Tunahitaji raisi dikteta ambaye anauwezo wa kukemea jambo na watendaji wote wakafyata.
Alikuwepo kikwete milikuwa mnamtukana kuwa n mpole hafuatlii mambo.
Kumbuka upole wa kikwete ndio ulisababisha yakatokea haya richmound, escrow n.k.
Sasa hapa ilitushike adabu lazma magufuli ashike nchi awawajibishe wazembe.
Karibu magogon mzee magufuli.
Naona wala rushwa, wafanyabiashara haramu na mafisadi wanaanza kufarakana.
Mm nakuombea uingie ikulu ili watafutane vzr
Magufuli ataisikia tu magogoni.Haoni ndani
Hyo kweli pinda hakua na maamuzi sana ila miaka ya mwanzo ya u raisi wa Jk na lowasa walikua wanaenda vizuri hadi heshima ya hivi vyeo ilikuwepo. Baada ya Elli Ku step down ndo shida ikaanza.Aliyemuangusha JK ni Pinda kwa kukosa maamuzi kila Jambo kwake mpaka apewe maelekezo.
Hivi ccm watakuwa wameishiwa kabisa? Magufuli ana sifa gani za kuwa rais wa nchi. Maana na umuhimu wa urais imepotea kabisa. Magufuli ni mchapakazi lakini hana sifa nyingine muhimu zinazofaa kuwa rais. Ni wa kawaida mno. Ccm walizingatia tu kigezo cha kufahamika kwa uchapakazi wakasahau vingine! Vyama vya upinzani jipangeni vizuri mchukue nchi. Magufuli sio presidential material.
Ulivyoandika unaonesha kabisa unamkubali Slaa kimoyomoyo. Aliyosema Slaa 2010 yameexpire kivipi? Km ufisadi si ndio umezidi kutamalaki? Umesahau Escrow juzi ilivyowaumiza serikali za mitaa? Hebu nitajie jambo moja la 2010 ambalo unadhani sio relevant leo? Hivi mkuu unaweza mlinganisha Dr Slaa na Magufuli? Kwanza kumbuka Slaa amepata formarion yake ndani ya kanisani. Mfumo wa elimu unaotolewa kanisani ni very comprehensive! Unamjenga mtu holistically. Unamjenga mtu kuwa na uwezo wa kupambanua mambo kwa mapana. Unatengeneza watu kuwa na uwezo wa kuangalia critically. Ile sio elimu ya say chemistry km Magufuli. Ni total education of the entire person. Sasa ukichanganya na uzoefu wa kutosha bungeni na ktk kuongoza chama. Usishau pia alishauongoza TEC kwa miaka zaidi ya 10. Huyu jamaa ni kiongozi. Sio hilo anazungumza lugha karibu tano za kimataifa. Kifaransa kijeruman kispaniola kiingereza kiialiano n.k Mtu km huyu huwezi kuquestion uwezo wake wa kiungozi. Tahadhari. Usiseme Slaa kasomea elim ya dini kwani Falsafa sio elimu ya dini. Ukumbuke pia kwamba PhS ya Canon law ni ngumu kuliko hata sheria zetu za kawaida. Ukumbukemkuu japo ulikwepa kujibu swali langu....
Nataka nikuulize hivi.
Hivi Dr slaa anasera gani ya kuweza kuwashawishi watanzania ili wamkubali?
Nachojua sera zote alizimwaga na hazikumsaidia klichobaki kwa slaa n kurudia taarabu za mwaka 2010 ambazo zmechakaa,
hivi lipumba atasimama na kuongea nn? Wakat Tangu mwaka 1995 ypo lakn anaangukia pua?
Hakuna mgombea yoyote kutoka ukawa atayeweza kusimama na magufuli..
Labda wamsimamishe mtu kama Tundulisu aje na hoja mpya,.
Slaa hakuna hata alichofanya hata ndan ya chadema zaidi ya unafiki kwa Zitto na kafara ya Chacha wangwe
Halafu nilikuwa naongea na mwana ACT kumbe nilidhani CCM. Zitto na Chacha Wangwe wamevwmiaje hii hoja? Umeanza kushindwa hoja unaanza mipasho? Tynaibgolea udhaifu wa Mafufulimkuu japo ulikwepa kujibu swali langu....
Nataka nikuulize hivi.
Hivi Dr slaa anasera gani ya kuweza kuwashawishi watanzania ili wamkubali?
Nachojua sera zote alizimwaga na hazikumsaidia klichobaki kwa slaa n kurudia taarabu za mwaka 2010 ambazo zmechakaa,
hivi lipumba atasimama na kuongea nn? Wakat Tangu mwaka 1995 ypo lakn anaangukia pua?
Hakuna mgombea yoyote kutoka ukawa atayeweza kusimama na magufuli..
Labda wamsimamishe mtu kama Tundulisu aje na hoja mpya,.
Slaa hakuna hata alichofanya hata ndan ya chadema zaidi ya unafiki kwa Zitto na kafara ya Chacha wangwe