kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,132
- 6,100
AG ataenda court of appeal kama alivyofanya kwa Nondo!Safi sana!
Kiburi cha Jiwe sasa kitapungua.
Ni imani yangu mahakama itakuwa imetamka kuwa vifungu hivyo ni kinyume na katiba na kuagiza vifutwe/virekebishwe.
Ushauri:
Serikali/Bunge wasipotekeleza amri hii mpaka tarehe ya uchaguzi mkuu wa mwakani,nashauri wapinzani waiombe Mahakama izuie uchaguzi mkuu unaokuja mpaka pale amri hii halali ya Mahakama Kuu itakapotekelezwa.