Magufuli: Nikiondoka watakaokuja wataweza?

Magufuli: Nikiondoka watakaokuja wataweza?

Tukiacha ushabiki wa vyama kusema ule ukweli JPM amejitahidi sana katika kuweka mambo sawa, kaifanya Tanzania kuwa nchi ya watanzania wote na sio mali ya kikundi fulani kama ilivyokua imezoeleka, ni kiongozi mwenye maono , yale ayafanyayo leo impact yake itakuja kuonekana miaka ijayo.
Wewe upo nchi gani?huwajui wanaokula raha kuliko binadamu yoyote duniani?
 
Tukiacha ushabiki wa vyama kusema ule ukweli JPM amejitahidi sana katika kuweka mambo sawa, kaifanya Tanzania kuwa nchi ya watanzania wote na sio mali ya kikundi fulani kama ilivyokua imezoeleka, ni kiongozi mwenye maono , yale ayafanyayo leo impact yake itakuja kuonekana miaka ijayo.

Labda mwenzetu wewe unajua trillion 2.4 zilipo
 
Kuingoza nchi na kuiletea maendeleo kama ilivyo sasa kutokana na kazi hiyo kuwa ngumu na kuhutaji viongozi kujitoa kwa moyo katika kufanikisha hilo.

Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Agosti 1, alipokuwa akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa jengo la tatu la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam ambapo amesema kuwa Tanzania sasa imekuwa mfano wa kuigwa na nchi nyingine.

“Mara nyingi tumeambiwa kuwa Tanzania ni masikini, ninaomba neno hilo tulifute kwani nchi yetu ni tajiri lakini tulitaka kuaminishwa na watu waliotaka kututumia, kuna miradi imetumia matrilioni ya fedha saa nyingine ninajiuliza kweli hili limewezekana, tumeweza maana yake kila palipo na nia Mungu yupo pamoja na sisi,” amesema.

“Siwezi nikasimama mbele za watu nikasema haya ni kwasababu yangu kwani mimi ni dereva tu lakini pia huwa ninajiuliza ikitokea siku Mungu akanichukua hao watakaokuja watayamaliza kweli kwasababu panahitaji moyo, unafanya hivi huku unatukanwa lakini inabidi ufanye kwaajili ya Watanzania, inahitaji kujitoa sadaka ya kweli,” amesema.

“Ninamshukuru Mungu kwa kuendelea kulisimamia taifa hili na ninawashukuru Watanzania wenzangu kwa kuendelea kuniombea na kunipa moyo, nchi yetu sasa imekuwa ya mfano watu wanatuogopa sasa, wapo wanaouliza mnapata wapi fedha mimi ninasema zilikuwa kwa mafisadi sasa zinaenda kwa Watanzania,” amesema.
kanuni ya sifa... muungwana hajisifu husifiwa.
kinyume cha muungwana ni mshenzi... kanuni za ushenzi sizijui!
 
Kwa hiyo asipochukuliwa na Mungu maana yake hii nchi ni yake mpaka atakapo kufa ?

Aisee hela umetoa kwa mafisadi ? Hili deni la nchi linalofikia Trilioni 51 ni la nini ?

Mbona huyu jamaa anataka kufanya hii nchi imeanzishwa 2015 baada ya yeye kuingia ?
 
unalipwa shiling ngap kwa huu ujinga ulioandika
Kama kuna Rais atakuja kukumbukwa na vizazi na vizazi vya taifa hili, basi ni Ndugu John joseph Magufuli.

Kwa dhati kabisa ndani ya Moyo wangu namshukuru Mungu kwa ajili yake. Huyu Rais Ametoka kwa Mungu na Mungu Ametupa kama zawadi watanzania.

Mimi ni mfanyabiashara na mchumi. Nikiitazama tanzania miaka 10 ijayo tanzania itakua imepaa kabisa katika nyanja ya uchumi, kutokana na miradi inayo jengwa na serikali chini ya Mtukufu wetu Ndg Magufuli.

chamsingi.
watanzania tuache tabia ya kulalamikia serikali. Serikali haiko kumtajirisha mwananchi kwa kumwekea pesa mifukoni.

kazi ya serikali ni kujenga miundo mbinu ya kisasa naya uhakika. Itakayomwezesha mwananchi kuitumia na kujiingizia kipato na kukuza uchumi wake.

Mfano mdogotu reli ya SGR Hii itakua mkombozi mkubwa sana kwetu wafanyabiashara kwa kusafirisha bidhaa zetu mikoani na kwa bei nafuu. Kutakaopelekea mfumuko wa bei kwa wananchi kushuka.

niwito wangu kwa kila mtanzania kumwunga mkono ndugu yetu Magufuli na kumwombea.
 
Nilimuona pale anaongea kwa dhati ya moyowakekabisa nikawaza 2025 itakuwaje.
 
Hivi nyie mabinti wa Siku hizi mnatatizo gani
Haya turuhusu Ushoga kwa kuwa Marekani pia Wameruhusu Ushoga kwa raia wao

We unafurahia Deni kuongezeka kwa kuanzisha Miradi isiyo na manufaa yoyote kwa raia wa kawaida

Haya kale Mataaluma ya Reli
Acha kujiona unafaa hapa jamvini kwa kuwa na mawazo mfu kwa dada zetu ,eti hivi nyie mabint ! Hujielew ww usilazimishe watu waamini ktk upumbavu wako!!

Kuwa na adabu na uheshimu mawazo ya wenzio sio kuleta gender bias !!!

All in all kama unaona miradi hyo haina manufaa kwa nchi au wananchi hebu jiulize ww umefanya yap ya muhimu hata kwenye ukoo wenu ukute hata baiskel huna halafu unawaza kizwazwa zwazwa humu ,,,,

Hapakazitu
 
Kama CCM kiliweza Kumteua Yeye kuwa ' Flag Bearer ' wake na sasa anafanya hayo mambo makubwa na mazuri basi ni CCM hiyo hiyo tena itampata ' Flag Bearer ' mwingine na huenda akawa ni Mchapakazi, Mtu mzuri na Kipenzi cha Watanzania wengi kama siyo wote kuliko hata Yeye, hivyo nae ataweza Kuifanya Tanzania yetu hii mambo makubwa na ya Kimaendeleo. Alianza Hayati Mwalimu, akaja Mzee Mwinyi, akafuata Mzee Mkapa, halafu Mzee Kikwete na sasa Yeye na atakuja mwingine tena. CCM haikaukiwi Watu wazuri na haina rekodi ya Kukosea katika Kuteuwa Wagombea wake.

Mburaaa, CCM imewahi kuwa na watu wawili angalau unawezasema wanaelekea hawakuifikisha Tanzania kileleni. Wengine Bogus, matatizo yoote ya kuuza makinikia nje ya nchi, mikataba ya miaka 100 ya kihuni ambayo hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi kukubaliana nayo ni CCM hao hao wameuza mbuga za wanyama, ni haohao wamesaini mkataba wa kutisha na wachina bomba la gesi. Kwa hiyo ccm haijawahi kuwa bora hata siku moja
 
Back
Top Bottom