Magufuli ni Tingatinga? Hebu someni hapa!

Hebu na wee changia hoja acha mipasho, Huoni aibu wenzio wanvyochangia hoja wewe unakuja na taarabu zenu za pwani? najua hata wewe hujafuraishwa na magufuli. lakini ndio hivyo wa dini yenu hayupo mara hii!

Nimekipenda hicho kibinti kwenye avatar yako.

Ma sha Allah.
 
Magufuli leo kashindwa kuamini alichokiona Mwanza kapokelea ma makumi ya watu..Magufuli utamu utausikia kampeni zikianza
 
Wakati wa kupitishwa kugombea kwa tiketi ya CCM, Kikwete alimpa Magufuli a.k.a ya Tingatinga. Na tangu hapo katika mikutano yake huyo Tingatinga ya kujitambulisha amekuwa akiitwa tingatinga na mgombea mwenza wake. Na naona pia baadhi ya vyombo vya habari vimelidaka hilo.

Hebu tulichambue hili neno tingatinga. Tingatinga ama buldozer kwa kimombo ni mtambo ambao mara nyingi unatumika kuchimba barabara. Lina uwezo wa kuzoa na kubomoa iwe nyumba au miti na kusafisha njia kwa muda mfupi. Lakini Tingatinga halijiendeshi lenyewe, linaendeshwa na mtaalamu anayejua namna ya kulitumia kwa kazi kusudiwa. Na hii ndio point yangu.

Hii ni kusema kuwa waliomwita Magufuli Tingatinga hawakukosea. Ni mtu anayehitaji kuendeshwa na kufungwa spidi gavana. Ni mtu anayefuata sheria bila kutumia busara. Kama vile ukiliacha tinga tinga bila kuliongoza linaweza kubomoa na kuharibu hata kile ambacho hakikusudiwa. Hili lijionesha mara kadhaa kwa Magufi. Kikwete alishawahi kumwambia awe na huruma kwa wananchi. Pia Pinda alishawahi kumpiga stop kuzuia malori yenye uzito mkubwa kupita barabarani. Magufuli ni mchapa kazi lakini ni mtu anayehitaji kufungwa gavana.

Je ni nani atakuwa dereva wa hili tingatinga? Je hili Tingatinga litaachwa bila dereva? Ni wazi aliyemwita tingatinga anajua wazi yeye ni mmoja wa madereva wa hili Tingatinga akipokezana Mkapa. Magufuli atakuwa rais lakini watakaokuwa wanaongoza ni hawahawa kina Kikwet na Mkapa.

Kumteua Maguli kugombea urais ilikuwa kosa la kiufundi. Magufuli sio kiongozi, bali ni mtendaji. Kiongozi ni mtu wa maono na kutoa dira, mtu wa ideas. Rais ni nembo, ni alama, ni mtu 'abstract'. Haingii kwenye mawizara kufuatilia utekelezaji. Rais hawezi kupambana na wazembe kwa sababu hana nafasi hiyo. Rais anakaa ikulu. Analetewa taarifa na tu wasaidizi wake. Magufuli hakluandaliwa kuwa rais hata ukimsikliza hotuba zake, kwanza Hana personal vision. Anasema tu atatekeleza ilani ya CCM. aNASEMA ATAPAMBANA NA WATENDAJI WWAZEMBE. Anazungumza km vile ni waziri. Rais hawezi kuapmbana na watendaji wabovu,. ndio maana Kikwte alishindwa. Hiyo ni kazi ya waziri mkuu akisaidiana na mawaziri wake. WAZIRI MKUU AKIWA LEGELEGE BASI HAKUNA KITACHOENDELEA.

Waziri Mkuu ndiye mtendaji ndiye anayeweza kwenda popote bila kuhitaji presidential motarcade na mbwembwe nyingi. Ndiye anayesimamia wizara ili zitekeleze majukumu yake. Hii sio kazi ya rais. Kwa maana hiyo basi kumteua Magufuli kugombea urais CCM imeangalia tu ushindi bila kuangalia personality ya mtu huyo na maana halisi ya cheo hicho. MAGUFULI ALIPASWA AWE WAZIRI MKUU, NDIO NATURE YAKE. NDIO KIPAJI CHAKE, UFUATILIAJI WA MAMBO. KUMFANYA RAIS NI KUMFUNGA MIKONO NA HAPA TUMEMISUSE RESOURCE MUHIMU SANA. KATIKA NGAZI YA URASI MAGUFULI ATAKUWA MWINGINE KABISA KWA SABABU YA MIIKO YA NAFaSI YENYEWE.

Udhaifu mwingine wa Magufuli. Hana uzoefu wowote wa kimataifa. hana ABCs za elimu ya siasa, hana ABCs za uchumi. Ni mwanasyansi mkemia. Kwa maneno mengine, Magufuli is very mechanical. Labda itabidi kama akichaguliwa miaka miwili ya kwanza katika hiyo nafasi akapate kozi za uongozi, siasa na uchumi. MAGUFULI HAKUANDALIWA KUWA RAIS. HIVYO KM ATACHAGULIWA TUTAENDELEA KUONGOZWA NA HAWA MARAIS WASTAAFU WALAU KWA MIAKA MITANO YA KWANZA NA KUNA UWEZEKANO MKUBWA MAGUFULI KM ATACHAGULIWA SASA ASIRUDI TENA KWA AWAMU YA PILI.

TINGATINGA LAZIMA LIONGOZWE LISIPOONGOZWA VIZURI LITALETA MAAFA!

Ukweli mtupu huu ila watanzania hawajiulizi hayo.Wao wanataka JINA KUBWA basi.Hawajiulizi jina kubwa limekuwa kubwa kwa sifa zipi.
Huyu bwana wamempeleka chaka.Sio kwake huko.
 
Ni vigumu sana kupata majibu ya nini Magufuli atafanya na nn kikichomsukuma kuchukua fomu,hadi pale yeye mwenyewe atakapoelezea kiundani labda kupitia midahalo na wagombea wenzake au atakavoichambua ilani ya uchaguzi ya CCM wakati anaomba kura.
Watanzania tumejawa na uzembe aa kiutendaji,hilo kalizungumzia kwa kina kuwa atapambana nalo.Umasikini wetu kwa kiasi kikubwa unatokana na viongozi au watu wenye mamlaka kutowajibika.Sijui kwa nn mleta mada hakuliona hilo km ni tatizo.Sheria mbovu zilizopo zenyewe hazisimamiwi ipasavyo,maendeleo yepi tutayapata katika hali hii?Tusimamie sheria na atafanya kazi nzuri zaidi kama mapendekezo ya katiba ya Warioba itarudishwa bungeni na kuidhinishwa kutumika.
Magufuli anaijua sheria,tatizo ni viongozi wetu walio wengi kutopenda kutekeleza sheria,huyu jamaa ni mtu wa kipekee na taifa linamhitaji kiongozi km huyu asiyegubikwa na makundi ya rushwa yanayowanyima haki wananchi wa kawaida.
 
Ni nani huyo tutajie kama upo huru kutaja?

Mkubwa, ni kuangalia hali ya nchi kwa sasa,naona tunahaitaji mtendaji. Tatizo ni kuwa uongozi umewekwa kwenye makaratasi kwenye mipango, sera na miongozo. Tatizo ni kuwa ni nani hasa wa kuhakikisha hayo yanafanyika au yanatekelezwa? In my view tunahitaji Rais Mtendaji, waziri mkuu mtendaji, wakuu wa mikoa watendaji na wakuu wa wilaya watendaji. Tatizo letu ni kuwa watu hawafanyi kazi.
 
Ni vigumu sana kupata majibu ya nini Magufuli atafanya na nn kikichomsukuma kuchukua fomu,hadi pale yeye mwenyewe atakapoelezea kiundani labda kupitia midahalo na wagombea wenzake au atakavoichambua ilani ya uchaguzi ya CCM wakati anaomba kura.
Watanzania tumejawa na uzembe aa kiutendaji,hilo kalizungumzia kwa kina kuwa atapambana nalo.Umasikini wetu kwa kiasi kikubwa unatokana na viongozi au watu wenye mamlaka kutowajibika.Sijui kwa nn mleta mada hakuliona hilo km ni tatizo.Sheria mbovu zilizopo zenyewe hazisimamiwi ipasavyo,maendeleo yepi tutayapata katika hali hii?Tusimamie sheria na atafanya kazi nzuri zaidi kama mapendekezo ya katiba ya Warioba itarudishwa bungeni na kuidhinishwa kutumika.
Magufuli anaijua sheria,tatizo ni viongozi wetu walio wengi kutopenda kutekeleza sheria,huyu jamaa ni mtu wa kipekee na taifa linamhitaji kiongozi km huyu asiyegubikwa na makundi ya rushwa yanayowanyima haki wananchi wa kawaida.

Nachukia watu wanaolinganisha udhaifu/ujinga/matatizo yao binafsi na Watanzania kwa ujumla wao.
Tafadhali usituweke kundi moja fijiri tofauti....
 
Wakati wa kupitishwa kugombea kwa tiketi ya CCM, Kikwete alimpa Magufuli a.k.a ya Tingatinga. Na tangu hapo katika mikutano yake huyo Tingatinga ya kujitambulisha amekuwa akiitwa tingatinga na mgombea mwenza wake. Na naona pia baadhi ya vyombo vya habari vimelidaka hilo.

Hebu tulichambue hili neno tingatinga. Tingatinga ama buldozer kwa kimombo ni mtambo ambao mara nyingi unatumika kuchimba barabara. Lina uwezo wa kuzoa na kubomoa iwe nyumba au miti na kusafisha njia kwa muda mfupi. Lakini Tingatinga halijiendeshi lenyewe, linaendeshwa na mtaalamu anayejua namna ya kulitumia kwa kazi kusudiwa. Na hii ndio point yangu.

Hii ni kusema kuwa waliomwita Magufuli Tingatinga hawakukosea. Ni mtu anayehitaji kuendeshwa na kufungwa spidi gavana. Ni mtu anayefuata sheria bila kutumia busara. Kama vile ukiliacha tinga tinga bila kuliongoza linaweza kubomoa na kuharibu hata kile ambacho hakikusudiwa. Hili lijionesha mara kadhaa kwa Magufi. Kikwete alishawahi kumwambia awe na huruma kwa wananchi. Pia Pinda alishawahi kumpiga stop kuzuia malori yenye uzito mkubwa kupita barabarani. Magufuli ni mchapa kazi lakini ni mtu anayehitaji kufungwa gavana.

Je ni nani atakuwa dereva wa hili tingatinga? Je hili Tingatinga litaachwa bila dereva? Ni wazi aliyemwita tingatinga anajua wazi yeye ni mmoja wa madereva wa hili Tingatinga akipokezana Mkapa. Magufuli atakuwa rais lakini watakaokuwa wanaongoza ni hawahawa kina Kikwet na Mkapa.

Kumteua Maguli kugombea urais ilikuwa kosa la kiufundi. Magufuli sio kiongozi, bali ni mtendaji. Kiongozi ni mtu wa maono na kutoa dira, mtu wa ideas. Rais ni nembo, ni alama, ni mtu 'abstract'. Haingii kwenye mawizara kufuatilia utekelezaji. Rais hawezi kupambana na wazembe kwa sababu hana nafasi hiyo. Rais anakaa ikulu. Analetewa taarifa na tu wasaidizi wake. Magufuli hakluandaliwa kuwa rais hata ukimsikliza hotuba zake, kwanza Hana personal vision. Anasema tu atatekeleza ilani ya CCM. aNASEMA ATAPAMBANA NA WATENDAJI WWAZEMBE. Anazungumza km vile ni waziri. Rais hawezi kuapmbana na watendaji wabovu,. ndio maana Kikwte alishindwa. Hiyo ni kazi ya waziri mkuu akisaidiana na mawaziri wake. WAZIRI MKUU AKIWA LEGELEGE BASI HAKUNA KITACHOENDELEA.

Waziri Mkuu ndiye mtendaji ndiye anayeweza kwenda popote bila kuhitaji presidential motarcade na mbwembwe nyingi. Ndiye anayesimamia wizara ili zitekeleze majukumu yake. Hii sio kazi ya rais. Kwa maana hiyo basi kumteua Magufuli kugombea urais CCM imeangalia tu ushindi bila kuangalia personality ya mtu huyo na maana halisi ya cheo hicho. MAGUFULI ALIPASWA AWE WAZIRI MKUU, NDIO NATURE YAKE. NDIO KIPAJI CHAKE, UFUATILIAJI WA MAMBO. KUMFANYA RAIS NI KUMFUNGA MIKONO NA HAPA TUMEMISUSE RESOURCE MUHIMU SANA. KATIKA NGAZI YA URASI MAGUFULI ATAKUWA MWINGINE KABISA KWA SABABU YA MIIKO YA NAFaSI YENYEWE.

Udhaifu mwingine wa Magufuli. Hana uzoefu wowote wa kimataifa. hana ABCs za elimu ya siasa, hana ABCs za uchumi. Ni mwanasyansi mkemia. Kwa maneno mengine, Magufuli is very mechanical. Labda itabidi kama akichaguliwa miaka miwili ya kwanza katika hiyo nafasi akapate kozi za uongozi, siasa na uchumi. MAGUFULI HAKUANDALIWA KUWA RAIS. HIVYO KM ATACHAGULIWA TUTAENDELEA KUONGOZWA NA HAWA MARAIS WASTAAFU WALAU KWA MIAKA MITANO YA KWANZA NA KUNA UWEZEKANO MKUBWA MAGUFULI KM ATACHAGULIWA SASA ASIRUDI TENA KWA AWAMU YA PILI.

TINGATINGA LAZIMA LIONGOZWE LISIPOONGOZWA VIZURI LITALETA MAAFA!

mkuu maneno murua kabisa. lakini jee ni wangapi watakuelewa?
 
Aliyeacha kufikiri ni yule aliyekufa tu. Narejea, jina hubeba sifa, tabia na mwenendo wa mtu, kitu au sehemu. Aliyetoa jina la Tingatinga kwa mtu hakukosea alifanya akijua hasa anamaanisha nini kwa aliyemkusudia, Wote tunajua sifa za Tingatinga lakini kifaa hiki bila dereva makini si chochote, Kwa kuwa wamechagua Tingatinga ninaamini watakuwa wameandaa na dereva. Keep watching the movie
 
Kuhusu la lugha nitajimwaga kuendana na neno linalomijia haraka kichwani. Siandiki dussertation hapa! Kama lugha inakuudhi kale malimao. Sijui atakuwa tena mtu ambaye akizungumza kwenye mikutano ya kimataifa inabidi uinsmishe kichwa chini kwa sababu ya lugha. Kwa Magufuli hakuna rais hapo wamemwonea tu.
Magufuli wamemuonea kivipi? Niambie neno nilielewe neno usiniambie neno nilikalili neno. Sawa kumbe unaandika neno litakalokuijia haraka kichwani bila kujali ujumbe unaokusudiwa, muktadha wa maengezi, uelewa wa wazungumzaji kuhusiana na lugha yenyewe.
 
Kuna watu wanatikisa kiberiti ile wajue kuwa kimejaa au la,watu wanatishia kuhama mf.james lembeli,mnatakiwa mjue kuwa huyu jamaa alikuwa na hali tete jimboni kwake kahama na sasa jimbo hilo limegawanywa ie kahama mjini na ushetu.Kama anataka ajifie kisiasa ahame,sawa upinzani ulikuwepo ukanda huu wa kahama ila kwa sasa mmh,mbunge wa bukombe prof kahigi-chadema anapumulia mashine,harudi bungeni 100% na jimbo hilo litarudi ccm.Kusimamishwa kwa tingatinga ni pigo kwa upinzani aisee.WATU WANASEMA HUKU KUWA WAPINZANI+LOWASSA WATACHIMBA MASHIMO TINGATINGA LITAFUKIA,CHEZA NA TINGATINGA WEWE,nawaonea huruma sana wapinzani maana ruzuku ndio hiyo inapotea
 
Huyo tinga nani ampe kura,huyo ni jk part 2,jk kamchomoa mfukoni kwake,jk akistaafu atakuwa anaendesha nchi akiwa msoga
 
Hizi ni ndoto za mchana za kujifariji. Huwezi kusema eti wanaohama chama wanamuhofia Mh. Magufuli. Tafuteni sababu ya msingi na muifanyie kazi kuliko kutunga hizi porojo.
 
Ukweli mtupu huu ila watanzania hawajiulizi hayo.Wao wanataka JINA KUBWA basi.Hawajiulizi jina kubwa limekuwa kubwa kwa sifa zipi.
Huyu bwana wamempeleka chaka.Sio kwake huko.

Magufuli amebaki kusema tu sitawaangusha. Nitatekeleza ilani ya CCM. yeye km yeye ana maono gani kuhusu hii nchi? Anaonekana km ameshtukizwa. Watz tumeingizwa choo cha kike!
 
Magufuli wamemuonea kivipi? Niambie neno nilielewe neno usiniambie neno nilikalili neno. Sawa kumbe unaandika neno litakalokuijia haraka kichwani bila kujali ujumbe unaokusudiwa, muktadha wa maengezi, uelewa wa wazungumzaji kuhusiana na lugha yenyewe.

Ongelea habari za magufuli wewe. Achana na ngonjera. Ungekuwa hujaelewa usingeweza kujibu! Hebu nitajie sifa tatu za magufuli zitakazomfanya rais bora kuliko wengine Tanzania!
 
Tingatinga atamaliza kazi ..vijana wa Jf wako hapa kama kawaida yao wanashinda kwenye mitandao wwkidhani siasa hiko mitandaoni, tuliona vijana wa Lowassa walivyokuwa wakikesha hapa Jf na baadae kilichomtokea Mungu wao ..mwaka huu mtaisoma namba
 
Back
Top Bottom