SOLOMO
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 267
- 81
Sasa waweza kubaliana na mimi kuwa watz wengi kutokana na kujiaminisha kuwa wajinga ndio watakaopiga kura hivyo Rais lazima atatoka ccm!Makala yako ni nzuri lakini umeiandika kana kwamba Magufuli anasubiri kuapishwa tu
Yani kama vile hakuna mchakato mwingine mbele yake ambao haiyumkini ndio ukawa mwisho wake na chama chake kuliongoza taifa hili
Msijisahau rais wa nchi hii hachaguliwi na NEC ya ccm anachaguliwa na watanzania wote.