Magufuli ni kama Mwalimu Nyerere

Magufuli ni kama Mwalimu Nyerere

Watanzania wamehusisha uwezo binafsi alionao mgombea nafasi ya urais kupitia CCM ,kuwa sambamba na wa mwalimu Nyerere kutokana na wote hao kuvunja rekodi za kiutendaji kila sekta waliyopata ongoza.

Hata hivo wote wanasifa za kukemea ufisadi, udini, ukabila na ukanda. Mwalimu Nyerere alichukia sana watu wabinafsi wanaotanguliza udini na ukanda,alichukia watu wente tamaa na kulilia uongozi.

Utendaji na uwezo wa kifikra wa Dr Magufuli umefananishwa kwa kiasi kilubwa na wa mwalimu.

Hata Mwl Nyerere kashtuka uko alipo, kwa jinsi ulivyomdhihaki.
 
Watanzania wamehusisha uwezo binafsi alionao mgombea nafasi ya urais kupitia CCM ,kuwa sambamba na wa mwalimu Nyerere kutokana na wote hao kuvunja rekodi za kiutendaji kila sekta waliyopata ongoza.

Hata hivo wote wanasifa za kukemea ufisadi, udini, ukabila na ukanda. Mwalimu Nyerere alichukia sana watu wabinafsi wanaotanguliza udini na ukanda,alichukia watu wente tamaa na kulilia uongozi.

Utendaji na uwezo wa kifikra wa Dr Magufuli umefananishwa kwa kiasi kilubwa na wa mwalimu.

shida ya kutokufikiri mbali..... unahitaji ushauri was jinsi ya kufananisha watu.... magufuli hamfikii nyerere hata 1/8 tuuuuuuu....... hata kikwete magufuli hajamfikia
 

1. Nyerere aliwahi kuuza nyumba za serikali bila kutumia akili na kusababisha hasara kwa serikali kwa watumishi wake kulala mahotelini?
2. Nyerere aliwahi kukamata meri za samaki bila kutumia akili na kulisababishia hasara taifa kwa kulipa mabillion baada ya kushindwa kesi?
3. Nyerere aliwahi kuwa mbali na mke wake katika harakati zake za kisiasa?
4. Nyerere aliwahi kuwatolea lugha ya dhihaka wananchi wake kama alivyofanya Magufuli kwa wananchi wa Kigamboni?
5. Nyerere aliwahi kujihusisha na upotevu wa fedha nyingi Billion 262 katika taasisi aliyokuwa akiiiongoza?

**Hakuna wa kumfananisha na Nyerere kwa sasa, kwa mtu kujifananisha nae ni kumdhihaki na kutia najisi heshima ya Mwalimu Nyerere.**

Asante ndg wewe ni kichwaaaaaaa hongera sana....... vilaza wana tabu sana....... yaani ni matusi kwa mwl
 
NYERERE Hakuwahi Kuishi Bila MKE Baada Ya KUOA!! Mwambieni Akaoe!!! Maana WATANZANIA Hawataki KUMCHAGUA MGOMBEA MSELA!!! Mafanikio Ya MAZURI Ya Mwanaume, Nyuma Yake Kuna Mwanamke MAKINI!!
 

Attachments

  • 1445344080684.jpg
    1445344080684.jpg
    57.5 KB · Views: 156
1. Nyerere aliwahi kuuza nyumba za serikali? Jibu ni hapana yeye alizijenga.
2. Nyerere aliwahi kugawa Mali ya serikali kwa hawala yake?
3. Nyerere aliwahi kuchukua maamuzi ya kukurupuka akalitia hasara taifa kudaiwa mabillion ?.
4. Nyerere alijilimbikizia Mali? Magufuli ana hotel kubwa, Amejimegea eneo kubwa Kyle Chato na kujenga nyumba kama estate, Jengo la Halmashauri nasikia in la kwake ameipangisha Halmashauri.

**Ni vema tukaacha ujinga wa kumfananisha Nyerere na hizi zao za mafisadi na ndio maana Mwigulu nae eti alijifananisha na Sokoine kitu ambacho ni kuwadhihaki hawa viongozi wetu waliotangulia mbele ya haki.

Wakati nyumba za serikali zinauzwa Sumaye ndio alikuwa bosi wake kama waziri mkuu, na mbona huulizi nyumba hizo Sumaye kauziwa ngapi na Lowasa ngapi na kwa bei gani!? acha kulishwa maneno dogo.
 
R.I.P 🙏 baba wa taifa jina lako linatumika vibaya siku hizi watu wanakufananisha na mtu ambaye hata hajafkia theruth ya sifa zako....
 
Labda mirembe ndiyo wanaweza kufananisha hivyo !!!

Nyerer hakugawia nyumba au chochote kwa vidosho !!
 
Ni kama kachukua nchi mkononi mwa mkoloni
Tunaanza upya kuijenga nchi

Nasikia RAISI Wetu hapendi upendeleo Wa familia
Hata mtoto wake anasoma Shule ya kata.
Hili nitaamini Tu endapo yule February
Atapigwa chini kwenye uwaziri.kwanini yule jamaa ni WAZIRI?
Raisi amesema hachanganyi serikali na siasa.Namuombea kwa mungu approve hapo kwa kuanzia na hyo jamaa.
Wewe unapenda aanzie wapi?
 
aanze kwa kumfunga yule anayependa safari za ulaya kuliko kwenda kumsalimia mama yake
 
Huyu ndiye kiongozi tuliyekuwa tunamsubiri kitambo sana.
 
akiendelea na staili hii...basi upinzani wana kazi sana uchaguzi ujao...

hata waliokata tamaa wanaanza kuona mwangaza wa nchi yao
 
Back
Top Bottom