Magufuli: Wapinzani wanawaza Ipo Siku Watatawala, Wasahau

Very true na asante sana JPM kwa kuueleza 'ukweli' huu.
Hii ni kwa sababu hiyo NEC hata ikiwa bila Jaji Lubuva daima itaendelea 'kutangaza matokeo kadri inavyoletewa'!
Hahaaaaaaa mkuu kadiri yanavyoletwa.... Nakumbuka sana hi kauli. Na alivyokuwa anatafsiri kiingereza. Nampa big up... Si kazi ndogo atiii.
 
Very true na asante sana JPM kwa kuueleza 'ukweli' huu.
Hii ni kwa sababu hiyo NEC hata ikiwa bila Jaji Lubuva daima itaendelea 'kutangaza matokeo kadri inavyoletewa'!
Nashukuru kwa kunisemea! Wakati wa jk yalipitia mikocheni kwa mir...i na kwenda tume.Magufuri matokeo yalipitia kurasini na keko ndio yakamfikia Lubuva na kailima wakatangaza! Hata babu Duni alipopeleka barua kuwaambia mbona mwatangaza tofauti hakupokelewa wala kusikilizwa! Bila kubadili amri za uchaguzi na kuwa sheria za kuwa tume huru ya uchaguzi kweli mtatawala milele! Mie nimeapa bila tume huru na sheria kubadilishwa SIPUGI KURA TENA!.
 
Unataka kuweka picha kama vile CCM inamilikiwa na mtu binafsi au familia kama chadema, wakati siyo kweli CCM ni Mali ya Watz, ni mtoto wao wamemzaa, wamlea na sasa amekuwa wakati chadema ni mali ya Mtei ameizaa, ameilea na ataamua ni nani amuachie siku zake zikiisha!

Hivyo basi kwa kuwa CCM ni mali ya Watz ina maana Mtz yoyote yule mwenye sifa anaweza kuwa Kiongozi CCM rejea Raisi Magufuli alikuwa Mwalimu tu wa Sekondari leo hii ni Raisi wa nchi ya JMTZ, hata Kikwete mwenyewe hatokei ukoo wa kitajiri na maelite bali ni Mtz wa kawaida ambaye amekulia CCM na leo hii ni Mwenyekiti wa CCM, angalia watu wenye vyeo vikubwa CCM halafu uniambie kama ni maelite kizazi cha ngapi, lkn njoo chadema, nipe stori kama hizo chadema nitajie Viongozi wa chadema ambao ni masikini yaani walioanzia from nothing to the TOP nitajie mmoja TU ili upate uhalali wa kusema CCM wanataka kutawala milele.


Kwa maana kama kuna yoyote yule mwenye kila dalili za udikteta na kujilimbikizia Uongozi na Madaraka ni chadema, Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama na pia na Mkuu ya Upinzani Bungeni na Mtoto wa mwanzilishi wa Chama Mzee Mtei yaani kaoa kwa Mtei, sasa ni nani kati ya CCM na chadema wanastahili kuitwa Chama cha kidikteta?

Kama tu Mbowe amekuwa Mwenyekiti wa Chama bila hata ya uchaguzi na ndiyo anaamua nani agombee Uraisi na asingombee je akiwa Raisi wa nchi kuna dalili yoyote ile ya yeye kuachia madaraka?

Ninaweza kukutajia ni lini kutakuwa na Uchaguzi CCM wa kuchagua Mwenyekiti wa Chama nitajie ni lini kutakuwa na Uchaguzi chadema wa kuchagua Mwenyekiti wa chama!

Angalia CCM Kikwete anaaga hivyo anaondoka anaingia mwingine, haya niambie Mbowe anaondoka lini? Ameongoza Chama kilichoshindwa uchaguzi mara tatu, kidemokrasia Dunia nzima Viongozi hujiuzulu punde chama wanachokiongoza kinaposhindwa sasa Mbowe kashindwa mara tatu na bado leo hii anasimamisha makende yake Bungeni eti anaunda Baraza la Mawaziri Kivuli, analipi jipya? Ni nani dikteta kati ya CCM na chadema?


Angalia Uongozi wa CCM ni sura ya Watz wa nchi nzima, Kikwete anatoka Bagamoyo, Kinana - Arusha, Nape - Mtwara/Lindi, mwingine Iringa ukija kwenye Halmshauri Kuu ya CCM ni sura ya nchi nzima sasa njoo chadema nitajie viongozi wake na wanatoka wapi?
Asilimia zaidi 85 ya viongozi wanatoka eneo ambalo halifikishi hata asilimia 10% ya WatanZania wote halafu unathubutu kuita CCM Chama cha kidekta? Kuna udikteta zaidi ya chadema?
Wewe ni mpumbafu Huwezi linganisha ccm ambayo ipo nchi nzima na chadema ambayo bado ni changa! Wadanganyika wameamka na bila kuchakachua hakika nchi mngeiachia.watoto wa vyuo mliwazuia kupiga kura na uchakachuaji mwingi sana mlofanya mpaka tume ya haki za binadamu waliokuwa na matokeo kamili mkavamia na kuchukua computer zao na vsheria vyenu vya kipuuzi.Mkatengeneza ajali kwa kijo bisimba alikuwa na data zote kichwani mpaka leo hajalejea toka india… Duh very painfully… Jinsi unavyoendelea kujua mambo mengi ndio unapoengeza huzuni yako kwani mengi hufanyika kinyume na ukweli!
 
kwani yeye ndo anaamua?????
hii nchi ni ya katiba huru so atafata katiba sio mawazo yake kma wenu mr roporop;o

Hongereni Miungu ambao Tanzania ni Mali yenu! Kuna aliyekufuru na Kusema, "Mama yangu ana Miaka Tisini Na, Mimi nitaishi Kumwona Raisi huyu akimaliza miaka yake 10, Kisha Nitamuona na Mwingine, baada ya hapo sijui" alikuwa na miaka 75 ilikuwa Ni 1997 aliyasema haya katika birthday yake, Lakini Miaka Miwili Baadaye aifariki. Tena Huyu hakuwa mtu Mdogo, Alikuwa Mwalimu Nyerere. Mh. Magufuli acha kufuru! Anayedhani amesimama aangalie
 
Yupo sahihi kabisa, ccm ni chama cha MWISHO kutawala Tanzania, vyama vya upinzani ipo siku VITAONGOZA Tanzania, kuwapeleka kwenye maisha ya asali na maziwa maana nchi hii ina vyote hivyo, Magufuli ni mtawala wa mwisho kutoka ccm kutawala hii nchi, aendeleze udikteta wake ili wananchi waumie zaidi ya awamu zao zilizopita Mungu si kiziwi hata asitusikie watanzania.
 
Yupo sahihi kabisa, ccm ni chama cha MWISHO kutawala Tanzania, vyama vya upinzani ipo siku VITAONGOZA Tanzania, kuwapeleka kwenye maisha ya asali na maziwa maana nchi hii ina vyote hivyo, Magufuli ni mtawala wa mwisho kutoka ccm kutawala hii nchi, aendeleze udikteta wake ili wananchi waumie zaidi ya awamu zao zilizopita Mungu si kiziwi hata asitusikie watanzania.
am sure watangoka2 siku1,..
kwani kilio cha wengi Mungu atatujibu2 kwa huruma
nao watakuja kuaibika 1day hao ccm
 
Hongereni Miungu ambao Tanzania ni Mali yenu! Kuna aliyekufuru na Kusema, "Mama yangu ana Miaka Tisini Na, Mimi nitaishi Kumwona Raisi huyu akimaliza miaka yake 10, Kisha Nitamuona na Mwingine, baada ya hapo sijui" alikuwa na miaka 75 ilikuwa Ni 1997 aliyasema haya katika birthday yake, Lakini Miaka Miwili Baadaye aifariki. Tena Huyu hakuwa mtu Mdogo, Alikuwa Mwalimu Nyerere. Mh. Magufuli acha kufuru! Anayedhani amesimama aangalie
ni sahihi wao c wanajivunia kuiba kula kwao
thats y wanajua watatawala milele.,...
mambo yanabadilika wakuu msijali
 
am sure watangoka2 siku1,..
kwani kilio cha wengi Mungu atatujibu2 kwa huruma
nao watakuja kuaibika 1day hao ccm
Kabisa mkuu, wanashindwa kujitambua kwamba wengi wao ving'ang'anizi uzee umewafika, na ni dalili za kufikia ukomo wa kuishi, wasijidanganye spirit iliyokuwepo wakati wa kuanzishwa ccm, ndio ipo sasa kwa wananchi, wakati ule walikuwa wote wana ccm, sasa wamegawanyika vijana wana vyama tofauti, hawa wana piga kelele tu, kama maandiko yaliandika kuanguka kwa tawala za wenye nguvu, itakuwaje ccm itawale milele? Ipo siku.
 
Kabisa mkuu, wanashindwa kujitambua kwamba wengi wao ving'ang'anizi uzee umewafika, na ni dalili za kufikia ukomo wa kuishi, wasijidanganye spirit iliyokuwepo wakati wa kuanzishwa ccm, ndio ipo sasa kwa wananchi, wakati ule walikuwa wote wana ccm, sasa wamegawanyika vijana wana vyama tofauti, hawa wana piga kelele tu, kama maandiko yaliandika kuanguka kwa tawala za wenye nguvu, itakuwaje ccm itawale milele? Ipo siku.
mkuu umongea points sana teh
una understanding kubwas sana mkuu,..
spirit zao wanajitahidi kurithisha kwa vijana wao akina j.makamba,mwinyi,ridhi ,khalfani akna nnauye,..
but watu wamechoka(majority) wamelichoka ccm,....
itakuja kuanguka kwa kishindo then watahaibika vibaya mno,..
af tutabadilisha na sheria
kma rais alifanya makosa ashtakiwe afungwe,...
tutaanza na chain na mmojammoja na vasco msoga akiongoza kula miaka mingi,.jela..
 
mkuu umongea points sana teh
una understanding kubwas sana mkuu,..
spirit zao wanajitahidi kurithisha kwa vijana wao akina j.makamba,mwinyi,ridhi ,khalfani akna nnauye,..
but watu wamechoka(majority) wamelichoka ccm,....
itakuja kuanguka kwa kishindo then watahaibika vibaya mno,..
af tutabadilisha na sheria
kma rais alifanya makosa ashtakiwe afungwe,...
tutaanza na chain na mmojammoja na vasco msoga akiongoza kula miaka mingi,.jela..
Mkuu wanao rithishwa ni wachache, wengi wana tumika tu bila kujielewa halafu wana shaulika si umeona JK juzi anaomba wale vijana 46 wakumbukwe tehehtehehtehe ni kichekesho, wakumbukwe kwa kuwa washatoswa sasa wameenda kumlilia, fikiria wasipokumbukwa watawabeba tena? Upinzani wako zaidi ya 46 na hawahitaji kukumbukwa bali wapo tayari kuwakumbusha viongozi wasonge mbele kudai maslahi bora. Mfano mdogo ni bunge la juzi, upinzani wametoka vifua mbele kuisimamia serikali, sasa hao 46 ndio wataisaidia ccm kutawala milele? Warithi watakimbia nchi wapambe watapiga magoti kuomba suluhu ipo siku.
 
Mkuu wanao rithishwa ni wachache, wengi wana tumika tu bila kujielewa halafu wana shaulika si umeona JK juzi anaomba wale vijana 46 wakumbukwe tehehtehehtehe ni kichekesho, wakumbukwe kwa kuwa washatoswa sasa wameenda kumlilia, fikiria wasipokumbukwa watawabeba tena? Upinzani wako zaidi ya 46 na hawahitaji kukumbukwa bali wapo tayari kuwakumbusha viongozi wasonge mbele kudai maslahi bora. Mfano mdogo ni bunge la juzi, upinzani wametoka vifua mbele kuisimamia serikali, sasa hao 46 ndio wataisaidia ccm kutawala milele? Warithi watakimbia nchi wapambe watapiga magoti kuomba suluhu ipo siku.
teh
sahihiiiiiiiiiiii mkuu
respect itarudi2
 
Back
Top Bottom