Mahakama yasitisha utekelezaji wa Tamko la Rais kuanzisha pori la Akiba la Pololeti

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,854
12,090
IMG-20231004-WA0004.jpg
IMG-20231004-WA0003.jpg
IMG-20231004-WA0002.jpg
 
Siyo kawaida Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kutoa taarifa kwa umma, hapa ina maana wanaJF tusome kwa umakini na kuomba maoni ya wanasheria wasomi

Hitaji la katiba mpya linazidi kujitokeza katika hukumu hii kuwa amri ya rais haiwezi kuhojiwa mahakamani

Serikali sikivu itekeleze hukumu hii yenye utata kuhusu ukuu na umungu-mtu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika katiba iliyopo.

......
Based on the authorities herein above, the remedy is to return the matter to the authority, (the Minister) so that can comply with the law by conducting the consultation.

Now that the land has already been upgraded by a person higher than the Minister, and the order of the Minister has been impliedly repealed by the order of the President, and the order of the President is not the subject of these proceedings at the moment, then I find the order for certiorari against non-existing Government Notice No. 421 of 2022 to be just an academic exercise for we cannot return it to the Minister to follow the procedure while the land has already been declared the Game Reserve.

As it is common knowledge that the Minister cannot invalidate the decisions of the President. If still interested, the applicants may challenge the existing order which is Pololeti Game Reserve, GN. 604 of 2022which repealed the Wildlife Conservation (Pololeti Game Controlled Area) (Declaration) Order GN. No. 604 of 2022.

It is accordingly ordered.

Signed Judge J.C Tiganga

DATED and delivered at ARUSHA this 19th day of Sept 2023.

Pages 77 of the judgement

Ndalamia Partareto Taiwap & 4 Others vs. The Minister of Natural Resources and Tourism & Another (Misc. Civil Cause) [2023] TZHC 21407 (19 September 2023)​


Source:
 
Huwa unasikia Wakili wa Serikali anatoa tamko kwamba wanaenda kutetea maslahi yasiyokuwa ya Serikali?
 
Serikali sikivu itekeleze hukumu hii yenye utata kuhusu ukuu na umungu-mtu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika katiba iliyopo.

......
Based on the authorities herein above, the remedy is to return the matter to the authority, (the Minister) so that can comply with the law by conducting the consultation.

Now that the land has already been upgraded by a person higher than the Minister, and the order of the Minister has been impliedly repealed by the order of the President, and the order of the President is not the subject of these proceedings at the moment, then I find the order for certiorari against non-existing Government Notice No. 421 of 2022 to be just an academic exercise for we cannot return it to the Minister to follow the procedure while the land has already been declared the Game Reserve.

As it is common knowledge that the Minister cannot invalidate the decisions of the President. If still interested, the applicants may challenge the existing order which is Pololeti Game Reserve, GN. 604 of 2022which repealed the Wildlife Conservation (Pololeti Game Controlled Area) (Declaration) Order GN. No. 604 of 2022.

It is accordingly ordered.

Signed Judge J.C Tiganga

DATED and delivered at ARUSHA this 19th day of Sept 2023.

Pages 77 of the judgement

Ndalamia Partareto Taiwap & 4 Others vs. The Minister of Natural Resources and Tourism & Another (Misc. Civil Cause) [2023] TZHC 21407 (19 September 2023)​


Source:

21 September 2023

Wakili afafanua kiini (issues) zilizopo katika hukumu ya mahakama kuu na maana zake pia hatua za kuchukuliwa kulinda raia wa pori hilo tengefu sababu kuna tafsiri tofauti kuhusu hukumu hiyo inavyotizamwa na serikali :


View: https://m.youtube.com/watch?v=hq-IBTV3LQ8


BREAKING: MAHAKAMA YA ARUSHA YATOA HUKUMU KESI YA PORI TENGEFU LA POLOLETI, WAKILI AFUNGUKA MAZITO

#TANZANIA: Mahakama Kuu Arusha imetoa hukumu yake katika ombi la kesi namba 21 ya mwaka 2022 kuhusu tamko la Waziri wa Mali Asili na Utalii kuhusu eneo linalodhibitiwa na wanyamapori la Pololeti kwa kulipa uhalali tofauti na zuio la SerikaliKatika uamuzi wake uliotolewa Septemba 19,2023 mahakama iliamua kwamba1. Hakukuwa na mashauriano katika mchakato wa kuanzishwa na kufanya Udhibiti wa eneo la Pololeti2. Eneo Linalodhibitiwa la Pololeti limekoma kuwepo.3. Vurugu za mwezi Juni mwaka jana ikiwa ni pamoja na kauli ya Mongela kuwashukuru CDF kwa operesheni Loliondo haina uhusiano wowote na waziri.4. Waziri hakushiriki katika uwekaji mipaka unaopelekea Pololeti G-Controlled
 
VIJIJI MASHAKANI

Precedent (kitachofuata) ya hukumu ya pori tengefu na hatima ya mapori mengine Tanzania nzima ipo mashakani
1696436962452.png


Huko kanda ya ziwa :
July 2023

Halmashauri ya Shinyanga:
SAKATA la HIFADHI YA NINDO LATUA MAHAKAMANI, ?

WANANCHI SHINYANGA, WALIOHAMISHWA ENEO LA HIFADHI WAMLILIA RAIS SAMIA


WananchiI wa vijiji Sita wilayani Shinyanga ambao wamevamia eneo la Hifadhi ya Msitu wa Nindo wilayani humo, wamemuomba Rais Samia, awaache waendelee kuishi kwenye hifadhi hiyo, kutokana na eneo ambalo wamemegewa kuishi ndani ya hifadhi wamedai ni finyu sababu kuna watu tayari wanaishi.

Hifadhi ya Msitu wa Nindo wilayani Shinyanga, ilitambuliwa kisheria na kutangazwa na gazeti la Serikali Namba 10 mwaka 1958, ikiwa na ukubwa wa Hekta 27,446, lakini baada ya wananchi kuvamia na kuishi kwenye eneo hilo la hifadhi limesalia hekta 10,969, ambapo Serikali ikaona Hekta 3,726 iwamegee wananchi ili waishi, na Hekta 7,243 zibaki kwa ajili ya hifadhi.

Wamebainisha hayo kwenye Mkutano wa hadhara wenye ajenda ya kumuomba Rais Samia awaache waendelee kuishi ndani ya hifadhi hiyo na kuahidi kulinda vyanzo ya maji na kuulinda msitu huo.

Peter Buhemba ni mkazi wa kijiji cha Ng’homango, amesema wanamshukuru Rais Samia kwa kuwatengea eneo la Makazi ndani ya hifadhi hiyo, lakini eneo hilo bado haliwatoshi sababu kuna watu tayari wanaishi na wanamiliki mashamba, hivyo hofu yao ni kutokea Migogoro ya ardhi na hata kukosa maeneo ya kufanya shughuli za kilimo na ufugaji.

N.B
Meaning Precedent : event or action that is regarded as an example or guide to be considered in subsequent similar circumstances.
 
Mh.Jaji J.C Tiganga amesimamia tafsiri ya SHERIA HIYO.....

Mahakama zetu zinafanya kazi

#Siempre Dola La Tanzania

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

14 November 2023

WABANWA MAHAKAMANI KWA KUTEKELEZA SHERIA YA RAIS, ILIYOSITISHWA NA AMRI YA MAHAKAMA KUU
Kesi yaendelea kunguruma, wafanyakazi wa serikali imebidi wamuajiri wakili badala ya kutetewa na wakili wa serikali,

KAKA wa LISSU AJITOSA KESI ya LOLIONDO DC na WENZAKE WAZUIWA KUTUMIA MAWAKILI wa SERIKALI WAPAMBANE...


View: https://m.youtube.com/watch?v=hDz-915UFcw

kwa kuwa wafanyakazi hao wamefanya maamuzi kinyume na taratibu za serikali kwa kukamata mifugo ya wananchi, wakati hukumu ya Mahakama kuu ilitoa amri kuwa tamko la rais na waziri wake lisitishwe kutekelezwa .. kaka wa Tundu Lissu, senior counsel Alute Mughwai, aongezwa katika jopo linalowatetea wananchi, senior counsel wakili msomi Alute Mughwai, akumbushia jinsi naibu waziri mkuu na waziri wa mambo ya ndani Mh. Lyatonga Mrema alivyobebeshwa msalaba kwa kufanya kazi kinyume na taratibu za kiserikali, sheria na katiba kwa kuwaita watu kijijini kwake mkoani Kilimanjaro badala ya ofisini wizara ya mambo ya ndani .....

Kesi : Ndalamia Partareto Taiwap & 4 Others vs. The Minister of Natural Resources and Tourism & Another (Misc. Civil Cause) [2023] TZHC 21407 (19 September 2023) source : Ndalamia Partareto Taiwap & 4 Others vs. The Minister of Natural Resources and Tourism & Another (Misc. Civil Cause) [2023] TZHC 21407 (19 September 2023)
 
Back
Top Bottom