BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Ndege zinaingiza hasara ya trillions. Na cha kustaajabisha hao ATCL hawajapunguza wafanyakazi au mishahara ili kupunguza gharama zao kubwa.
Think twice,,,,,
Hizo ndege hazitoi ajira?
Mwenye chuki ni chuki tu hata jema halioni.