Magufuli na Muhongo, hii sio confusion?

Magufuli na Muhongo, hii sio confusion?

Inaonekana hata magazeti hawasomi, achilia mbali kukaa baraza la mawaziri.

Yaani Magufuli anawaongoza kwa style ya kuwafanya
wawe wana guess kasimama wapi...halafu wamfuate
ni kama hakuna maagizo kabisa...

So leo kasema kuhusu Tanesco kujiimarisha kuzalisha yenyewe
usishangae kesho Muhongo huyu huyu akaanza kulipigia debe hili hili
360 degree atazunguka na akaendelea kuwa waziri na wananchi kama kawa
tukiambiwa 'hapa kazi tu'
 
Mawaziri wameshindwa muelewe Magu ni mfuasi wa ujamaa, mawaziri wao wanawaza kibepari,
By the way Magu anahitaji msaada mkubwa wa kisera na fikra,
Hajitambui anataka nini tofauti na majipu

Umenikumbusha Magufuli anasema mashirika yapunguze wafanyakazi
halafu vijana wasio fanya kazi wakamatwe wapelekwe kwenye makambi
yaani mvurugano wa sera za kikomunisti na kibepari...
 
Mhongo aaache maneno mengi, afanye kazi na anatakiwa kumsikiliza boss wake, hili tatizo la kusoma saana linasababisha watu wengine kukosa kauzalendo, yaani huyu jamaa anawachukia wafanyabiashara wa ktz sijui kwa nn, angekuwa rais na uprofessori wake angeuza nchi kwa wageni.
Tumwachie kamda hivi ajirekebishe na aonyeshe makeke yake, na amheshimu JPM.
Asipojirekebisha basi fagio limpitie
 
Yaani Magufuli anawaongoza kwa style ya kuwafanya
wawe wana guess kasimama wapi...halafu wamfuate
ni kama hakuna maagizo kabisa...

So leo kasema kuhusu Tanesco kujiimarisha kuzalisha yenyewe
usishangae kesho Muhongo huyu huyu akaanza kulipigia debe hili hili
360 degree atazunguka na akaendelea kuwa waziri na wananchi kama kawa
tukiambiwa 'hapa kazi tu'
Kibaya zaidi, wananchi wengi tu wanashangilia.
 
Haha, kuna watu wanaona haya matamko na maagizo ni mapya ...

TANESCO Leo haina hata chuo cha kuzalisha wataalamu wake......
Kwani watalamu wa umeme lazi a izalishe tanesco yenyewe mbona vyuo vingi tu we vipi bana.
 
Mkuu Nguruvi3 bora wewe umetusaidia kuorodhesha madudu haya ya Muhongo
ndani ya siku 100 tu

kinachoshangaza ni kuona why Magufuli hamuondoi haraka?
Nahisi baada ya bunge la bajeti kuisha kuna mawaziri watapunguzwa na wapya kupewa hatamu
Kwa sasa kafocus kwenye recruitment
 
Si ndo maana anaanza kusema watu wakamatwe wapelekwe kwenye makambi
kisa wanacheza pool...huku anatoa amri za kupunguza wafanya kazi kwenye mashirika..

yaani akiachwa kila kitu kiende ubongo wake unavyo mtuma...the worst is yet to come...
Atakagua mpaka chupi kama watu wamefua, bila kuwapa maji wala sabuni.

Ndio tutaona wanaomshangilia watashangilia vizuri.
 
Minaona wewe hujamuelewa vyema Rais
Hebu pitia tena hotuba yake
 
Hii ndio nchi pekee na ya kwanza kusikia Waziri na Rais wanatofautiana kwenye sera nyeti kwenye wizara nyeti kama hii.....

Yaani tuna nchi ya ajabu sana....

Unaweza tu kujiuliza swali la kijinga,kama wewe The Boss umeona huu mkanganyiko inakuwaje rais au waziri hajaona?

Yaani taarifa unaanza kuzipata wewe kabla yao au inakuwaje?

Yaani kama ni hivyo tunaishi kwenye nchi ya ajabu kabisa kuwahi kutokea duniani.....
 
Hili swali najiuliza kila siku
waziri anaongea a,b,c
anakuja Rais anasema x,y,z...
jambo ni hilo hilo.....unabaki mdomo wazi
Tatizo kubwa ni kukosa sera ya nishati iliyokubalika kwa wananchi. Ndio maana kila kiongozi anakuwa na mtizamo wake. Ila Muhongo inabidi asome alama za nyakati vinginevyo atawaingiza mkenge madalali wenzake yawe kama yale ya February na Muitaliano.
 
Umenikumbusha Magufuli anasema mashirika yapunguze wafanyakazi
halafu vijana wasio fanya kazi wakamatwe wapelekwe kwenye makambi
yaani mvurugano wa sera za kikomunisti na kibepari...
Ile hotobu ya wakuu wa mikoa ndio aliharibu sana,
Yale maagizo ni asset sana hapo baadaye
Hakuna mtu anajaribu kumsahihisha mpaka wasome JF
 
Hii ndio nchi pekee na ya kwanza kusikia Waziri na Rais wanatofautiana kwenye sera nyeti kwenye wizara nyeti kama hii.....

Yaani tuna nchi ya ajabu sana....

Unaweza tu kujiuliza swali la kijinga,kama wewe The Boss umeona huu mkanganyiko inakuwaje rais au waziri hajaona?

Yaani taarifa unaanza kuzipata wewe kabla yao au inakuwaje?

Yaani kama ni hivyo tunaishi kwenye nchi ya ajabu kabisa kuwahi kutokea duniani.....


Mkuu ndani ya huu mkanganyiko hebu imagine wewe ndo mkurugenzi wa TANESCO
ambae unaonana na waziri kila mara kumbe anayoyasema ni kinyume na msimamo wa Rais

pata picha utakuwa unamtii vipi?
usipomtii utabaki salama?
 
Hii ndio nchi pekee na ya kwanza kusikia Waziri na Rais wanatofautiana kwenye sera nyeti kwenye wizara nyeti kama hii.....

Yaani tuna nchi ya ajabu sana....

Unaweza tu kujiuliza swali la kijinga,kama wewe The Boss umeona huu mkanganyiko inakuwaje rais au waziri hajaona?

Yaani taarifa unaanza kuzipata wewe kabla yao au inakuwaje?

Yaani kama ni hivyo tunaishi kwenye nchi ya ajabu kabisa kuwahi kutokea duniani.....
Uongo unajulikana kwa contradiction.

Dhana ya kwamba tuna uongozi makini ni ya uongo, ndiyo maana tunaona hizi contradictions.

Kama kungekuwa na uongozi makini, wangepatana nini cha kufanya na kuongea katika baraza la mawaziri na mawasiliano mengine kiasi kwamba kusingekuwa na contradictions, angalau kusingekuwa na contradictions kubwa kama hii.

Mimi hupenda sana kutafuta uongo kwa kuangalia logical consistency na contradictions 🙂
 
Yaani Magufuli anawaongoza kwa style ya kuwafanya
wawe wana guess kasimama wapi...halafu wamfuate
ni kama hakuna maagizo kabisa...

So leo kasema kuhusu Tanesco kujiimarisha kuzalisha yenyewe
usishangae kesho Muhongo huyu huyu akaanza kulipigia debe hili hili
360 degree atazunguka na akaendelea kuwa waziri na wananchi kama kawa
tukiambiwa 'hapa kazi tu'
Lakini hii inaashiria nini? Inatoa picha gani kwa Magufuli? Sio Rais alipaswa tangu awali kabla ya kumpa hiyo kazi angempa Sera....mwelekeo na imani yake ktk sekta hiyo? Hii haituoneshi Mzee Magu Mzee wa ghafla na kuripuka?

Inakuaje Boss hukai na timu yako na kuwaambia unataka Ku achieve nini?

Hii inaonesha dhahiri Mr. President hana vision!
 
Sisi tunahitaji umeme wa uhakika, utapatikana vipi watajua wenyewe.

Hayo mambo ya sera nimeanza kuyasikia tokea mwishoni mwa miaka ya themanini.
Na Mimi nakuunga mkono.
 
Back
Top Bottom