Mahakama ya kadhi hii hapa!

Mahakama ya kadhi hii hapa!

Kwani Watanzania wengine sio waislamu? Wewe vp mbona unazungumza pumba. Tutaianzishaje nje ya mfumo wa mahakama si tatizo lilipo sasa hivi au mnafurahia kuona waislamu wakihangaika na chuki zenu mbaya.
Nyie walalmishi sana! Hivi mnafikiri imani nyingine hawana utaratibu? Kwa taarifa yako wakristo hawatakiwi kupeleka kesi zao kwa asiye mkristo na wanalifanya hilo kwa hiari kupitia wachungaji/mapadre etc. Sasa na ninyi si mfanye kivyenu? Au mnahofia kuna mambo yatagongana na katiba ndio maana mnalazimisha takeover? Kama ni hivyo si muwe wazi?
 
ITAENDESHWA KWA GHARAMA ZA NANI ? KAMA NI KWA GHARAMA ZA SERIKALI WATAKUWA NA UPUNGUFU WA AKILI KICHWANI. :mod:
Ukiona serikali inashirikishwa jua moja kwa moja bajeti inatoka serikalini!
 
What will happen if kila Kabila litataka liwe na mahakama za jadi?
 
inashangaza kuona viongozi wa sr ya ccm wakikemea udini tena haohao wakiwa chanzo chakuchochea udini katiba ya ccm na tz vinatambuwauhurubinafis wakuabudu sasahii inatokawapi? Jee dini zingine nazozikianzakudaii mahakamazaoitakuweje reowameanza waisilam kesho wabuza wayahud wazorasit hindu wababi wakirisito wabahai wakiisha tunaanza mahakama za makabira kwahgarama za walipakodi tutafika? Bado tunaitaji maishabora kwa kiramtanzania
 
Qadi (also known as Qaadi, Qaadee, Qazi, Kazi or Kadi) (Arabic: قاضي qāḍī&#8206😉 is a judge ruling in accordance with the sharia, Islamic religious law appointed by the ruler of a Muslim Country. Because Islam makes no distinction between religious and secular domains, qadis' traditionally have jurisdiction over all legal matters involving Muslims. The judgment of a qadi must be based on ijmah, the prevailing consensus of the ulema, Islamic scholars.

A qadi must be an adult and free man(not a slave or having been one), a Muslim, sane, unconvicted of slander, educated in Islamic science, and his performance must be totally congruent with Sharia without using his own interpretation. In a trial in front of a qadi, it is the plaintiff who is responsible to bring evidence against the defendant in order to have him or her convicted. There are no appeals to the judgements of a qadi.The Qadi must exercise his office in a public place, the chief masjid is recommended, or, in his own house, where public should have free access. A qadi must not receive gifts from participants in a trial and he must be careful in engaging himself in trade. Despite the rules for the office, Muslim history is full of complaints about qadis. Often it has been a problem, that qadis have been managers of waqfs, religious endowments. The origin of the institution of qadi, is the old Arab arbitrator, the hakam, but qualities from officials in areas conquered by Arabs have been added to the structure.
hawa jamaa wakingangania kitu hata kama hakina faida wanataka tu washinde then basi!!!nchi haina dini wao wanataka kadhi mbaya zaidi watanzania tunaoana tu bila kujali dini na unaweza kuta ukoo mmoja ila dini tofauti sasa wao wanadhani hili litafanikiwa kweli!!nendeni shule acheni ukadhi waachieni wasomali wenye kadhi yao bongo hakuna dini
 
Mi sipendi watu wanafiki. Hivi kwa nini waislam hawataki kuwa wazi ni nini wanataka? tathmini yangu fupi kwao (wanaodai kadhi+serikali):
1. Wana mikakati endelevu ya kuifanya nchi hii iwe ya kiislam
2. Wanataka kuwa sehemu ya sababisho la kuja kwa Imam Mahdi kwa kuweka chaos dunia nzima, wakianzia na Tz
3. Hawajui wanachotaka kufanya. Yaani ni mashabiki tu.
Siamini kama wengi wako kundi la 3. Wengi wako makundi mawili ya juu!
 
yaani manamaanisha mnataka kuanzisha zile sheria za somalia za akikamatwa amezieni/amesema uongo au kosa lolote anapigwa mawe hadi kufa? yaani ndani ya nchi yangu ya tz? kweli nitahama hiyo ncho maramoja maana haitakuwa na umhimu kwangu hata kidogo
 
Halafu si watataka POLISI na MAGEREZA ya kiislamu vinginevyo hizo mahakama za kiislamu zitafanyaje kazi bila POLISI na MAGEREZA? watuhumiwa watakamatwa vipi? watafungwa wapi? ikiwa mtuhumiwa siyo muislamu inakuwaje?....mimi sielewi hii kitu umuhimu wake
Tunahitaji POLISI na MAGEREZA na ndio sababu kuu ya kutaka iwe kwenye katiba, hukumu hukaziwa na amri za Dola na polisi na Magereza ndio dola yenyewe.
Sheria hizi za kibinaadam zina dhulma nyingi, ndio maana kiongozi akitaka kubaki madarakani anabadilisha KATIBA ili imsaidie yeye. Anaunda tume ya uchaguzi itakoyamtangaza yeye(hii ni mifano hai)
Iweje mke uliemuoa kwa maana ya kumuoa, akufanyie visa kisha ugawane nae mali uliochuma miaka 20 kabla ya ndoa, wakati unamuoa alikuja na shs ngapi kama mchango wa uchumi!? Nikiwa sina kitu, nina madeni chungu mzima mpaka mengine yanahatarisha mimi kufungwa, Je yuko tayari yeye na ndugu zake tugawane hayo madeni?!
 
ikiwa mtuhumiwa siyo muislamu inakuwaje?
Utakwenda kuswali kwenye msikiti wa Waislam hali yakuwa we si Muislam? haiwezekani! Mahakama hii ni kwa watu Wanaoamini tu, na ni IBADA kwao kuhakikisha ipo na inafanya kazi! ilikuwapo wakati wa mkoloni(ndio maana maeneo ya pwani kulikua hakuna kesi za kuuwana wala kunyang'anyana mashamba)na ilifanya kazi,kwataarifa yako, ipo katika KATIBA ya sasa ya KENYA.
 
Mahakama hiyo ikija isiache kutoa hukumu za haki kama kuwakata pua wasichana wanaokataa waume zao. Ggonga hapa kwa ushahidi http://http://news.yahoo.com/s/ap/20101208/ap_on_re_as/as_afghan_woman_disfigured kuwapiga mawe wazinzi na kuwachapa viboko washerati. Mahakama ihakikishe inaajiri wanazuoni waliofuzu na ikiwa hapa nchini hawapo iende ikachukue Somalia wapo wengi sana kule natumaini hapa watawalipa vizuri hivyo watakuja tu.
Katika Uislam, "SHARIA" zimegawanyika katika sehemu kadhaa
1. Sheria za UHALIFU (Criminology, Adultery, Murder na vinavyofanana na hivyo) hapa ndio kuna kupigwa mawe!
2. Sheria za Kodi (unatakiwa kulipa vipi kodi katika utaratibu wa kislaam/kutoa Zaka)
3. Sheria za Fedha (Banking na Mikopo/siku hizi watu wanachukua Phd katika eneo hili na linafanya kazi hata hapa Tanzania- KCB, NBC, STANBIC BANK)
4.Sheria za Masuala ya Jamii/mahakama ya kadhi(Kuoa, Kuacha, kurithi, kurithishwa, wosia, wakfu, kudai talaka, malezi na Maadili katika jamii)/ na hii ndio inayo ombwa kuanzishwa.
Usiingize mila, desturi na tabia mbaya za jamii fulani katika hili, hakuna kipengele cha mtu ang'olewe pua kisa hata kuolewa! hizo ni mila na tabia mbaya kama vile wamasai wanavyoo oza bint wa miaka 9 kisa amelipwa ng'ombe nyingi!
 
Jitahidini na Jihad yenu ila tu muwe wazi! Msitafunetafune maneno, hakuna mtoto mdogo hapa!
 
Unapo ulizwa unatakiwa kutoa majibu aidha unaweza kujuwa jibu la swali au kutojuwa jibu la swali... na kutojuwa jibu la swali si ujinga, bali ni moja ya njia moja wapo ya kuelekea kujuwa jibu la swali.

Hatushindani mkuu.

Kaa chini! acha kuuliza uliza majibu
 
Jitahidini na Jihad yenu ila tu muwe wazi! Msitafunetafune maneno, hakuna mtoto mdogo hapa!

Wewe nadhani una matatizo kama yale ya Jerusalem, na wengineo hamna hoja zaidi kutumia nguvu nyingi akili kidogo kujenga hoja. Tanzania yetu sote kama ulidhani iliwekewa msalaba basi sahau hilo niyetu sote tuwe tunaheshimiana na kuvumiliana na sio kulazimishana. Na kuhusu mahakama ya kadhi wewe kama hukubaliani nalo wapo wenye kukubaliana it is a simple as that bwana Yeshua stahamili tu ndio hivyo kizazi kinabadilika.
 
Mahakama ya kadhi haitahitaji polisi wala magereza, kwa sababu itashughulika na mirathi na mambo ya ndoa tu, na haitamlazimisha kila muislam aende akatafute haki yake huko, ni kwa wale tu watakao kuwa tayari kurithia maamuzi ya mahakama hiyo. So kama wewe ni muislam na una imani na mahakama za kawaida you proceed na kufungua malalamiko yako huko, na kama una imani na mahakama ya kadhi waenda huko, so hakuna kulazimishana!

kama hakuna kulazimishana mbona mnang'ang'ania itambuliwe na serikali???hivi mbona mna matatizo?


badala mdai shule na hospitali za kiislam(atleast it would make sense)...mnadai????na kwa nini msizianzishe misikitini bila kuihusisha serikali???nafikiri waislam mliosoma jaribu kufanya mageuzi kwenye mchakato wa kuwapata hawa viongozi wa kiislam...yani apart from elimu akhera awe na kiwango cha kuridhisha cha elimu dunia...najua hawa masheikh wasiosoma wanawtia aibu waislam wasomi..hakuna muislam msomi anayeweza kukomaa na oic na kadhi katika nchi yenye mchanganyiko wa dini kama tanzania...
 
Acha ujinga huo wewe nani kakuambia waislamu wanataka fedha za makafiri na wakristo? Ila tatizo ni kwamba mmeweka katika vichwa venu wakristo pekee ndio walipa kodi endelee kuota tu. Tanzania walipa kodi ni waislamu na wakristo na kama kutahitajika pesa ya kuiendesha itatokea katika fungu la kodi za waislamu. Wewe na kodizako za nguruwe endeleeni na ujinga wenu. Kujitegemee hakumaanishi nguvu ya kisheria sisi tunataka mahakama ya kadhi iwe na nguvu ya kisheria basi. Kuhusu kuendeshwa itaendeshwa tu but msifikiri hii serikali ni ya wakristo peke yenu tuondolee ujinga wako hapa!!

soma tena kwenye RED...nikisema umeandika pumba nitakuwa nimekosea??unawezaje kutenganisha VAT iliyolipwa na wakristo na waislam??muuza mkate dukani anapopokea hela kutoka kwa mteja aandiki majina ya mteja na hata angeandika TRA haimuhitaji apeleke mchanganuo wa majina ya walionnua bidhaa...kuwa makini na unachokiandika sio kutetea hoja tu
 
MZALENDO MKUU,

Mkuu unapoongea weka na mifano kidogo au ukubali kuwa hujapata habari za kutosha kuhusu mahakama ya Kadhi. Mimi nimelifuatilia kidogo hili la mahakama ya kadhi kwa nia ya kutaka kujuwa mahakama ya kadhi ni nini, kazi zake na kwa nini ni muhimu kwa waislamu.


Katika tafuta tafuta hizo habari, Nimejuwa kuwa kwanza hii mahakama ipo Zanzibar, ipo Kenya pia. Huko Kenya baada ya katiba mpya kulikuwa na tofauti ya mawazo kuwa jee ibaki kuendelea kuwepo au la. Lakini tokea Kenya kupata uhuru imekuwepo.


Kazi kubwa za mahakama hii ni kushughulikia migogoro ya ndoa za kiislamu na urithi kwa utaratibu wa dini ya kiislamu na siyo kuendesha kesi za madai na makosa ya jinai kama ambavyo mahakama za kiserikali zinafanya. kwa hiyo hilo la kukatwa mikono au miguu halipo, ni hofu tu uliyojijengea, pengine kwa kutokujuwa nini mahakama ya kadhi na kazi zake, au kwa sababu nyengine unazozijuwa wewe.


kwa kifupi, mahakama ya kadhi itakuwa inatoa usuluhishi katika mambo ya ndoa na talaka za kiislamu, na kuelekeza mgao wa urithi kwa waislamu watakaotaka kufuata viwango vilivyoekwa katika uislamu. Walio na matatizo kama wote ni waislamu wanakuwa wana-option ya kuitumia hii mahakama ya kadhi, ila hawalazimiki kufanya hivyo, wanaweza kutumia mahakama za kawaida wakiamua hivyo.


Ama kama ni lazima, serikali iridhie na iruhusu hii mahakama iwepo au wenyewe tu waislamu waianzishe, hapo nafikiri ndio penye mjadala.

Pengine ni vizuri kutofautisha mahakama za kiislamu kwa maana ya mahakama katika nchi za kiislamu kama Saudi Arabia, Iran, na mahakama ya kadhi katika nchi ambayo misingi yake ya sheria si Islamic laws (sharia).


Mahakama ya kadhi katika Tanzania Bara(Tanganyika) haitakuwa na uweza wa kutoa hukumu ya kukatwa mtu mkono, kunyongwa au kufungwa jela. Nimetumia , Tanzania bara ili kutofautisha na Zanzibar kwani Zanzibar ambayo ni m-bia katika Tanzania wanayo mahakama ya kadhi na wala hakuna aliyekatwa mkono kupitia mahakama hii,wala kupelekwa jela kupitia hukumu ya mahakama hii. Ni vivyo hivyo huko Kenya, vilema hawajaongezeka kutokana na kuwepo kwa mahakama ya kadhi.
Wala si katika kazi zake mahakama ya kadhi kusilimisha mtu au nchi.


Tujielimishe kwanza kabla ya kukurupuka kufanya ubishani na malumbano ambayo hayazingatii facts.

hapa issue sio itadeal na civil matters au criminal ones...issue ni itagharamiwa na nani??na kwanini msiianzishe huko huko misikitini kama wanandoa wa kikristo wanapotofautiana wanaenda kwa padre kwa ushauri
 
Mbona kodi za waTanzania kwa miaka mingi tu zimeendesha mashule ya kikatoliki?

ambayo kikwete na lipumba walisoma...hakuna aliyeikataza bakwata kuanzisha shule za kiislam...oops kumbe ipo kinondoni muslim na al hamain
 
kwa mara ya kwanza mchungaji umepotoka.

hawa jamaa huwa wanamsururu wa ajenda katika harakati zao za kutaka kuitawala dunia.

hiyo ishu ya kadhi na takataka zake ni moja tu katika mamilioni ya hoja zao.

subiri uone.

wakiruhusiwa kuendesha mahakama ya kadhi lazima wataibua madai mengine mapya.

yakumbukwe maneno yangu hata nijapo kufa.

hoja ni kuzuia kabisa harakati za waislamu wenye msimamo mkali Tanzania

mambo ya kadhi, sijui nini peleka huko kwenye banda la nguruwe. tupa huko!!!!


nakubaliana na wewe mkuu...kuna msemo usemao "IF U GIVE A MOUSE A COOKIE HE IS GONNA WANT A GLASS OF MILK"
 
Back
Top Bottom