Kaka wenzetu japan wamefanikiwa kwa kuchapa kazi,ukiajiriwa japan kwenye kampuni ya tajiri hutamjua mpaka uambiwe maana kama kazi mnapiga ngoma draw hakuna cha boss wala tajiri mnaingia saa mbili kamili wote asubuhi,mnatoka kumi na moja na mbakuwa sawa katika kufanya kazi isipokuwa mshahara,sasa mtu mwajiriwa tajiri anapiga mzigo wewe kwa nini utegee,huo mfano magufuri akiingia front hata wale mawaziri walioteuliwa kama waba vi element vya uvivu watakaa kwenye mstari tu wakiona boss naye anawajibika,na ndito tanzania anatakiwa kiongozi kama huyo,tuache kulewa sifa za kujiita boss unakaa ofisini unaacha kukagua shughuli za serikali,kumbuka waziri mkuu anaweza kuwa strong ila kama raisi ni mpole,waziri mkuu utakosa confidence ya utendaji,chukulia mfano waziri magufuri alivyokuwa anasimamia sheria za barabara,lakini kwa sababu ya upile wa mheshimiwa rausi na mheshimiwa waziri mkuu,magufuri akajikuta anakutana na barrier,lakini yeye akiwa final na akawa ana base kwenye sheria ya nchi hiyo ndiyo njia pekee ya kumfanya mtendaji asimamie sheria si kuoneana aibu,tufike wakati tuwe wakweli na kuelimishana,raisi akiwa strong automaticaly watu wa chini watanyoka tu iwe kwa kujikosha au kweli ili mradi mafanikio na maendeleo yapatikane,kumbuka enzi za marehemu sokoine,na nyerere,kwa sababu marehemu nyerere hakutaka mchezo katika uongozi,sokoine akaonekana mtendaji mzuri sababu boss wake alikuwa naye ni mchapakazi,hata hiyo wizara ya ujenzi sasa hivi huwezi kuta ujinga ujinga,maana waziri wake magufuri ni mchapakazi,akamteua mr mfugale kama ceo wa tanroads,naye ni mchapakazi na wanakuwa kama team ndiyo maana unaona wakandarasi wa barabara hawaleti ujinga,jamani hebu tuwe wakweli na tusifie kitu kinapistahili,magufuri surely ataleta mabadiliko makubwa,na mfano uliotolewa wa bulldozer kuendeshwa na mtu mwingine nafikiri haufai ktk hilo