serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,306
- 4,681
Aisee... Ashakuwa prezidaa sasa...no coment. Ila magufuli ni muoga na hana ujasiri wa kuwa face wakuu wake wa kazi, ingawa anajituma sana,nakumbuka 2005,alikataa katakata kuchukua form ya kugombea u prezidaa" eti kwakua jk anautaka.