Mahakama ya Kadhi ni nini?

Mahakama ya Kadhi ni nini?

hiyo mahakama unaitaka ya nini ?
kisutu haitoshi ?
imani ni nzuri na ni mbaya
Ishu sio kuitaka mahakama ya kadhi issue ni kitendo cha hawa ccm wapitisha mikataba ya kinyonyaji kuchanganya siasa na dini huku wakiwashambulia viongozi wa dini wanaoitaka serikali dharmu ya ccm kufuata katiba na sheria za nchi
 
Sisi Wakatoriki tukikosana tunasuluhishana kwenye jumuia zetu.
Tukishindwana tunaenda kusuluhishwa ngazi za juu, yaani kwa.
Katekista
Padiri
Paroko
Askofu
Na tukishindwana hadi ngazi hiyo tunaenda kushtakiana katika Mahakama za Serikali.

Huko kwenye dini tunajigharimia wenyewe.
 
Back
Top Bottom