Magufuli yupo wapi

Magufuli yupo wapi

Status
Not open for further replies.
Wanasubri mtarajiwa atoe majibu..c unajua January hachelew kuita waandishi wa habari??
 
Magufuli chaliii.
Siku mbili kimya lazima kuna jambo hapo, kama hajanock atakua anamsubiri diamond arudi kutoka usa ili aendelea kutengeneza mafuriko bila hvyo hapati watu.
 
Jidu ungeanza kuuliza babu duni kapotelea wapi.wiki ya tatu hii haonekani

Ndugu unakurupuka, Duni juzi alikuwa Dodoma na jana kapita Singida na Igunga alihutubia mkutano akiwa njiani kuelekea Tabora mjini. Cha muhimu tupe jibu Magufuli yuko wapi?
 
Tupo tangu kale, CCM ile ile, wapinzani tupa kule...Maghufuli-#jembe-#jembe-,-#CCM-namba moja, naipenda mwenzio...

Kweli ccm ni ile ile ya mafisadi na tusitegemee jipya.

CHAGUA LOWASSA CHAGUA UKAWA.
 
Mnayedhani mzima ndiyo hivyo kalazwa hospitali tena za nchi za watu wengine!.

Tusijeshangaa kuletewa taarifa za "kuzima" kwa kukosa mafuta

Wiki hii wametangaaaaaza kuwa wangekuwa na Mzee Mkamba viwanja vya Mwembe yanga. Cha ajabu wakawepo wale vijana wa UVCCM wahuni na wenye midomo michafu iliyojaa mitusi mithiri ya choo cha shimo!!

Something is wrong with him. Muda haudanganyi ni lazima tu waumbuke hawa!,

kwa hiyo magufuli kalazwa Nairobi. kiss cha kumsimanga lowassa naona mambo yanawarudia wao. waendelee tu kusema lowassa mgonjwa. mungu atawashughulikia
 
ccm ndembendembe, chalii, kifo cha mende...... kwisha kabisa.
 
Muulize nyoso mkuu kama una namba yake. Atakua anamfyetua saa hiz
 
Wakawa. Wanahangaika. Mnafikiri ile pete ya uchawi ya mgombea wenu wa urais inaweza kumdhuru Rais wa Tanzania Magufuli? Nguvu ya hiyo pete ni kujaza wahuni kwenye mikutano tu
Mbona unakwepa swali? Tuambie alipo Magufuli, mmempigisha mapush up na kumrusha kichura betri aliyowekewa imeishiwa charge mtakoma.
 
Kuna mikutano ya mchana na usiku naona anafanya vikao vya usiku mana ndo vina ngumu sna kwa ccm
 
Wandugu mwenye kujua sababu ya kutokuonekana kwa huyu mgombea majukwaani kwa siku ya pili leo atujuze. Nimemiss mapush up

Jana alikua Chalinze na bagamoyo. Leo Mapumziko kesho utamsikia Zazibar.
Hadi jana, tarehe 10.10.2015, Dkt. Magufuli alikuwa amekwishatembelea Mikoa 22 na Majimbo 203. Amekwishafanya mikutano mikubwa rasmi 240 na mikutano 865 ya kusimamishwa na wananchi njiani, hasa wananchi wa vijijini.


Picha hizi ni mikutano ya jana na juzi

12107113_1641467372797378_2507688297079648571_n.jpg 12108273_1641467352797380_7206015268772394542_n.jpg
 
Atakuwa wanamchanja chale si unajua yeye ni mtu wa giza maana hajawahi kuonekana kanisani wala msikitini.
 
Magufuli anaumwa hii kutoka vyazo sahihi.....toka akiwa bagamoyo hali yake haikuwa Njema

Baradhuli mkubwa ww ,shwaini kbsa,unasema anaumwa vyanzo vimekwambia.nyambaf..tcra uyu mtu ashughulikiwe.leo hii alikua ofisi za uenezi kariakoo na tumeona eatv
 
magufuri popote ulipo tuma hata wapambe. nimemisi vimbwanga vyako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom