Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Tanzania inasumbuliwa na ugonjwa wa watu kupewa habari nusu nusu, ugonjwa huu huambatana na mwingine ambao ni upotoshaji wa ujumbe unaokusudiwa, lakini dawa ya kuyatibu magonjwa haya ni uanzishaji wa mamlaka itakayosimamia utendaji wa vyombo vya habari.nyie ndio wachonganishi....hajaishia apo amesema kwa kua ccm wanafanya yale ambao wananchi wanayahitaj so wapinzan hawatakua na nafasi yakuchaguliwa...wewe naona unaandika ujinga ujinga tu