Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Hii iko KenyaKesi nyingine ifunguliwe Mkurugenzi wa TISS akishateuliwa lazima ajadiliwe na ajieleze mbele ya kamati maalum ya wabunge yenye wabunge kutoka vyama vyote, kamati iwe na uwezo wa kumkataa.
Kesi nyingine idai mabadiliko kwenye uteuzi wa IGP asiwe mteule wa Rais, iwe ni kazi ya kuomba miongoni mwa polisi wenyewe na bunge ndio liwe na mamlaka ya kumtengua pale linapoona inafaa na pia kama itapendekezwa na Rais..
Je wewe unashauri je ?!. Kwamba huu utaratibu wenye elements za kikoloni ndiyo uendelee au ?!.Serikali ndio Yenye Mamlaka Ya Kupeleka Jambo Lolote Bungeni, Mahakama Haina Mamlaka Ya ku- enforce Serikali Kupeleka Mswada Bungeni, Vifungu Vitaendelea Kutumika Kama Awali, Then Mahakama Haijabatilisha Bali Mahakama Imesema Ambao Ni Wanachama Wa Chama Fulani Hawapashwi Kuwa Wasimamizi Wa Uchaguzi
Mmeweka "alama kwenye taifa letu," Najua Fatma yupo, huyo Bob bado yupo au alishaondoka?Mumeacha alama kwenye taifa letu.
Mambo yanazidi kuongezeka huku muda ukipungua kwa kasi ya kutisha! Hawa jamaa walijidanganya sana na ile kauli ya "nikulipe mshahara na kukupa gari alafu umtangaze mpizani ....".
Sasa angalia, watu wanajipanga kupora majimbo bila ya kupigiwa kura kwa kutumia nguvu ya dola huku wakisahau huenda hiyo 2020 pesa ya uchaguzi tukasaidiwa na mabeberu na ndio wakashinikiza sheria zifuatwe.
Mungu ni mwema.
Hahahaa nilikuwa nasoma mpaka mwisho nione kama usingeacha ku drop tusi " ..laiti ingetokea hivyo ningestaajabuKabudi nowhere to be seen!
Yupo mambo ya nje na Kiingereza chenyewe hajui....
Sijui anaongea pumba gani huko kwa weupe!
Zee nafiki kama ngozi ya pumbu aisee
CCM bila hawa wakurugenzi na polisi ni wepesi kuliko karatasi ya mgololonafikiri ni moja maamuzi mazuri ili kuleta usawa na kuondoa malalamiko yasiyo ya lazima.
Hii haifanyi kazi. Tumeona hata vyeo visovyostahili wanasiasa katika civil service wanateuliwa wanasiasa! Kiburi kilifikia impala makamisheni wa Tume ya Uchaguzi wanachaguliwa viongozi au yalikuwa viongozi wa vyama vya siasa!Ni gharama nyingine zinatengenezwa. Suluhisho lilipaswa kuwa watumishi wa umma wasiwe wanachama wa vyama vya siasa
Si kweli, tume ya uchaguzi siyo kusimamia uchaguzi tu, kuna ku-update list ya wapiga kura etcJamaa watakuwa wanakula mshahara tu kusubiri Uchaguzi kila baada ya miaka mitano.
Unaumia nini Stroke ?!. Mbona mlituambia mmeokoa za wafanyakazi hewa unaziona ?!Jamaa watakuwa wanakula mshahara tu kusubiri Uchaguzi kila baada ya miaka mitano.
Wasaliti tumbo joto ! unaacha ubunge ili uwe mbunge baada ya miezi michache unapoteza ubunge kwa aibu .MaCCM yatatokwa mapovu kama yametafuna majani ya magimbi
Watakata rufaaSafi sana!
Kiburi cha Jiwe sasa kitapungua.
Ni imani yangu mahakama itakuwa imetamka kuwa vifungu hivyo ni kinyume na katiba na kuagiza vifutwe/virekebishwe.
Ushauri:
Serikali/Bunge wasipotekeleza amri hii mpaka tarehe ya uchaguzi mkuu wa mwakani,nashauri wapinzani waiombe Mahakama izuie uchaguzi mkuu unaokuja mpaka pale amri hii halali ya Mahakama Kuu itakapotekelezwa.