Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Hujanielewa. Yaani huyo The Boss anajua kuwa Dr. Mpango hajui value added tax ni nini?Unapo bisha au kukubali kitu, jifunze pia kutunza kumbukumbu; the boss ame refer issue hiyo mara baada ya bunge la bajeti lililokaa mwezi May hadi July, walipendekeza katika bajeti kwamba miamala ya simu na ATM ianze kutozwa VAT, makampuni ya simu pamoja na mabenki yakaongeza bills za utoaji wa pesa and then wizara ikaomba BOT/Gavana akae na mabenki ili wasiongeze bei za huduma kwetu watumiaji, unakumbuka jibu alilotoa Benno? Kama unakumbuka basi ndio kiini cha maneno ya The Boss na la kama hukumbuki, basi usiwe unabisha usicho kijua. Baada ya majibu yale ya Benno hakuna aliye thubutu kusema chochote, gharama zilipanda na maisha yanaendelea so in other words, Benno aliendelea kumfundisha mwanafunzi wake hata nje ya darasa.