MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,174
Siku zote ieleweke kuwa busara zinahitajika na ni muhimu sana katika kuongoza na hata kutawala. Huyu Magufuli anaonyesha ni jinsi gani asivyokuwa na karama na busara za uongozi kwani watu kudai madai ni swala la kawaida ila kukaa nao na kuwasikiliza ni swala jingine na la muhimu sana kwani wanaodai na kugoma ni watu wazima na wana umuhimu katika uchumi wa nchi.
Hii inaonyesha jinsi Magufuri asivyokuwa na walau chembe ya uongozi kwani busara kwake si muhimu bali mabavu.
Watanzania kuwa macho na hizi pilika za urais mwaka 2015 kwani mwanzo wa kuwachunguza wagombea ni sasa.
Fuatene sheria acha ujanja ujanja wa kuandika humu huku ukujua na wewe ni mmiliki wa malori,,,,masuala ya kiutendaji unataka kuyaingizia siasa na kusema muda wa kuchunguza wagombea ndoo huu,,,acha ujanja ujanja ucyo na maana,,,,fuateni sheria kila kitu kiwe sawa,,