BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,427
- 8,242
Mahakama Kuu imeamuru Tume ya Uchaguzi IEBC kumpa Mgombea Urais Raila Odinga idhini ya kuzipitia na kuangalia Server zote za Kituo cha Taifa cha Kujumlisha Kura za Uchaguzi Mkuu.
Pia Mahakama iliagiza Tume kumpa masanduku ya Kura kutoka vituo mbalimbali yafunguliwe kwa ajili ya ukaguzi, kuchunguzwa na kuhesabiwa upya.
Vituo hivyo ni Shule ya Msingi Nandi Hills na Sinendeti, Belgut, Kapsuser, Chepkutum, Vituo vya Kupigia Kura vya Jomvi, Mikindani na Wizara ya Maji katika Kaunti ya Mombasa; Shule za Msingi za Mvita, Majengo na Mvita katika Kaunti ya Mombasa; Tinderet CONMO, katika Kaunti ya Nandi, Jarok, Gathanji na Shule ya Msingi ya Kiheo katika Kaunti ya Nyandarua.
===================
The Supreme Court has ordered the electoral agency to give Azimio la Umoja one Kenya Coalition presidential candidate Raila Odinga access to any server(s) at the National Tallying Centre that might have been used for storing and transmitting voting information.
The court also directed the agency to give him the ballot boxes for various polling stations be opened for inspection, scrutiny and recount.
The stations include Nandi Hills and Sinendeti Primary School in Nandi, Belgut, Kapsuser and Chepkutum Primary Schools in Kericho County; Jomvi, Mikindani and Ministry of Water Tanks Polling Stations in Mombasa County; Mvita, Majengo and Mvita Primary Schools in Mombasa County; Tinderet CONMO, in Nandi County; Jarok, Gathanji and Kiheo Primary School Polling in Nyandarua County.
NATION
Pia Mahakama iliagiza Tume kumpa masanduku ya Kura kutoka vituo mbalimbali yafunguliwe kwa ajili ya ukaguzi, kuchunguzwa na kuhesabiwa upya.
Vituo hivyo ni Shule ya Msingi Nandi Hills na Sinendeti, Belgut, Kapsuser, Chepkutum, Vituo vya Kupigia Kura vya Jomvi, Mikindani na Wizara ya Maji katika Kaunti ya Mombasa; Shule za Msingi za Mvita, Majengo na Mvita katika Kaunti ya Mombasa; Tinderet CONMO, katika Kaunti ya Nandi, Jarok, Gathanji na Shule ya Msingi ya Kiheo katika Kaunti ya Nyandarua.
===================
The Supreme Court has ordered the electoral agency to give Azimio la Umoja one Kenya Coalition presidential candidate Raila Odinga access to any server(s) at the National Tallying Centre that might have been used for storing and transmitting voting information.
The court also directed the agency to give him the ballot boxes for various polling stations be opened for inspection, scrutiny and recount.
The stations include Nandi Hills and Sinendeti Primary School in Nandi, Belgut, Kapsuser and Chepkutum Primary Schools in Kericho County; Jomvi, Mikindani and Ministry of Water Tanks Polling Stations in Mombasa County; Mvita, Majengo and Mvita Primary Schools in Mombasa County; Tinderet CONMO, in Nandi County; Jarok, Gathanji and Kiheo Primary School Polling in Nyandarua County.
NATION