Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,346
- 21,244
Ulipo Tupo our Hon President, piga kazi 2020 inshallah! hakutokuwa na haja ya kufanya kampeni
Arudishe nyumba za Serokali kwanza, ndio tutaanza kumuamini !
Mamvi linajulikana kwa wizi hata lema alishawahi kusema ni heshima kwa Mungu kulizomea na pia chadema mlisema inabidi liuawe kwa kuchomwa moto, pia wikileak wanajua ni jizi la wezi, ndiyo maana linatakiwa likatumikie kifungo jela. Tena mlaaniwe sana nyie mliokuwa mnataka kutuchagulia jizi,Ni international figure haguswi na ni msafi kuliko wasafi wote ktk serikali hii.
Ni kama kachukua nchi mkononi mwa mkoloni
Tunaanza upya kuijenga nchi
Nasikia RAISI Wetu hapendi upendeleo Wa familia
Hata mtoto wake anasoma Shule ya kata.
Hili nitaamini Tu endapo yule February
Atapigwa chini kwenye uwaziri.kwanini yule jamaa ni WAZIRI?
Raisi amesema hachanganyi serikali na siasa.Namuombea kwa mungu approve hapo kwa kuanzia na hyo jamaa.
Wewe unapenda aanzie wapi?
Jamani nyumba za serikali muulizeni Sumaye, yeye ndio alikuwa PM kipindi hicho. Magufuli alikuwa dagaa tu.
Watanzania wamehusisha uwezo binafsi alionao mgombea nafasi ya urais kupitia CCM ,kuwa sambamba na wa mwalimu Nyerere kutokana na wote hao kuvunja rekodi za kiutendaji kila sekta waliyopata ongoza.
Hata hivo wote wanasifa za kukemea ufisadi, udini, ukabila na ukanda. Mwalimu Nyerere alichukia sana watu wabinafsi wanaotanguliza udini na ukanda,alichukia watu wente tamaa na kulilia uongozi.
Utendaji na uwezo wa kifikra wa Dr Magufuli umefananishwa kwa kiasi kilubwa na wa mwalimu.
yule ni mwanasiasa sio mtendaji
Abaki kwenye siasa
Kama mlivyokuwa mnafanya kwa Lowassa wakati wa mapenzi mahaba?Mtaanza kumfananisha Magufuli na mitume na manabii.
How pathetic.
Mambo hayo hayo alifanya kikwete alipoingia madarakani, na nyimbo akatungiwa kuitwa nabii kapatikana kuokoa Tanzania,
Tusijitambe tuwe na subira kidogo mda ndio utatujibu matatizo yetu yanataturika au rahashaa
Mambo hayo hayo alifanya kikwete alipoingia madarakani, na nyimbo akatungiwa kuitwa nabii kapatikana kuokoa Tanzania,
Tusijitambe tuwe na subira kidogo mda ndio utatujibu matatizo yetu yanataturika au rahashaa