Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,864
Kwa kosa ganiaanze kwa kumfunga yule anayependa safari za ulaya kuliko kwenda kumsalimia mama yake
Kwa kosa ganiaanze kwa kumfunga yule anayependa safari za ulaya kuliko kwenda kumsalimia mama yake
rais wetu hana longolongoupo sahihi mtoa post.
kweli mkuu hata maccm hawakujua angewageuka hivi.wasingempitishahuyu ndiye kiongozi tuliyekuwa tunamsubiri kitambo sana.
kwani mahakama zilizopo hazijitoshelezi?Nashauri Pombe angeanza kujenga ile Mahakama ya kushughulikia jMafisadi na Majizi kama alivyoahidi mara kwa mara.
Ni kama kachukua nchi mkononi mwa mkoloni
Tunaanza upya kuijenga nchi
Nasikia RAISI Wetu hapendi upendeleo Wa familia
Hata mtoto wake anasoma Shule ya kata.
Hili nitaamini Tu endapo yule February
Atapigwa chini kwenye uwaziri.kwanini yule jamaa ni WAZIRI?
Raisi amesema hachanganyi serikali na siasa.Namuombea kwa mungu approve hapo kwa kuanzia na hyo jamaa.
Wewe unapenda aanzie wapi?
Hata hivyo ngoja tusubiri baraza jipya la mawaziri ndipo tutakapopata picha halisi kama kweli Nyerere na Sokoine 'wamefufuka' au bado tunaendeleza kwa vitendo kale ka-slogan kanakosema CCM NI ILE ILE na CCM INA WENYEWE na hao wenyewe ni watawala wetu na familia zao.akiendelea na staili hii...basi upinzani wana kazi sana uchaguzi ujao...
hata waliokata tamaa wanaanza kuona mwangaza wa nchi yao
Na watu wa kwanza kutinga kwenye mahakama hiyo wawe wale jamaa waliobeba manoti ya shilingi bilioni 73 za Escrow, kwenye viroba na magunia ya lumbesa pale Stanbic na kuyapakiza kwenye malori bila kuguswa na chombo chochote cha usalama hapa nchini.Nashauri Pombe angeanza kujenga ile Mahakama ya kushughulikia Mafisadi na Majizi kama alivyoahidi mara kwa mara.
Kwa kosa la ufisadi wa kutokwenda kumsalimia mama yake vya kutosha!Kwa kosa gani
Hata hivyo kuanzisha mahakama maalum za mafisadi sidhani kama lina umuhimu sana.Nashauri Pombe angeanza kujenga ile Mahakama ya kushughulikia Mafisadi na Majizi kama alivyoahidi mara kwa mara.
Mh.Rais......mimi binafsi sipendi hawa waweko kwenye baraza lako la mawaziri; Mwingulu..arudi CCM ajiandae kumrithi Kinana.
Makamba..arudi CCM achukuwe nafasi ya Nape.
Prof Muhongo..huyu angekuwa Katibu mkuu wa waizara ya Nishati madini na Maji.atoke ubunge afanye kazi stahiki.anafaa saana huko kuliko kwenye siasa
Lukuvi...aliharibu hali ya hewa wakati wa bunge la katiba.Watu bado wanayo moyoni aliyoyasema.
Hawa Ghasia,Ummy Mwalimu na Angela Kairuki wabakai ubunge tu.
ni kwabahati mbaya wachapakazi huwapendi lakin hakuna namna mwingulu ni Wazir wa fedha, muhongo nishat na madin
Ni kama kachukua nchi mkononi mwa mkoloni
Tunaanza upya kuijenga nchi
Nasikia RAISI Wetu hapendi upendeleo Wa familia
Hata mtoto wake anasoma Shule ya kata.
Hili nitaamini Tu endapo yule February
Atapigwa chini kwenye uwaziri.kwanini yule jamaa ni WAZIRI?
Raisi amesema hachanganyi serikali na siasa.Namuombea kwa mungu approve hapo kwa kuanzia na hyo jamaa.
Wewe unapenda aanzie wapi?