Mahafali UDSM: Hawa ndiyo Wanafunzi wa Kike waliopata ufaulu Mzuri

Kweli Hao Ndio wa kuwaoa ila kwa mm npo kushoto Sana nawapendaga wale wa uswahilini dah wanavyojiachiaga daah naskiaga raha kweli kweli Yan dahh
Watoto wanajua kunana nazi yaani au sio,sasa shida ya vile vya uswahili haviji elewi....japo nimekupata kamanda.
 
Leo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.

Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,

Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.

Naona watani Chagga vs Pare

Hongereni sana

View attachment 1976838
View attachment 1976857
Wanawake wanatukimbiza safari hii
 
Hilo wala sijakataa.....Ila ukweli unabaki pale pale papucha za wanawake wanaojitambua(wasomi genuine) nyingi ziko salama,Ila wale wengine sasa.....hatareee,Moto fayaa yaani.
Inategemea Mimi kipindi hiko nilisoma na dada mmoja huyo mzuri na kichwa kweli kweli ila sasa hawezi kukaa sawa bila kupigwa pampu yaani akipata hiyo hata mjitahidi vipi hammpati kwa Marks...hali hile ilikuwa inamfanya awe na wapenzi wengi walimu na wanafunzi Hadi wa o-level ila mwishowe paper ya necta alikuwa best student kwa shule mzima advance hiyo .
 
Mademu ambao ni vichwa wanakuwaga asilimia ndogo sana, wengi ni vichwa maji wanafikiria favour tu....
 
Akiwa na GPA kubwa kapewa, Akifeli hana uwezo, Akiwa na simu/gari kali kuliko yako basi kuna jamaa kampa tu, Familia yake ikisimama vizuri basi ni mume wake ndie anemsaidia vinginevyo hamna kitu, Akivaa vizuri anadanga, akiwa Raisi ni Katiba tu yeye hamna kitu. 😊
😊 hizi ndo habari za vijiwe vya kiumeni.
Sasa tufanyeje, ndio hivyo yaani 😂😂😂
 
Leo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.

Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,

Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.

Naona watani Chagga vs Pare

Hongereni sana

View attachment 1976838
View attachment 1976857
Ila tusisahau tu kwamba ipo tofauti kubwa kati ya ufaulu wa darasani na utendaji kazi ofisini.
 
555291.jpg
 
Inategemea Mimi kipindi hiko nilisoma na dada mmoja huyo mzuri na kichwa kweli kweli ila sasa hawezi kukaa sawa bila kupigwa pampu yaani akipata hiyo hata mjitahidi vipi hammpati kwa Marks...hali hile ilikuwa inamfanya awe na wapenzi wengi walimu na wanafunzi Hadi wa o-level ila mwishowe paper ya necta alikuwa best student kwa shule mzima advance hiyo .
Hii case yako ni ya danga/changudoa la mitihani......alikuwa anauza papuchi ili afauli au avijishiwe mitihani....hii ni totfauti na wasomi genuine,tujaribi kutofautisha hapa mkuu
 
Huyo Irene msengi alikua class mate wangu hapo udbs,kwa kweli hako kabinti kako vizuri sana kichwani.na kama sikosei kalipewa scholarship ya BOT kutokana na kufanya vizuri form 6.hongera zake kwa kweli,amevunja record ya miaka mingi kwani huwa ni vigumu sana kwa mtu kutoka udbs hasa hiyo bachelor of commerce in accounting kuongoza chuo kizima kama ilivyotokea mwaka huu,wengi huwa wanapata first class za kawaida tu.
 
We Bado mdogo,hujajua kucheza na mfumo dume ,makaratasi yake mwisho getini akiingia ndani ni mwendo wa ndio baba tu,kwanza lazima umformat kabisa yaani unaweka window yako mpyaaa
Wewe ndio bado mdogo,
 
Back
Top Bottom