Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Nadhani Mahakama itakuwa imeamuru kuwa vifungu hivyo ni kinyume na katiba na kuagiza vibadilishwe.Wanasheria tupe ufafanuzi vizuri
Nadhani Mahakama itakuwa imeamuru kuwa vifungu hivyo ni kinyume na katiba na kuagiza vibadilishwe.Wanasheria tupe ufafanuzi vizuri
Ni gharama nyingine zinatengenezwa. Suluhisho lilipaswa kuwa watumishi wa umma wasiwe wanachama wa vyama vya siasa
Leo nimefurahi dada Mane wacha tuu!hhaaa na ni kweli..hii ndo comment yako ukioneshwa kufurahishwa na mienendo ya serikali😁😁😁...zoote unakuwaga uko alosto balaa😁😁
Leo nimefurahi dada Mane wacha tuu!
Majaji kwa mara kwanza wamenifurahisha aisee.....hongera sana kwao!
Shetani ameshindwaJiwe katoka Kwa sangoma ufunguzi wa soko LA tumbaku lakini naona hayamnyokei kila mahali majanga
ingekua good, maana unaweza kutishwa na ilaniNi gharama nyingine zinatengenezwa. Suluhisho lilipaswa kuwa watumishi wa umma wasiwe wanachama wa vyama vya siasa
Habari nzuri hiiNadhani Mahakama itakuwa imeamuru kuwa vifungu hivyo ni kinyume na katiba na kuagiza vibadilishwe.
Hofu yangu hakimu aliyeamua hii kesii, nadhali atakula-demotion faster......nafikiri ni moja maamuzi mazuri ili kuleta usawa na kuondoa malalamiko yasiyo ya lazima.
Kiongozi maccm yanatakiwa yatafune majani ya mipapai ili povu kitoke vizuri hahahahahaaaaaaaaaaa.MaCCM yatatokwa mapovu kama yametafuna majani ya magimbi
Yupo anajadiliana na Indo Power warekebishe mkataba wanunue korosho...Huyu Kabudi ataibika sanaWapi Kabudi😏😏