The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,898
Sifa moja ya 'watalaam wanaoujua na wanajua kwamba wanajua' ni kuwa hawapendi kujipendekeza na hawaogopi kufukuzwa.
Wao hupenda kushauri kwa sauti ndogo tu ukiamua kuwasikiliza haya ukiwadharau hasara ni kwako.
Kikwete alipokuwa Rais alifanya kosa moja lillilogharibu Taifa mabilioni baadae
Kikwete aliamua kuwasikiliza Ngeleja na Adam Malima ambao walikuwa waziri na naibu waziri na kuacha kumsikiliza Mtaalam Idrissa Rashid aliekuwa CEO wa Tanesco.
Idrissa Rashid alipoteuliwa CEO wa Tanesco alikuta nchi ina mgao wa umeme na hali ya shirika hoi na wanasiasa wanaingilia maamuzi ya kitaalam.
Akapiga marufuku wanasiasa kuingilia maamuzi kwa miaka minne ya Uongozi wa Idrissa Tanesco hakuna mwanasiasa aliezungumza kitu na mgao ukaisha na shirika likaanza kusimama Idrisa alikuwa anawajua vizuri kina Ngeleja na Malima
Malima alianza kazi BOT Idrissa akiwa gavana..
Ngeleja alipokuwa Vodacom Idrissa alikuwa kwenye Management, wangemueleza nini? aliamua tu 'kutowasikiliza.
Idrissa alivyoondolewa tu Tanesco kilichofuata ni ziara za Waziri Ngeleja Tanesco na 'mgao wa dharura ukaanza' the rest is history. Zaidi ya bilioni 500 zilikwenda. Kikwete alikosea kuwasikiliza kina Ngeleja na Malima asimsikilize Idrissa.
Magufuli anaelekea kurudia kosa hilo hilo anapaswa kumsikiliza Benno Ndulu mtaalam aliemfundisha uchumi Philipo Mpango na naamini Ndulu akisema leo ataje his best students Mpango sidhani atakuwemo.
But Magufuli anaonekana kumsikiliza zaidi Dk. Mpango ambae hata VAT tu haoeneshi kuijua vizuri hadi Ndulu alipojitokeza 'kutoa ufafanuzi.
Siku Ndulu akiondoka hapo ndo tutajua hasara kiasi gani kama taifa tutaingia.
Time will tell.
Wao hupenda kushauri kwa sauti ndogo tu ukiamua kuwasikiliza haya ukiwadharau hasara ni kwako.
Kikwete alipokuwa Rais alifanya kosa moja lillilogharibu Taifa mabilioni baadae
Kikwete aliamua kuwasikiliza Ngeleja na Adam Malima ambao walikuwa waziri na naibu waziri na kuacha kumsikiliza Mtaalam Idrissa Rashid aliekuwa CEO wa Tanesco.
Idrissa Rashid alipoteuliwa CEO wa Tanesco alikuta nchi ina mgao wa umeme na hali ya shirika hoi na wanasiasa wanaingilia maamuzi ya kitaalam.
Akapiga marufuku wanasiasa kuingilia maamuzi kwa miaka minne ya Uongozi wa Idrissa Tanesco hakuna mwanasiasa aliezungumza kitu na mgao ukaisha na shirika likaanza kusimama Idrisa alikuwa anawajua vizuri kina Ngeleja na Malima
Malima alianza kazi BOT Idrissa akiwa gavana..
Ngeleja alipokuwa Vodacom Idrissa alikuwa kwenye Management, wangemueleza nini? aliamua tu 'kutowasikiliza.
Idrissa alivyoondolewa tu Tanesco kilichofuata ni ziara za Waziri Ngeleja Tanesco na 'mgao wa dharura ukaanza' the rest is history. Zaidi ya bilioni 500 zilikwenda. Kikwete alikosea kuwasikiliza kina Ngeleja na Malima asimsikilize Idrissa.
Magufuli anaelekea kurudia kosa hilo hilo anapaswa kumsikiliza Benno Ndulu mtaalam aliemfundisha uchumi Philipo Mpango na naamini Ndulu akisema leo ataje his best students Mpango sidhani atakuwemo.
But Magufuli anaonekana kumsikiliza zaidi Dk. Mpango ambae hata VAT tu haoeneshi kuijua vizuri hadi Ndulu alipojitokeza 'kutoa ufafanuzi.
Siku Ndulu akiondoka hapo ndo tutajua hasara kiasi gani kama taifa tutaingia.
Time will tell.