mambo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 2,373
- 5,600
Hahaaaaaaa mkuu kadiri yanavyoletwa.... Nakumbuka sana hi kauli. Na alivyokuwa anatafsiri kiingereza. Nampa big up... Si kazi ndogo atiii.Very true na asante sana JPM kwa kuueleza 'ukweli' huu.
Hii ni kwa sababu hiyo NEC hata ikiwa bila Jaji Lubuva daima itaendelea 'kutangaza matokeo kadri inavyoletewa'!