Acha hizo wewe, Nyerere alikuwa anaweza kuzungumza kiingereza!Mgombea urais kupitia CCm,John pombe MAgufuli amefanqnishwa na rais wa kwnza mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Mgombea urais kupitia CCm,John pombe MAgufuli amefanqnishwa na rais wa kwnza mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa utendaji wake uliotukuka na wenye tija kwa maendeleo ya TAifa
Mgombea urais kupitia CCm,John pombe MAgufuli amefanqnishwa na rais wa kwnza mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa utendaji wake uliotukuka na wenye tija kwa maendeleo ya TAifa
Edward Ngoyai Lowasa afananishwa na Nelson Madiba Mandela kwa utendaji wake hasa kwa kutetea walala hoi masikiniMgombea urais kupitia CCm,John pombe MAgufuli amefanqnishwa na rais wa kwnza mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa utendaji wake uliotukuka na wenye tija kwa maendeleo ya TAifa
Watanzania wamehusisha uwezo binafsi alionao mgombea nafasi ya urais kupitia CCM ,kuwa sambamba na wa mwalimu Nyerere kutokana na wote hao kuvunja rekodi za kiutendaji kila sekta waliyopata ongoza.
Hata hivo wote wanasifa za kukemea ufisadi, udini, ukabila na ukanda. Mwalimu Nyerere alichukia sana watu wabinafsi wanaotanguliza udini na ukanda,alichukia watu wente tamaa na kulilia uongozi.
Utendaji na uwezo wa kifikra wa Dr Magufuli umefananishwa kwa kiasi kilubwa na wa mwalimu.