama si Mwisho aendelee Mbele,hakuna alihemzuia kukata Rufaa, Shida Ni kuwa bado ataangukia pua kwa Ushahidi uliopo, Nakumbuka Siku ya mashahidi walifika mahakamani Mashahidi zaidi ya 20 hapo ndo Nancy akalia na kuanza kuwatumia Mashahidi Meseji kuwa wamhurumie ana watoto, Mara waachane na huo Ushahidi kwanza Yuko Tiyari kuachana na kesi.
Anajua Kuna Mashahidi walifanya naye Biashara za kutapeli na Ushahidi upo, Nancy alilia Wewe, amekutuma vibaya Mwambie aende juu, kwa Nini aje kusaka huruma humu Huyo malaya.
Zote hizo ni hearsay. Inaelekea una usongo na huyo Nancy hivyo unadhani mtu yeyote anaesema kuwa hukumu haina mashiko ni mtu aliyetumwa nae. Mimi simjui lakini kwa hicho mnachosema ni ushahidi hamna kesi hapa.

Amandla...
 
Le Mutuz angekuwa hai tungepata Stori kinaga ubaga🤣🤣
Ila nachokiona mwanaume anajaribu kukazia mambo ya uzinzi na ushirikina ili amnyime mke mgao....Kama uzinzi Davis nae kazini sana nje na mtoto wa nje amezaa....
Pia ukiangalia Kwa ndani zaidi mwanaume bado anampenda mkewe, Ila mke kashikwa masikio.
 
Le Mutuz angekuwa hai tungepata Stori kinaga ubaga🤣🤣
Ila nachokiona mwanaume anajaribu kukazia mambo ya uzinzi na ushirikina ili amnyime mke mgao....Kama uzinzi Davis nae kazini sana nje na mtoto wa nje amezaa....
Pia ukiangalia Kwa ndani zaidi mwanaume bado anampenda mkewe, Ila mke kashikwa masikio.
amekuwa much know, thinking she can control the man on her will. she thought she is bigger than him.
 
Yote hayo unayoyasema hayana maana katika hili shauri la haki ya mtalaka. Kama alikiri kuwa alitaka kumuua angeshitakiwa kwa kosa la attempted murder. Lakini kama hajawahi kupatikana na hatia mahakamani kuhusu tuhuma hizo zinabakia tuhuma tu. Masuala ya ufuska na yenyewe nafasi yake ni katika talaka na sio katika mgao wa mali. Kuwa na majina mengi sio kosa la jinai. Kama haijawahi kuthibitishwa mahakamani kuwa aliibia kampuni hizo nazo zinabaki tuhuma tuu na hakimu hakupaswa kuzitilia maanani katika kugawa asset. Na hata kama aliwahi kusema kuwa hazitaki hizo mali ulikuwa bado ni wajibu wa hakimu kuangalia tu sheria inampa haki gani mtalaka na sio vinginevyo.

Hii hukumu ilivyoandikwa inaonekana kuwa ilikuwa vindictive yenye nia ya kumkomesha Nancy kwa sababu tu mwanaume mwenzake amelia kuwa amesalitiwa na kuibiwa katika ndoa! Ni hukumu ya ovyo sana. Na imeandikwa kwa kiingereza kibovu mno.

Sitashangaa kama itawekwa pembeni kama huyu mwanamke atakata rufaa.

Amandla...
kiingereza cha kisheria sio grammatical imekaa vizuri inaeleweka angalia content za hukumu isome vizuri yote haina upendeleo:
 
Wachangiaji wengi hawajasoma hiyo hukumu, labda kiingereza ndio tatizo, hata Nifah inawezekana hajaisoma..

Ndio maana anamtetea huyo mwanamke mchepukaji, mshirikina, muuaji na mwizi!
Wengi kuna kitu hamjaelewa, wengine wote sijawapa maelezo haya ila wewe ndugu yangu ngoja nikwambie…

Wakati hii post imewekwa, muda ambao sisi wa mwanzo tunachangia hakukuwa na maelezo hayo ya ziada. Maelezo hayo yaliwekwa baadae.
 
Back
Top Bottom