Mahakama Kuu Kenya kuzuia madaktari wetu kuajiriwa kwao: Watanzania tumejifunza nini?

Mpuuzi wewe na fikra zako. Serikali ya kenya ndio itakayotoa taarifa ya kusimamisha zoezi linaloendelea hapa Tanzania.
Mahakama haiwezi kutoa uamuzi bila kuwapo mtu aliyeenda kulalamika. Hivyo serikali ya kenya ndio itakuja kusema tumeshindwa kesi hivyo zoezi lisimame. Tanzania haina itakachopungukiwa kwani huu ni msaada na kama anayesaidiwa akisema asante inatosha basi. Tatizo nyie wakosa akili mmeona nalo la kufanyia ligi. Kweli ukiwa chadema lazima uwe tahira halisi au hata wa kuigiza
Kuna kipindi watu walikuwa wanapiga makofi wanamshangilia Mwalimu .. huku wamevaa magunia yambolea hali ngumu hata nguo hamna. Nashangaa hadi leo watu wale bado mpo!
 
Hivi karibuni Mamlaka za juu nchini ziliafiki ombi la Waziri wa Afya wa Kenya juu ya ajira ya madaktari wetu. Madaktari hawa wa Tanzania walikuwa waajiriwe Kenya kuziba pengo la Madaktari wenzao wa Kenya waliogoma. Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kilipinga hatua ya kuruhusu madaktari wetu kwenda Kenya kwa sababu kadhaa. Moja ya sababu ni usalama wao kuwa mdogo. Wadau mbalimbali nao walipinga kuwa wasiende kwani waliogoma walikuwa na haki za msingi wanazodai. Hata hivyo,uongozi wa juu wa Serikali yetu,uliziba masikio ,na kuendelea na maandalizi vijana wetu waende! Kwa kitendo cha jana Mahakama Kuu Kenya kuzuia wasiende,tumejifunza nini?
1. Ni walazimishaji mambo?
2. Uongozi wetu wa juu nchini,hauwaamini Watanzania waliotoa maoni yao kuwa wasiende?
3. Nani alaumiwe endapo mahakama isingezuia,na wakaenda,wakadhurika?

Tupeane ushauri ili,tusijeaibika tena mbeleni kama ilivyotokea!
hivi kwanini nasisi tusipeleke mawakili wetu nguli kupitia TLS wakiongozwa na mh Tundu Lissu wakakate rufaa kwani tunayo protocal ya ushirikiano wa africa mashariki juu ya watu kuwa huru kufanyakazi popote katika jumuia ya africa mashariki. Na jinsi huyu jamaa alivyo mtata akitia timu mawakili wa kenya lazima watupe mafaili na kutokomea.
 
Mkuu kwa kichwa cha kibashite bashite hii issue unaweza kuona ni rahis lkn ni ngumu sana na mm nilijua tunaongozwa na mlevi wala haikunisumbua nilijua itafeli tu. Kwa mtu mwenye akili timamu alielewa kila kitu.
Viongozi wetu wa Afrika wana makamasi kichwani halafu wana umimi sana. Hii issue ya kupeleka madaktari ilikuwa ya kukomoana.
Kenya kuna mgomo wa madakitari, halafu kuna watu km 1400 hiv hawajaajiriwa mpaka sasa kutoka na hawa viongoz wetu mizigo akaona kwa vile yy ni top of other leaders na sheria ipo juu yake akaamua awakomoe akaja tz, huku huyu kiongoz wetu ana katabia ka udikiteta akasema yapi hii ndyo fursa kasahau hapa nyumban tuna upungufu wa madaktari na kashindwa kuwaajiri kaona ndiyo muda wa kutua mzigo.
Isiwezekana kwasbb
1. Usalama. Nchin kenya bado kuna fukuto la wafanyakaz kudai haki zao, na wangepoteza ajira baada hawa kuja kwahyo hawa madaktari wetu usalama wao ungekuwa mdogo. Fikiria hata ww vijana wapo mtaan halafu lep serikali yetu iwajiri madaktari na walimu kutoka burund ungetegemea nn hapo?
2. Vyombo husika vinashughulikia masuala ya afya vilipinga nchi kenya na tz kwahiyo isingewezekana hata kwa dawa za kienyeji.
Viongoz wetu hawajui sheria, wapo tu km misukule na inafikiri kuwa rais ndiyo kila kitu. Lumumba walikata viuno na yule mama ummy naye alishangilia na kusahau kila kitu kinaongozwa na sheria.
Ila nakuambia HAKUNA SERIKALI YYTE DUNIANI DHALIMU ILIYOSHINDANA NA WANANCHI WAKE NA IKAFANIKIWA KUWAWEZA. HAIPO
HAYA WALE WA BUKU 7 WA POLE POLE KATENI MAUNO.ukiwa ccm ww ni kizuu unafikiria kwa kutumia makalio.
Madaktari wa Kenya wasingekuwa na mgomo hii issue ingewezekana kwa urahis sana.
TANGU LINI MLEVI AKATOA MAAMUZI SAHII? POMBE SIYO CHAI NA HUWEZI KUWA NA MAENDELEO KM UTAKUWA MFUASI WA POMBE IWE YA KIZUNGU AU KIAFRIKA
 
Hivi karibuni Mamlaka za juu nchini ziliafiki ombi la Waziri wa Afya wa Kenya juu ya ajira ya madaktari wetu. Madaktari hawa wa Tanzania walikuwa waajiriwe Kenya kuziba pengo la Madaktari wenzao wa Kenya waliogoma. Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kilipinga hatua ya kuruhusu madaktari wetu kwenda Kenya kwa sababu kadhaa. Moja ya sababu ni usalama wao kuwa mdogo. Wadau mbalimbali nao walipinga kuwa wasiende kwani waliogoma walikuwa na haki za msingi wanazodai. Hata hivyo,uongozi wa juu wa Serikali yetu,uliziba masikio ,na kuendelea na maandalizi vijana wetu waende! Kwa kitendo cha jana Mahakama Kuu Kenya kuzuia wasiende,tumejifunza nini?
1. Ni walazimishaji mambo?
2. Uongozi wetu wa juu nchini,hauwaamini Watanzania waliotoa maoni yao kuwa wasiende?
3. Nani alaumiwe endapo mahakama isingezuia,na wakaenda,wakadhurika?

Tupeane ushauri ili,tusijeaibika tena mbeleni kama ilivyotokea!
Nilichojifunza hapo kila mhimili una mamlaka yake kamili na huingiliwi na chombo chochote
 
hivi kwanini nasisi tusipeleke mawakili wetu nguli kupitia TLS wakiongozwa na mh Tundu Lissu wakakate rufaa kwani tunayo protocal ya ushirikiano wa africa mashariki juu ya watu kuwa huru kufanyakazi popote katika jumuia ya africa mashariki. Na jinsi huyu jamaa alivyo mtata akitia timu mawakili wa kenya lazima watupe mafaili na kutokomea.
Elewa kimsingi,madakitari wetu hawajakatazwa kufanya kazi Kenya. The problem ni kwa namna na wakati ilivyotokea wanahitajika. Nina Ndugu yangu Dr,yuko Kenya muda mrefu tu anafanyakazi! Naamini isingekuwa wamehitajika kama solution ya scarcity inayoambatana na mgomo,hakungekuwa na tatizo!
 
Nilishangaa sana kale ka kahaba kanasimama mbele ya runinga kujitapa eti tumepokea maombi 159! Shenzy type kabisa ona yalivyowashuka! Udikteta mwisho Sirari! Udikteta mwisho Holili, Udikteta mwisho Namanga! Shenzy type! HII NI AIBU KWA SERIKALI YETU! TUMEVUNA TULICHOPANDA!!

Mh!! Jaman hata uki comment kwa lugha nzuri utaeleweka, siyo lazima kutukana. Maisha ni kuheshimiana hata kama mnatofautiana.
 
Mkuu kwa kichwa cha kibashite bashite hii issue unaweza kuona ni rahis lkn ni ngumu sana na mm nilijua tunaongozwa na mlevi wala haikunisumbua nilijua itafeli tu. Kwa mtu mwenye akili timamu alielewa kila kitu.
Viongozi wetu wa Afrika wana makamasi kichwani halafu wana umimi sana. Hii issue ya kupeleka madaktari ilikuwa ya kukomoana.
Kenya kuna mgomo wa madakitari, halafu kuna watu km 1400 hiv hawajaajiriwa mpaka sasa kutoka na hawa viongoz wetu mizigo akaona kwa vile yy ni top of other leaders na sheria ipo juu yake akaamua awakomoe akaja tz, huku huyu kiongoz wetu ana katabia ka udikiteta akasema yapi hii ndyo fursa kasahau hapa nyumban tuna upungufu wa madaktari na kashindwa kuwaajiri kaona ndiyo muda wa kutua mzigo.
Isiwezekana kwasbb
1. Usalama. Nchin kenya bado kuna fukuto la wafanyakaz kudai haki zao, na wangepoteza ajira baada hawa kuja kwahyo hawa madaktari wetu usalama wao ungekuwa mdogo. Fikiria hata ww vijana wapo mtaan halafu lep serikali yetu iwajiri madaktari na walimu kutoka burund ungetegemea nn hapo?
2. Vyombo husika vinashughulikia masuala ya afya vilipinga nchi kenya na tz kwahiyo isingewezekana hata kwa dawa za kienyeji.
Viongoz wetu hawajui sheria, wapo tu km misukule na inafikiri kuwa rais ndiyo kila kitu. Lumumba walikata viuno na yule mama ummy naye alishangilia na kusahau kila kitu kinaongozwa na sheria.
Ila nakuambia HAKUNA SERIKALI YYTE DUNIANI DHALIMU ILIYOSHINDANA NA WANANCHI WAKE NA IKAFANIKIWA KUWAWEZA. HAIPO
HAYA WALE WA BUKU 7 WA POLE POLE KATENI MAUNO.ukiwa ccm ww ni kizuu unafikiria kwa kutumia makalio.
Madaktari wa Kenya wasingekuwa na mgomo hii issue ingewezekana kwa urahis sana.
TANGU LINI MLEVI AKATOA MAAMUZI SAHII? POMBE SIYO CHAI NA HUWEZI KUWA NA MAENDELEO KM UTAKUWA MFUASI WA POMBE IWE YA KIZUNGU AU KIAFRIKA
Mkuu,punguza cheche ili nasi tukuelewe vizuri! JF ina misingi,please observe that!
 
Africa /Kenya /Tanzania kuna mahakama? semeni tu hamtaki kazi kama kawaida ya watanzania ,hivi mnafikiri Kenya kuna engineers wangapi hawana kazi au wanaachishwa kazi na wanakuwa replaced by foreigners? unafikiri kama issue hii ingetokea Tanzania hao majirani zetu wasingekuja Tanzania kufanya kazi eti wasubiri Tanzania imalize mgogoro na madaktari nchini, uhuru amenegotiate nao hao over 3months unafikiri hakujua kama kuna madaktari 1400 Kenya hawana kazi? alipokuwa anafanya nao makubaliano hicho chama cha madaktari ndo kwanza ni wahusika wakuu katika makubaliano hayo walikuwa wapi kumueleza uhuru bhana kama hawa hawataki kazi basi ajiri hawa wasiokuwa na kazi ,sisi tunachofuata ni serikali imesema nini, tuchosikiliza ni raisi wao kasema ni basi hayo mengine ya court watajua wenyewe, wamezoea migomo isiyo na tija ,wanataka pesa nyingi bila kufanya kazi sasa chama cha mdaktari wa Kenya wanaona aibu na wanajisikia vibaya kuwaona watanzania kwenda kutoa huduma kwao.
ila kiusalama DRs wa waTZ, kutakuwa na shaka. fikilia na hilo mkuu.
 
Elewa kimsingi,madakitari wetu hawajakatazwa kufanya kazi Kenya. The problem ni kwa namna na wakati ilivyotokea wanahitajika. Nina Ndugu yangu Dr,yuko Kenya muda mrefu tu anafanyakazi! Naamini isingekuwa wamehitajika kama solution ya scarcity inayoambatana na mgomo,hakungekuwa na tatizo!
kwani protal inasemaje juu ya hili? hoja ya mgono sioni kama inamashiko tukate rufaa tukishindwa nasisi tupate msingi wa kuwakataa wakenya siku za mbeleni.
 
Hivi karibuni Mamlaka za juu nchini ziliafiki ombi la Waziri wa Afya wa Kenya juu ya ajira ya madaktari wetu. Madaktari hawa wa Tanzania walikuwa waajiriwe Kenya kuziba pengo la Madaktari wenzao wa Kenya waliogoma. Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kilipinga hatua ya kuruhusu madaktari wetu kwenda Kenya kwa sababu kadhaa. Moja ya sababu ni usalama wao kuwa mdogo. Wadau mbalimbali nao walipinga kuwa wasiende kwani waliogoma walikuwa na haki za msingi wanazodai. Hata hivyo,uongozi wa juu wa Serikali yetu,uliziba masikio ,na kuendelea na maandalizi vijana wetu waende! Kwa kitendo cha jana Mahakama Kuu Kenya kuzuia wasiende,tumejifunza nini?
1. Ni walazimishaji mambo?
2. Uongozi wetu wa juu nchini,hauwaamini Watanzania waliotoa maoni yao kuwa wasiende?
3. Nani alaumiwe endapo mahakama isingezuia,na wakaenda,wakadhurika?

Tupeane ushauri ili,tusijeaibika tena mbeleni kama ilivyotokea!

Mkuu maana yake hii ni kwamba mfano kama wa Kenya ukitokea Tanzania kwa mfano madaktari wa Tz kugoma, ama walimu kugoma, wafanyakazi wa serikali kugoma nk basi usije ukashangaa na Tz kuagiza kutoka Eithiopa, Kenya ama Rwanda na Burundi badala kutatua kero ambazo wahusika wanadai.

Ndivyo tawala za kiafrika zilivyo zina udikteta ndani yake. Mtawala hutumia nguvu kubwa zaidi kumtia adabu mwananchi wake mwenyewe.
 
Hivi karibuni Mamlaka za juu nchini ziliafiki ombi la Waziri wa Afya wa Kenya juu ya ajira ya madaktari wetu. Madaktari hawa wa Tanzania walikuwa waajiriwe Kenya kuziba pengo la Madaktari wenzao wa Kenya waliogoma. Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kilipinga hatua ya kuruhusu madaktari wetu kwenda Kenya kwa sababu kadhaa. Moja ya sababu ni usalama wao kuwa mdogo. Wadau mbalimbali nao walipinga kuwa wasiende kwani waliogoma walikuwa na haki za msingi wanazodai. Hata hivyo,uongozi wa juu wa Serikali yetu,uliziba masikio ,na kuendelea na maandalizi vijana wetu waende! Kwa kitendo cha jana Mahakama Kuu Kenya kuzuia wasiende,tumejifunza nini?
1. Ni walazimishaji mambo?
2. Uongozi wetu wa juu nchini,hauwaamini Watanzania waliotoa maoni yao kuwa wasiende?
3. Nani alaumiwe endapo mahakama isingezuia,na wakaenda,wakadhurika?

Tupeane ushauri ili,tusijeaibika tena mbeleni kama ilivyotokea!
Lipo tatizo wakati mwingine katika uongozi wetu.Tunahitaji kuwa makini zaidi.The fact that we are leaders does not mean that we know everything.Ni lazima tuwe tayari kupokea ushauri.Kukubali ushauri ndiyo hekima na busara zenyewe.
 
Madaktari Kenya wasioajiriwa ni wengi Sana kiliko Tanzania... Na pia ni kuondosha ujinga Wa viongozi wapumbavu kuwa ukishindwa kutatua tatizo na watu wako njia nyingine ni kuchukua kwa jirani ili kuwakomoa... Pia Kenya mfuko wao Wa elimu sio Wa kiswahili ujinga
 
Kahaba ni bi mkubwa wako na wewe ni zao la ukahaba. Kuwa na adabu ala!! Hili si jukwaa la kukosea viongozi wetu adabu.
Madaktari wetu wapo tayari kwenda kufanya kazi Kenya kwa mujibu wa mwaliko wa serikali ya Kenya na si kwa mwaliko wa mahakama ya Kenya. Hivyo ni serikali ya kenya ndiyo ya kusema zoezi hilo basi.
Hawaendi sasa!
 
Back
Top Bottom