bmbalamwezi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 788
- 195
hakuna mbaya. Kama anafanya vizuri hata akifananishwa namalaika poa. Sio vigeugeu wa UKIWA.Mtaanza kumfananisha Magufuli na mitume na manabii.How pathetic.
hakuna mbaya. Kama anafanya vizuri hata akifananishwa namalaika poa. Sio vigeugeu wa UKIWA.Mtaanza kumfananisha Magufuli na mitume na manabii.How pathetic.
Tatizo lenu ni kuwa mmepofushwa hata mazuri hamuyaoni, mmekuwa viziwi hata mema hamyasikii. Kwa mtu mwenye akili ya kawaida kama wewe inabidi utambue kuwa Dr. Magufuli ni mchapakazi na mzalendo kama alivyokuwa Mwalimu.Wewe wacha kumvunjia marehemu baba wa taifa heshima,huwezi kumlinganisha Mwl jk na huyo fisadi nakukanya husirudie tena swaini
hakuna mbaya. Kama anafanya vizuri hata akifananishwa namalaika poa. Sio vigeugeu wa UKIWA.
Tatizo lenu ni kuwa mmepofushwa hata mazuri hamuyaoni, mmekuwa viziwi hata mema hamyasikii. Kwa mtu mwenye akili ya kawaida kama wewe inabidi utambue kuwa Dr. Magufuli ni mchapakazi na mzalendo kama alivyokuwa Mwalimu.
Watanzania wamehusisha uwezo binafsi alionao mgombea nafasi ya urais kupitia CCM ,kuwa sambamba na wa mwalimu Nyerere kutokana na wote hao kuvunja rekodi za kiutendaji kila sekta waliyopata ongoza.
Hata hivo wote wanasifa za kukemea ufisadi, udini, ukabila na ukanda. Mwalimu Nyerere alichukia sana watu wabinafsi wanaotanguliza udini na ukanda,alichukia watu wente tamaa na kulilia uongozi.
Utendaji na uwezo wa kifikra wa Dr Magufuli umefananishwa kwa kiasi kilubwa na wa mwalimu.
Dr. Magufuli rais wa awamu ya tano.Hapa kazi tu
Haya ni matusi kwa Mwalimu Nyerere.