tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Anapakwa mafuta ya kumlainisha tumpakue vizuri sisi wananchiAkishindwa kulipa inakuwaje? Atafungwa?
Anapakwa mafuta ya kumlainisha tumpakue vizuri sisi wananchiAkishindwa kulipa inakuwaje? Atafungwa?
Na tusubiri tuone. Muda ndio muamuzi wa mwisho.Huyo Misiba angekuwa mpinzani hiyo hukumu ingekuwa na maana, na kesi iwe imefanyikia huku Bara. Hakuna mwanaccm anatii amri ya mahakama, hasa mwenye haki anapokuwa mkosoaji wa serikali.
Labda aokolewe na TISS aliyokuwa akijivunia, kinyume chake ndio mwisho wake kama gazeti la Motomoto la miaka ya 90.Na tusubiri tuone. Muda ndio muamuzi wa mwisho.
Watakaza hukumu. maskini hata sijui maana yake ni nini.naomba wanashaeria watujuze,ukidai fidia akishindwa kulipa kinafanyika nini?Akishindwa kulipa inakuwaje? Atafungwa?
Muda ulikuwa hautoshi kwani Jibril alimkalia kooni.Hakupewa kinga yakutokushitakiwa?
Lihove2Pacha, Cyprian Musiba akishindwa kulipa hio hela yatapelekwa maombi mahakamani ya;
1) kukamata mali zote za Gazeti na za kwake binafsi ziuzwe ili alipwe Fatma Karume.
2) Kufungiwa account zake na za Gazetti zote za bank, pesa zilizomo kulipwa kwa Fatma Karume.
Deni lisipowezekana kulipwa kabisa kutokana na mali kutofikia kiasi anacho daiwa, basi maombi ya kumfunga yanaweza kufanywa mahakamani (Civil Jail Term, sio Criminal Jail) na kama maombi yatakubaliwa na mahakama basi itapigwa hesabu ya deni na kifungo atakachotakiwa kufungwa kwa gharama za Fatma Karume (Yani Fatma Karume atakua akimhudumia lishe yake Cyprian Musiba kwa kipindi chote atakachofungwa).
In short, Cyprian Musiba safari hii anaweza akatolewa marinda.
Si waowane tu..
HakikaCC: Sirro
JF haichoshi!Si waowane tu..🤣
Ile ya Mdude na akina Mbowe kurudishiwa hela ilikuwa ya nini?Hakuna amri ya mahakama inayotekelezwa iwapo haki ni ya mpinzani au mkosoaji wa serikali. Hiyo ni hukumu ya kufurahisha genge.
😂😂🤣🤣🤣Kupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;
Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.
Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.
Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
Kwanza,wala kesi ilipitishwa hawakwendaHuenda mawakili wa Musiba wataipangua hiyo kesi.
Ile ya Mdude na akina Mbowe kurudishiwa hela ilikuwa ya nini?
Mwana kulitafuta!Ndo avune alichokipanda
Ya Mdude vipi? Kwani hiyo hela ikirudishwa huwa inatangazwa kwa kila mtu? Sidhani kama sheria za fedha zinataka hivyoFuatilia kama kuna popote wamerudishwa hiyo hela. Hakuna mahali wapinzani wanatekelezewa Hizo haki kwa maana ya haki kutokana na sheria inavyotaka.
Ya Mdude vipi? Kwani hiyo hela ikirudishwa huwa inatangazwa kwa kila mtu? Sidhani kama sheria za fedha zinataka hivyo
Haupo sawa Mkuu, endelea kujitoa ufahamuNarudia tena, hakuna popote serikali inatekeleza hukumu za hivyo, labda uwe na uwezo wa kukamata mali za serikali, kama yule mzungu aliyekamata ndege huko nje.