Mahakama Kuu Zanzibar yatupa maombi ya wagombea ACT Wazalendo, wafugua kesi upya

Mahakama Kuu Zanzibar yatupa maombi ya wagombea ACT Wazalendo, wafugua kesi upya

Elias Msuya

Senior Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
173
Reaction score
671
AyJ3sFIa_400x400.jpg

Mahakama Kuu ya Zanzibar imeyatupa maombi madogo ya dharura yaliyowasilishwa na wagombea wa ACT Wazalendo wa Uwakilishi kutoka Majimbo17, yaliyolenga kuzuia Wasimamizi wa Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu kuchomaaukuharibu nyaraka za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Uamuzi huo umetokana na hoja ya upande wa Serikali kuwa Viapo(Affidavits)vilivyotumika vilikuwa na kasoro ya kiufundi, kwa madai kuwa MkuuwaViapo(Commissioner for Oaths) Wakili Ussi Khamis Haji, hakuwa amehuishaleseni yake ya mwaka 2026.

Akieleza masikitiko ya ACT Wazalendo katika taarifa aliyoitoa leo 13 Februari, 2026, Katibu wa Habari, Uenezi, Mawasiliano na Umma Salim A. Bimani, amesema kuna haki dhidi ya ufundi (Technicalities).

“ACT- Wazalendo inasikitishwa na mchezo wa "paka na panya" unaofanywa naupandewa Serikali. Ni dhahiri kuwa, Serikali inatumia nguvu kubwakupataushindi wa kiufundi (technicalities) badala ya kuruhusu Mahakamakusikiliza kiini cha hoja (merits) za maombi yetu.

“Jitihada za kuzuia usikilizwaji wa mashauri hayazinaashiria hofu kubwa juu ya kile ambacho nyaraka hizozitafichuakuhusu uadilifu wa Uchaguzi wa 2025. Sheria haipaswi kutumika kama kichaka chakuficha ukweli. Tunasisitiza kuwa haki ya wananchi kujua ukweli,” amesema.

Kutokana na hali hiyo, Bimani amesema wamemerudi Mahakamani kwa kasi Zaidi na hawaruhusu wapinzani wao kupumua wala kudhani wameshinda.

“Dakikachache baada ya maombi hayo kuondolewa, tayari tumeshafungua upyamaombi hayo (Fresh Application) kwa Hati ya Dharura katika Mahakama Kuu yaZanzibar, yakisajiliwa kama Maombi Madogo nambari 19 ya Mwaka 2026tukiwatumerekebisha kasoro zote zilizodaiwa.”

Wamewatoa hofu wanachama wao, akisema chama hicho kimejipanga kuvuka kila kizingiti cha kisheria kitakachowekwa mbele yao.

“Hatutaruhusu hata karatasi moja ya kura ipotee au kuchomwa moto mpakapalehaki itakapopatikana. Tumejipanga kisheria, tumejipanga kisiasa. Hatuishii kwenye makaratasi, tunalinda heshima ya mpiga kura wa Zanzibar,” amesema.
 
Hawa si ndo wale walisema watashiriki uchaguzi na kulinda kura zao zisiibiwe?!
 
Ninyi ACT msitufanye sisi watoto, je huko zinakohifadhiwa hizo "kura" mmejiridhisha vipi juu ya ulinzi na uhalali wa hizo "kura"?
 
View attachment 3543198
Mahakama Kuu ya Zanzibar imeyatupa maombi madogo ya dharura yaliyowasilishwa na wagombea wa ACT Wazalendo wa Uwakilishi kutoka Majimbo17, yaliyolenga kuzuia Wasimamizi wa Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu kuchomaaukuharibu nyaraka za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Uamuzi huo umetokana na hoja ya upande wa Serikali kuwa Viapo(Affidavits)vilivyotumika vilikuwa na kasoro ya kiufundi, kwa madai kuwa MkuuwaViapo(Commissioner for Oaths) Wakili Ussi Khamis Haji, hakuwa amehuishaleseni yake ya mwaka 2026.

Akieleza masikitiko ya ACT Wazalendo katika taarifa aliyoitoa leo 13 Februari, 2026, Katibu wa Habari, Uenezi, Mawasiliano na Umma Salim A. Bimani, amesema kuna haki dhidi ya ufundi (Technicalities).

“ACT- Wazalendo inasikitishwa na mchezo wa "paka na panya" unaofanywa naupandewa Serikali. Ni dhahiri kuwa, Serikali inatumia nguvu kubwakupataushindi wa kiufundi (technicalities) badala ya kuruhusu Mahakamakusikiliza kiini cha hoja (merits) za maombi yetu.

“Jitihada za kuzuia usikilizwaji wa mashauri hayazinaashiria hofu kubwa juu ya kile ambacho nyaraka hizozitafichuakuhusu uadilifu wa Uchaguzi wa 2025. Sheria haipaswi kutumika kama kichaka chakuficha ukweli. Tunasisitiza kuwa haki ya wananchi kujua ukweli,” amesema.

Kutokana na hali hiyo, Bimani amesema wamemerudi Mahakamani kwa kasi Zaidi na hawaruhusu wapinzani wao kupumua wala kudhani wameshinda.

“Dakikachache baada ya maombi hayo kuondolewa, tayari tumeshafungua upyamaombi hayo (Fresh Application) kwa Hati ya Dharura katika Mahakama Kuu yaZanzibar, yakisajiliwa kama Maombi Madogo nambari 19 ya Mwaka 2026tukiwatumerekebisha kasoro zote zilizodaiwa.”

Wamewatoa hofu wanachama wao, akisema chama hicho kimejipanga kuvuka kila kizingiti cha kisheria kitakachowekwa mbele yao.

“Hatutaruhusu hata karatasi moja ya kura ipotee au kuchomwa moto mpakapalehaki itakapopatikana. Tumejipanga kisheria, tumejipanga kisiasa. Hatuishii kwenye makaratasi, tunalinda heshima ya mpiga kura wa Zanzibar,” amesema.
Namshauri Bi Mani, aachane na siasa atumie muda uliobaki katika dunia ktk dini yake. Mwaka 30 anahangaikia siasa huku dini yake hata kusimama msiktinj akawapa watu nasaha za dini hajafanya
 
Namshauri Bi Mani, aachane na siasa atumie muda uliobaki katika dunia ktk dini yake. Mwaka 30 anahangaikia siasa huku dini yake hata kusimama msiktinj akawapa watu nasaha za dini hajafanya
Screenshot_20250729-090555~2.png
 
Back
Top Bottom