Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki, Juni 22/06/2022inatarajia kutoa hukumu dhidi Mwanasheria Mkuu wa serikali ya Tanzania katika kesi ya mwaka 2017 iliyofunguliwa na vijiji vya Loliondo wakipinga kuondolewa katika maeneo yao.
Hukumu hiyo itatolewa na jopo la majaji watatu wakiongozwa na aliyekuwa Jaji Mkuu wa Mahakama hiyo, Monica Mugenyi.
Hukumu hiyo itatolewa na jopo la majaji watatu wakiongozwa na aliyekuwa Jaji Mkuu wa Mahakama hiyo, Monica Mugenyi.