Elewa maeneo matatu
1. Ndoa za kimila
2. Ndoa za Kdini
3. Ndoa za Kiserikali
Hiyo 1 na 2 ndo mahitaji yalipo.
3. Hii yenyewe tayari INA hizi mahakama tuluzo nazo ambazo zinasumbua sana haki za miradhi.
RITA inaingia hapa ktk mlango wa " kabidhi wasii" baada ya familia kuwa na Shauri la mirathi Mali zote hupewa wao hadi mwisho wa Shauri.
Mara nyingi shauri lipofika mwisho Mahakamani wao wanapaswa kukabidhi mirathi kwa wahusika hawafanyi hivyo.
Mjane na bint hubaki kudhalilika.
Endapo ndoa ni ya kimila baada ya shauri kwisha Serikali iyatambue mashauri hayo na maamuzi yalotolewa
Hali kadhalika na ndoa za Kidini. Ukristo, Uislamu nk kila Kadhi ktk Madhahabu yake.
Ndoa ya Mila Kadhi wao atalifanya shauri kulingana na mila Tao ilivyo. Sharia za Dola zisiingiliye wenyewe ndao, mirathi yao.
Uislamu na madhahabu zake Kadhi ataendesha shauri kulingana na kanuni za madhahabu usika. Serikali isiingilie taratibu zao
Ukristo na Kadhi wao na madhahabu zao hivyo hivyo.
Tena taratibu zote zitakuwa zilianzia huku kwenye mila ama dini wamekubaliana wakiwa na viongozi wao, siku ya siku inakuwa Mahakamani tena Hakimu huko ana Mila yake Dini yake tafauti na ndoa ilivyofungwa. Matokeo yake hukumu isiyoridhisha.
1. Ndoa za kimila
2. Ndoa za Kdini
3. Ndoa za Kiserikali
Hiyo 1 na 2 ndo mahitaji yalipo.
3. Hii yenyewe tayari INA hizi mahakama tuluzo nazo ambazo zinasumbua sana haki za miradhi.
RITA inaingia hapa ktk mlango wa " kabidhi wasii" baada ya familia kuwa na Shauri la mirathi Mali zote hupewa wao hadi mwisho wa Shauri.
Mara nyingi shauri lipofika mwisho Mahakamani wao wanapaswa kukabidhi mirathi kwa wahusika hawafanyi hivyo.
Mjane na bint hubaki kudhalilika.
Endapo ndoa ni ya kimila baada ya shauri kwisha Serikali iyatambue mashauri hayo na maamuzi yalotolewa
Hali kadhalika na ndoa za Kidini. Ukristo, Uislamu nk kila Kadhi ktk Madhahabu yake.
Ndoa ya Mila Kadhi wao atalifanya shauri kulingana na mila Tao ilivyo. Sharia za Dola zisiingiliye wenyewe ndao, mirathi yao.
Uislamu na madhahabu zake Kadhi ataendesha shauri kulingana na kanuni za madhahabu usika. Serikali isiingilie taratibu zao
Ukristo na Kadhi wao na madhahabu zao hivyo hivyo.
Tena taratibu zote zitakuwa zilianzia huku kwenye mila ama dini wamekubaliana wakiwa na viongozi wao, siku ya siku inakuwa Mahakamani tena Hakimu huko ana Mila yake Dini yake tafauti na ndoa ilivyofungwa. Matokeo yake hukumu isiyoridhisha.