Magufuli ni kama Mwalimu Nyerere

Magufuli ni kama Mwalimu Nyerere

Watanzania wamehusisha uwezo binafsi alionao mgombea nafasi ya urais kupitia CCM ,kuwa sambamba na wa mwalimu Nyerere kutokana na wote hao kuvunja rekodi za kiutendaji kila sekta waliyopata ongoza.

Hata hivo wote wanasifa za kukemea ufisadi, udini, ukabila na ukanda. Mwalimu Nyerere alichukia sana watu wabinafsi wanaotanguliza udini na ukanda,alichukia watu wente tamaa na kulilia uongozi.

Utendaji na uwezo wa kifikra wa Dr Magufuli umefananishwa kwa kiasi kilubwa na wa mwalimu.

uyu mnaempa sifa hata siku mia lakini watz mkumbuke hata jk mlimsifia hivi hivi lakini mwishowe mmeyaona wenyewe msikimbilie kutoa pongezi za haraka haraka subirini tuone vitendo atutaki porojo
 
Wana JF. nimejaribu kutafakari sana lakini ni kapata jibu.
Tanzania haihitaji wanasiasa kuikomboa nchi hii. Bali inahitaji watu waliopitia mazingira magumu ambayo kwa namna moja ama nyingine yanafanya mtu ajitambue. Kuna kada za serikali ambazo zinapigwa vita na wadau weng au wanafunzi wengi ukimweleza utakua mwl. Analia. Sasa JPM ningekuwa wewe kila mtanzania apate elimu ya uzalendo kujitambua na kufanya kaz katika mazingira magumu kwanza kisha ndo akaajiliwe kwenye kada zingine. Hii italeta uzalendo, upendo, udini utaisha, ukabila utakoma, najua mwalimu aheshimiki katika jamii lakin marais walimu wanajitambua sana sijui kwanin. Nashauri serikali yako iongozwe na walimu tu. Tuone kama kutakuwa na wapga dili...
 
Tangu afe nyereree kwangu huyu ndio chaguo halali toka kwa mungu

napenda.ndugu zangu tumpe.nguvu na tumsapoti ktk kila jambo.na.mjue.huyu kaletwa.na.wananchi..mh dk bwana mungu akuangazie.nuru ya usowake akufunike.na wabaya wote na kukuongoza njia zake

vyema ukasikia sauti ya mungu inavyosema kuliko kumsikiliza bin adam..na alaaniwe amtegemeaye binadamu..wakristo.mnajua hilo...

Uwe hodari na moyo wa ushujaa wewe n joshua wa tanzaniaa...gusa waovu wote waliohusika kuua uchumi wa.nchi hii na mungu akakuondolee.maadui zote wasionekane tena.mbele yako...
 
Hivi Wewe mbona kuanzia 2011 kurudi nyuma ulikua unaandika vizuri tu?
Nini tatizo sasa?
 
Back
Top Bottom