Genge la wabaka demokrasia wakutana Singida.si wameshazoea kubaka demokrasia na kwa maneno yake aina aja ya kuwa na vyama vingi
Genge la wabaka demokrasia wakutana Singida.si wameshazoea kubaka demokrasia na kwa maneno yake aina aja ya kuwa na vyama vingi
Anaweza kuamua kuufuta mfumo wa vyama vingi Ingawa itamgharimu maana hata nyerere alishinikizwa kuukubali huu mfumo ambao ni sumu ya watawala haswa nchi za afrikaAnasema hayo hata hajafikisha miezi sita kwenye madaraka.Imagine akifikisha miaka saba atasemaje!!
Vitakufa natural death.Sasa si mfute tu vyama vingi mbaki wenyewe?
Kule zanzibar mmeachiwa nchi na cuf na bado mnalia lia badala ya kufurahia ushindi wa mezani.
"Asarama areku, Bwana Yesu asifiwe" - Magufuli anakusalimu.Sasa si mfute tu vyama vingi mbaki wenyewe?
Kule zanzibar mmeachiwa nchi na cuf na bado mnalia lia badala ya kufurahia ushindi wa mezani.
Umelijibu vizuri sana hilo gamba mkuu,pokeasina hakika na tarehe ila uchaguzi unafanyika na yeye alichaguliwA KUWA PALE
Huyo kesha pata hukumu tayariHatuitoi, hatuitoi, kwanza nchi tumeipata kwa mapinduzi hatuwezi kuiacha kwa kura za karatasi labda watupindue, na kutupindua hawawezi maana sisi ndio wenye "MADARAKA". Mareheme Asha Bakari Makame
Vipi naona mkutano wa CCM uko Live? Kwa nini haukurekodiwa na kuoneshwa baada ya ku-edit usiku saa 4, saa 5?Huo ndio ukweli..
kahhh hamna watu kabisaa.,..Genge la wabaka demokrasia wakutana Singida.
Dhiki zako zitakupeleka pabaya kwa kusifia kila kitu kisemwacho na watawala wa ccmAsante Rais Magufuli kwa kuwaeleza ukweli....
Mkuu tunaweka maslahi ya chama mbele kwanza maana yaliyotokea kwa majirani zetu uganda na kenya yanajulikana kwa vyama vya KANU na UPCVipi naona mkutano wa CCM uko Live? Kwa nini haukurekodiwa na kuoneshwa baada ya ku-edit usiku saa 4, saa 5?
Rais magufuli akihutubia kwenye maadhimisho ya miaka 39 ya CCM amesema "Kama kuna chama kina ndoto ya kutawala nchi hii wafute ndoto hiyo''.
Maana hakuna mtawala anayependa kutawaliwa,ameenda mbali na kusema. Hawa wenzetu wapinzani wanawaza ipo siku watatawala nchi hii wasahau hilo.
Dah nimejiuliza ina maana hata hao wapinzani wakishinda kwenye box waendelee kusahau? Nimeanza kupata picha ya kule visiwani,Pole sana Maalim.
Kuitamka demokrasia ni jambo moja,Kuitekeleza ni jambo jingine-Kagame
Hahahaha Sadam Hussein rais wa kuweitTehteh!! Mzee wa kuwait
Kwa hiyo unaona fahari kwa kitendo chb polisisiem kuwadhalilisha mama zetu?Na hasa kwa wapinzani aina ya kina Kubenea wanaokwenda kuchungulia shanga badala ya kujadili matatizo ya waliowatuma