Gibeath-Elohimu
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 487
- 698
Watoto wanajua kunana nazi yaani au sio,sasa shida ya vile vya uswahili haviji elewi....japo nimekupata kamanda.Kweli Hao Ndio wa kuwaoa ila kwa mm npo kushoto Sana nawapendaga wale wa uswahilini dah wanavyojiachiaga daah naskiaga raha kweli kweli Yan dahh