Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,723
- 15,366
,Umenifanya nicheke kwa sauti aiseeeeeeMuoneeni huruma basi
mtu azaliwe chato huko aje kujua tofauti ya Kuwait na Iraq?...
mostly ni nchi anazosoma tu kwenye news..
,Umenifanya nicheke kwa sauti aiseeeeeeMuoneeni huruma basi
mtu azaliwe chato huko aje kujua tofauti ya Kuwait na Iraq?...
mostly ni nchi anazosoma tu kwenye news..
Wanasema mapedlock ni king'amuzi remote anayo jk. Nadhani hapa mtaelewa vema .
Sio suala la kujua au kutojua Kiswahili au Kiingereza, huu ni uthibitisho wa elimu inayosisitiza kukariri. Tunaweza kusema kuwa Makufuli ni mbobezi katika mfumo wa elimu ya kukariri. Kama jambo hajalikariri, ni vigumu kwake kulielezea kwa usahihi na ufasaha. Hajajishughulisha na kukariri masuala ya kimataifa kwa sababu muda wa uwaziri wake amekuwa akikariri urefu na upana wa barabara hizo finyu kama vinjia vya panya. Tanzania ya karne ya 21 tunajivunia vinjia vya panya.Magufuli hajui lugha, hata huko UN ataweza ongea Kisukuma yule....
Hata hiyo Doctorate itakuwa alisoma kwa kiswahili
"Tanzania ni muungano wa Pemba na Zimbabwe"
Tatizo lake ni kupenda mijisifa ya kijinga.
Anajikuta anaropoka tu ili watu wacheke. Mi namuona kama Political Comedian kama Mtikila.
Huyu jamaa anajua mabarabara na kandarasi tu!
Dr.Magufuli unataka umlinganishe na huyo mwenye shahada ya sanaa za maigizo?ebu tuache mizaa kwenye mambo muhimu
Hahahahhaaaaa akome kutudanganya!!
Magufuri ni mtu wa kukariri,sio kuelewa, mtu anaekariri muda flani husahau, hata sasa ukimshtukiza barabwra ya bagamoyo mwenge atakwambia ina kilomita 1000.
Mawaziri wa kikwete ni mzigo,vihiyo. Mulugo alisema Tanzania inatokana na zimbabwe na zanzibar. Pia akasema mbeya ina ukubwa wa kilomita 29 za mraba.
Saddam alikua rais wa kuwait?
Dr.Magufuli unataka umlinganishe na huyo mwenye shahada ya sanaa za maigizo?ebu tuache mizaa kwenye mambo muhimu
Muoneeni huruma basi
mtu azaliwe chato huko aje kujua tofauti ya Kuwait na Iraq?...
mostly ni nchi anazosoma tu kwenye news..
Muoneeni huruma basi
mtu azaliwe chato huko aje kujua tofauti ya Kuwait na Iraq?...
mostly ni nchi anazosoma tu kwenye news..
CCM wanajuta kumchagua Magufuli kama mgombea.
Wana wish Lowasa angekuwa kwao.