Jang Bo Go
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 854
- 253
mkuu utambue kuwa raisi akiwa dhaifu hata waziri mkuu atakuwa dhaifu na raisi akiwa imara hata mawaziri nao watakuwa imara,
tunahitaji raisi ambaye akisimama kuhimiza jambo watendaji wake lazma waende mbio kulitekeleza.
Mbona mnajihofia sana kwann?
Hata kama itakuja ya kulala saa moja na kuamka saa 10 poa tu.
Tumezidi kufanya kaz kwa mazoea nakuona hata ww hapo unaongelea au unatetea mazoea.
Umeongea point tupu, Raisi akishakua legelege hata waziri mkuu atakua legelege tu.