Mahakama ya kadhi hii hapa!

Mahakama ya kadhi hii hapa!

Hivi Mahakama ya Kadhi ipo kwenye zile Nguzo tano za Kiislam?

1. Shahada ya Imani
2. Swalah
3. Kutoa Zakaah (Kuwakunjulia Wenye Dhiki)
4.
Kufunga katika Mwezi wa RamadhaanKila mwaka katika mwezi wa Ramadhaan (Swaumu)
5.
Kuhiji Makkah

Hii Mahakama Ya Kadhi inaingia wapi? Msaada tafadhali
Hayo yote uliyo yaandika hapo juu, yanapatikana wapi!?
 
Sasa nimeweza kuielewa Mahakama hiyo.
Mahakama ya kadhi inapingana na Katiba ya nchi kama ifuatavyo:
(1) imebase kwenye dini moja (Islam) wakati nchi yetu haina dini
(2) Ni ya kibaguzi- kwani inaendesha kesi za waislam wakati Tanzania sio ya waislam pekee yao. Katiba yetu sio ya kibaguzi
(3) Itaajiri waislam pekee yao hapa bado ni ya kibaguzi-Huenda imelenga kutunisha mifuko ya waislam kwani wamelalamika kwa muda mwingi kwamba maeneo wanayoishi waislam ndipo maskini wengi walipo
(4) Mishahara ya Makazi (Qadis) ni kodi za walala hoi wote wa Tanzania, huu ni ufisadi kwani katiba yetu inapinga kwa nguvu mtu, kikundi cha watu au taasisi ya watu fulani kujinufaisha na RASILIMALI za nchi.

Naomba waruhusu mchakato wa katiba mpya tuone makundi ya kijamii yatakavyowasilisha maslahi yao kwenye katiba mpya. Bila shaka yale ya filauni sasa muda wake wa kuyaona umefika
 
kuuliza si ujinga...zaidi ya kuchapwa mboko na mengineyo kama hayo, ndugu huyu akifungwa anaenda jela ipi? Ile ya wote ama special, je ndugu hawa wasiporidhika na qadhi wanakata rufaa wapi? Je katika kuamua maamuzi yao hayo yakagusa wanadini wengine tunaisort out vipi? Mfano hizi kesi lukuki za haki ya kuzika kikristu ama kiislam..
mahakama ya kadhi zipo zawilaya ukikata rufaa unaenda yamkoa mpk mahkama kuu ya kadhi msijal mahakama ya kadhi nikwa waislam tu haiwagus dini zingine
 
Mahakama ya kadhi ni ya waislam na kwaajili ya waislam tu. Sio mahakama ya kusikiliza kesi za wizi wa kuku ila kwa maswala yahusuyo mambo ya ndoa za "kiislam" na mirathi. Hakuna hata sehemu moja itakayomgusa asie muislam.

Tatizo ni pale zitakapotoa hukumu ya kwenda jela huyo mfungwa atashughulikiwa kwa kufuata sheria za kiislam na askari au taasisi ya kiislam ndiyo itawashughulikia? au haitoi adhabu za vifungo? lakini lazima ziwepo kwani lazima kuna watu watakaidi kutoa matunzo ya watoto au kutaka kuiba mali za marehemu. endeleeni kutuelimisha
 
Kwanini unapenda uliza majibu! Kwa mfano nikikujibu sijui....utashangilia?
Unapo ulizwa unatakiwa kutoa majibu aidha unaweza kujuwa jibu la swali au kutojuwa jibu la swali... na kutojuwa jibu la swali si ujinga, bali ni moja ya njia moja wapo ya kuelekea kujuwa jibu la swali.

Hatushindani mkuu.
 
Ubishi wote huu juu ya kuwa au kutokuwa na mahakama ya kadhi ungeshuhulikiwa iwapo tungeiandika katiba mpya inayoendana na mabadiliko yaliyotokea kwa jamii ya watanganyika tangu tupate uhuru wa bendera mwaka 1961. SASA UWOGA WA WATAWALA WETU KUWA WATAPOTEZA MAMLAKA IWAPO KATIBA MPYA ITAANDIKWA NDIO INATUFANYA TUBAKI NA MAROROSO KAMA HAYA YA MAHAKAMA YA KADHI!!
 
Na wakatoliki wanasikukuu yao ya mwaka mpya wa kikatoliki unaoanza jumapili ya mwisho ya mwezi wa kumi na moja nao pia wapewe!

Wengi ya waisilamu wanaokuja na HOJA KAMA hizo ni wale ambao WANALALA misikitini kutwa kuchwa... kwao siku ya kazi na mapumziko ZOTE ni sawa ... maana kazi yao ni kulala tu... alafu siyo great thinkers kwa kuwa wanachukulia mambo kijuu juu kwenye vijiwe vya kahawa. Kweli nimeamini waisilama sasa wanataka kutukontrol kwa kila jambo

Hivi kutokuwepo kwa mahakama hiyo kwa kipindi choote hicho wamepungukiwa na nini?? Kama yupo muislamu hapa aniambie
 
Wengi ya waisilamu wanaokuja na HOJA KAMA hizo ni wale ambao WANALALA misikitini kutwa kuchwa... kwao siku ya kazi na mapumziko ZOTE ni sawa ... maana kazi yao ni kulala tu... alafu siyo great thinkers kwa kuwa wanachukulia mambo kijuu juu kwenye vijiwe vya kahawa. Kweli nimeamini waisilama sasa wanataka kutukontrol kwa kila jambo

Hivi kutokuwepo kwa mahakama hiyo kwa kipindi choote hicho wamepungukiwa na nini?? Kama yupo muislamu hapa aniambie

Uko sahihi!
 
Tatizo ni pale zitakapotoa hukumu ya kwenda jela huyo mfungwa atashughulikiwa kwa kufuata sheria za kiislam na askari au taasisi ya kiislam ndiyo itawashughulikia? au haitoi adhabu za vifungo? lakini lazima ziwepo kwani lazima kuna watu watakaidi kutoa matunzo ya watoto au kutaka kuiba mali za marehemu. endeleeni kutuelimisha

Mkuu Fungwe,

Nimeipenda hii; 'KNOWLEDGE WILL FOREVER GOVERN IGNORANCE'-People must arm themselves with the power which knowledge gives'

Ukipata wakati ipitie hii thread kuanzia page 1 hadi inapoishia uone kama masuali yako hayajajibika huko.
 
Hayo yote uliyo yaandika hapo juu, yanapatikana wapi!?

Muulize Kikwete maana yeye ndo kayaanziasha na wewe unakuja kutuuliza sisi hapa, YAAAANI HATUJUI CHOCHOTE KWENYE HILI SUALA KABISA SHEIKHE....
 
Naomba msaada kwa wanjamvi, mimi sijaelewa maana ya Mahakama " meaning halisi ya mahakama kama ilivyo kwenye constitutional ya united republic of Tanzania. Nakumbuka nilivyokuwa mdogo kabla ya kuanza STD 1, kulikuwa na aina fulani ya Mahakama ambayo ilikuwa inatumiwa sana na baadhi ya Wanyamwezi au Wasumbwa ilikuwa inaitwa MASUMULE, I don't know how to call it anyway, but it was kind of a court. Je Wasumbwa hawa nao wanaruhusiwa kudai mahakama yao kama Waislaam wanavyodai?
 
Tatizo ni pale zitakapotoa hukumu ya kwenda jela huyo mfungwa atashughulikiwa kwa kufuata sheria za kiislam na askari au taasisi ya kiislam ndiyo itawashughulikia? au haitoi adhabu za vifungo? lakini lazima ziwepo kwani lazima kuna watu watakaidi kutoa matunzo ya watoto au kutaka kuiba mali za marehemu. endeleeni kutuelimisha
Confusion''' one country two courts, one country courts and the other is a religious court, supposing Iam ruled by religious court but I want to appeal ca I appeal in government courts?... Layman naomba msaada, nielimishwe zaidi please.
 
Wengi ya waisilamu wanaokuja na HOJA KAMA hizo ni wale ambao WANALALA misikitini kutwa kuchwa... kwao siku ya kazi na mapumziko ZOTE ni sawa ... maana kazi yao ni kulala tu... alafu siyo great thinkers kwa kuwa wanachukulia mambo kijuu juu kwenye vijiwe vya kahawa. Kweli nimeamini waisilama sasa wanataka kutukontrol kwa kila jambo

Hivi kutokuwepo kwa mahakama hiyo kwa kipindi choote hicho wamepungukiwa na nini?? Kama yupo muislamu hapa aniambie

Kwanza kabla sijakujibu swali naomba tuheshimiane baina ya waislamu na wakristo maana pakiwa na kuheshimiana ndipo maelewano ya mjadala yatakuwapo. Kiburi na dharau ni vitu si vya kubeza hata kidogo. Tuje katika mada husika wewe unadai waislamu wanataka kukucontrol unaweza kutupa some empirical evidence as to why hilo linaweza kutokea. Tofautisha baina watu kudai haki yao ya kimsingi ndani ya katiba na kukucontrol waislamu wanaamka na kujua haki zao za msingi ndio maana wewe na wenzio humu JF mnaanza kulalama kwamba waislamu wanataka kuwacontrol.

Kuja katika kitu kimepungua kwanza ngoja nikupe sababu zilizopokea kuwapo msukumo wa nguvu kudai mahakama ya kadhi. La kwanza kuwapo kwa watu wasiojua sheria za kiislamu na kesi kuamuliwa na watu wasiojua uislamu unataka nini katika masuala ya ndoa hili ni tatizo sugu na limekuwa likiwatatiza waislamu wengi. Kesi nyingi za kiislam zimekuwa zikiamuliwa na mahakimu mahakama za mwanzo ambao either wana upeo finyu sana mambo ya waislamu au hawajui kabisa!!! Hili limechanguia kuwapo kwa maamuzi ya ajabu ajabu na disatisfaction of judicial services ambazo waislamu wanapata.

Pili kupotea kwa mali za waislamu. Kuundwa kwa kadhi court kunaendana pamoja usimamizi wa mali za waislamu. Kwa sasa mali za waislamu zimekuwa chini ya taasisi za kiislamu kama Bakwata na nyenginezo ambapo humo zimekuwa zikipotea na kuangamia katika mikono ya watu wasio na uadilifu. Chini ya kadhi patakuwa mfumo wa kisheria unaosimamia vp hizo mali ambazo zimetolewa na deceased zigawiwe miongoni mwa jamii za kiislamu na jamii zenginezo zisizo za kiislamu. Hili pia litachangia kuondoa ubadhirifu unaofanya na baadhi ya watu ndani ya taasisi za kiislamu kama Bakwata.

Tatu, Kadhi itasaidia kusimamia mfumo mzuri wa ndoa za waumini. At the moment ndoa zinafungwa tu na maimam wa msikiti na masheikh. Kuna mazingira mengine hutokea sheikh anashindwa vp afungishe ndoa na hapo ndio mahakama ya kadhi inaweza kutoa fatwa na msimamo utakaosaidia vp ndoa ya kiislamu ifungwe.

Nadhani hizi sababu chache zitakupa mwangaza badala ya kudharau waislamu na kuwaona watu wa vijiwe vya kahawa kama nyie baadhi yenu mlivyo watu wa vijiwe vya kulia lia na kunywa pombe
 
Confusion''' one country two courts, one country courts and the other is a religious court, supposing Iam ruled by religious court but I want to appeal ca I appeal in government courts?... Layman naomba msaada, nielimishwe zaidi please.

Who told you that there will be one country two judicial system? It will be a country with a single judicial system kama ilivyo zamani the only added thing ni kwamba kutakuwa na baadhi ya area they will be governed by sharial laws kama kwenye masuala ya ndoa, mirathi ya waislamu, vifo, usimamizi wa wanandoa kama sheria za sasa zilivyo.
 
Who told you that there will be one country two judicial system? It will be a country with a single judicial system kama ilivyo zamani the only added thing ni kwamba kutakuwa na baadhi ya area they will be governed by sharial laws kama kwenye masuala ya ndoa, mirathi ya waislamu, vifo, usimamizi wa wanandoa kama sheria za sasa zilivyo.
Hivi mbona hamjibu, kwa nini mnangángánia sana serikali wakati suala la kidini hili? Mnaboa!
Halafu mkiambiwa manajaribu ku take over mwaja na mapovu kwa hasira. Tulieni, kama mnataka mahakama yenu kama mlivyoainisha anzisheni nje ya serikali! Otherwise the only impression mnayoweka ni mnataka hii nchi iwe ya Kiislam.
Jihad ipo kwa namna nyingi sana....hata hii yaweza kuwa ni namna ya Jihad!
 
Hivi mbona hamjibu, kwa nini mnangángánia sana serikali wakati suala la kidini hili? Mnaboa!
Halafu mkiambiwa manajaribu ku take over mwaja na mapovu kwa hasira. Tulieni, kama mnataka mahakama yenu kama mlivyoainisha anzisheni nje ya serikali! Otherwise the only impression mnayoweka ni mnataka hii nchi iwe ya Kiislam.
Jihad ipo kwa namna nyingi sana....hata hii yaweza kuwa ni namna ya Jihad!

Kwani Watanzania wengine sio waislamu? Wewe vp mbona unazungumza pumba. Tutaianzishaje nje ya mfumo wa mahakama si tatizo lilipo sasa hivi au mnafurahia kuona waislamu wakihangaika na chuki zenu mbaya.
 
Back
Top Bottom