Nasubiri kuona lowasa anafungwa na kuchapwa fimbo kwa ajili ya ufisadi
yule ni mwanasiasa sio mtendajiMkuu, utaniwia radhi kama nimeelewa vibaya...kwani huyo kijana kama anafanya kazi vizuri kuna tatizo gani??..hatuwezi kumnyima dmtu cheo kama sifa anazo eti kwasababu baba yake alikuwa mtu fulani!!
Ni kama kachukua nchi mkononi mwa mkoloni
Tunaanza upya kuijenga nchi
Nasikia RAISI Wetu hapendi upendeleo Wa familia
Hata mtoto wake anasoma Shule ya kata.
Hili nitaamini Tu endapo yule February
Atapigwa chini kwenye uwaziri.kwanini yule jamaa ni WAZIRI?
Raisi amesema hachanganyi serikali na siasa.Namuombea kwa mungu approve hapo kwa kuanzia na hyo jamaa.
Wewe unapenda aanzie wapi?
Ni kama kachukua nchi mkononi mwa mkoloni
Tunaanza upya kuijenga nchi
Nasikia RAISI Wetu hapendi upendeleo Wa familia
Hata mtoto wake anasoma Shule ya kata.
Hili nitaamini Tu endapo yule February
Atapigwa chini kwenye uwaziri.kwanini yule jamaa ni WAZIRI?
Raisi amesema hachanganyi serikali na siasa.Namuombea kwa mungu approve hapo kwa kuanzia na hyo jamaa.
Wewe unapenda aanzie wapi?
Mkuu, utaniwia radhi kama nimeelewa vibaya...kwani huyo kijana kama anafanya kazi vizuri kuna tatizo gani??..hatuwezi kumnyima mtu cheo kama sifa anazo eti kwasababu baba yake alikuwa mtu fulani!!
Mwigulu naye alifananishwa na Sokoine pia!
Nyerere nilishamuona pia akifanya yafuaayo;
1. Akipiga push ups jukwaani
2. Akitokea juu ya roof
3. Akiruka ruka jukwaani
Magufulia akemea rushwa, udini, ukanda na tamaa ya madaraka kama alivokuwa mwalimu.Jiulizeni huko ukiwa hali ipoje? Kama tu mmeshindwa kugawana majibo,udiwani kesho serikali ndo mtaweza, hampo serious
Arudishe nyumba za Serokali kwanza, ndio tutaanza kumuamini !