Magufuli na Muhongo, hii sio confusion?

Magufuli na Muhongo, hii sio confusion?

Ningekuuliza swali lakini ngoja niache tu....

Tunachakachua thread ya watu bila sababu ya msingi....

Tuendelee kujadili kilichopo mezani haya mengine tukutane kwenye thread husika.....
I was about to say the same.

Tuendeleze mtanange kwingine.
 
Jamaa asipotuliza kichwa, atayumbisha zaidi huu uchumi wa mabox,
Symbion walitangaza $700m kama investment kwenye umeme wa gas kuanzia sept 2016,
Yaani hii nchi ni kama imeshauzwa yote tu.....
 
Yaani hii nchi ni kama imeshauzwa yote tu.....
Habari za kusimamisha mikataba zimemshinda Eva Morales wa Bolivia, licha ya moto alioanza nao.

Anacheza tu huyu.
 
Hayo ni Maelekezo Rasmi ya Rais kuanzia hapo ndio tumhukumu Prof. MUHONGO.
Kwa taratibu za utandaji, waziri ndie mdomo wa rais kwenye sekta inayohusika. Ndie anazungumza aliloamua rais na baraza lake kuhusu sekta hiyo. Tofauti kidogo tu lazima waziri aondoke. Nyerere alitofautiana na Mtei kwenye suala la IMF wakati, ingawa walitofautiana kwa siri ilibidi Mtei aondoke. Ndivyo serikali inavyoendeshwa kinyume chake ni vurugu tu.
 
Mkuu uko sahihi kabisa
nime avoid kum attack ili tuweze kujadili bila wale 46
kuja kuharibu thread...

Ndo maana nimesema anaongoza kwa style ya kuwafanya mawaziri wake
wawe wana guess misimamo yake
ni kama hawapi clear visions na maagizo ya nini anataka na wapi wapite
Kwa tunaomjua Magu hatushangai hata kidogo!! Ni mpenda sifa mno na mwongeaji asiye na kina!!

Kwa upeo wake hana namna ya kuwakwepa akina Muhongo!!

Kama unasema tu "zalisheni wenyewe" then camera ikigeukia upande mwingine unashika mengine hakuna tija!!

TANESCO imepambana miaka nenda rudi kuzalisha umeme yenyewe imeshindwa pamoja na mipango lukuki... Ni wakati sasa waseme walishindwa wapi na Rais awape njia wafanikiwe vipi....

Kwa watu aina ya Muhongo ni arrogant sana! Sidhani kama na huyo bwana watawezana....

Muda ni mwamuzi wa yote ngoja tusubiri tusijeambiwa tena kama wale kuwa "miaka 5 ya awali nilikua najifunza urais" nipeni mingine niutumie ujuzi wa kwanza!!!!
 
Ulikuwa unatarajia kipya kutoka kwenye hii serikali mkuu?
jamaa alitakiwa awe na idara 2 muhimu pale ofisini kwake otherwise atachanganyikiwa
Ana nia nzuri tatizo 'How'
1) team ya uchumi na maendeleo hapo wawe na malengo selective yenye multi effect kwenye uchumi
2)Since anapenda majipu basi kuwe na serious team inasimamia show zote, yeye anapata update daily

Labda kwenye bunge la budget wataleta ule mpango wao wa maendeleo
 
jamaa alitakiwa awe na idara 2 muhimu pale ofisini kwake otherwise atachanganyikiwa
Ana nia nzuri tatizo 'How'
1) team ya uchumi na maendeleo hapo wawe na malengo selective yenye multi effect kwenye uchumi
2)Since anapenda majipu basi kuwe na serious team inasimamia show zote, yeye anapata update daily

Labda kwenye bunge la budget wataleta ule mpango wao wa maendeleo
Kuanza tu kufikiria kuwa kuna kipya ambachop hii serikali inaweza kuleta ni kama kusubiri meli airport.......

Hakuna mwenye lengo zuri hapo nakuambia,watu ni wale wale na ofisi ni zile zile.......

Kama huniamini subiri muda ukuambie.....
 
Kwa taratibu za utandaji, waziri ndie mdomo wa rais kwenye sekta inayohusika. Ndie anazungumza aliloamua rais na baraza lake kuhusu sekta hiyo. Tofauti kidogo tu lazima waziri aondoke. Nyerere alitofautiana na Mtei kwenye suala la IMF wakati, ingawa walitofautiana kwa siri ilibidi Mtei aondoke. Ndivyo serikali inavyoendeshwa kinyume chake ni vurugu tu.

mkuu hii ni vurugu kuubwa....
 
The Boss

Si hilo tu, leo kamsakama Zitto kwanini anaongelea IPTL tu. Rais anasema asaidiwe ili atumbue majipu. Anachosema Zitto ndio usaidizi, waziri anasema hapana(confsusion)

Tena anasema kuna madudu mengine mbona hayasemwi. Huyu ni waziri anategemea madudu yasemwe wakati anaingia vikao vya baraza la mawaziri na ana dhamana na wizara

Ni huyu huyu, wakati waziri mkuu anaenda kuangalia madudu ya mita za mafuta yeye anatuma text zifunguliwe haraka(confusion)

Nadhani atampa Rais wakati mgumu sana, ni bora 'wangemwahi' mapema
leo ni mara kama ya tatu naandika humu kwamba uteuzi wa Muhongo ni balaa zaidi kuliko neema kwa taifa.
 
naanza kupata wasisi na haya matamko ya mh raisi. hata kama mnapinga na waziri wako sio kulionesha hilo kwenye media lina tuchanganya wananchi na kudhihirisha udhaifu uliopo
 
jamaa alitakiwa awe na idara 2 muhimu pale ofisini kwake otherwise atachanganyikiwa
Ana nia nzuri tatizo 'How'
1) team ya uchumi na maendeleo hapo wawe na malengo selective yenye multi effect kwenye uchumi
2)Since anapenda majipu basi kuwe na serious team inasimamia show zote, yeye anapata update daily

Labda kwenye bunge la budget wataleta ule mpango wao wa maendeleo

Shida ya nchi hii iko hapo
mtu hana team ya wataalam na kama anayo haisikilizi

Sasa Magufuli hotuba tu ya kuandikiwa haisomi
anazungumza yake...jiulize team ya washauri ya uchumi ataisikiliza?

nimewahi toa mfano humu
Makamu wa Rais wa Marekani sio mtendaji..hafanyi maamuzi
lakini still ana washauri wa kila sekta
unakuta Makamu wa Rais ana mshauri wa uchumi...
Rais ana mshauri wa uchumi na kuna mawaziri husika nao wana washauri...

Sisi Rais anaibuka tu na kusema kitu hata washauri hawana taarifa nacho
 
Kwa tunaomjua Magu hatushangai hata kidogo!! Ni mpenda sifa mno na mwongeaji asiye na kina!!

Kwa upeo wake hana namna ya kuwakwepa akina Muhongo!!

Kama unasema tu "zalisheni wenyewe" then camera ikigeukia upande mwingine unashika mengine hakuna tija!!

TANESCO imepambana miaka nenda rudi kuzalisha umeme yenyewe imeshindwa pamoja na mipango lukuki... Ni wakati sasa waseme walishindwa wapi na Rais awape njia wafanikiwe vipi....

Kwa watu aina ya Muhongo ni arrogant sana! Sidhani kama na huyo bwana watawezana....

Muda ni mwamuzi wa yote ngoja tusubiri tusijeambiwa tena kama wale kuwa "miaka 5 ya awali nilikua najifunza urais" nipeni mingine niutumie ujuzi wa kwanza!!!!
Watanzania ni binadamu wa ajabu sana,yaani tunadhani kuwa mtu akisema tayari kimeshafanyika tayari....

Tunaamini sana katika longolongo na ndio maana sisi ni wazuri sana kwenye kuzungumza na kuahidi meengi lakini utekelezaji ni sifuri...

Yaani kwa kuongea tu kila Mtanzania anaweza kuwa rais na nchi ikawa kama China kesho tu kwasababu za ajabu kama hizi za kuamini mtu anaposema tu na ndio maana hivi sasa kuna washangiliaji wengi kuliko wanaohoji utekelezaji....

Tupo tu kuangalia leo kafanya nini ili kesho tupate cha kuongea kwenye vijiwe vyetu vya WhatsApp.....
 
Ningemshauri Magufuli angekaa kimya kwanza apate twisheni ya urais baadae akiwiva ndo aanze hizo mambo zake...

Magufuli ameishushia hadhi sana nafasi ya urais kwa kauli zake kurupushi!!!

Nashangaa wanaomwita Nyerere ni wakweli kwake au wanataka vyeo?

eheeee
 
Ulikuwa unatarajia kipya kutoka kwenye hii serikali mkuu?
Ninanfahamu fika Magufuli... Sijawahi tegemea jipya toka kwake... Mzee wa hisia na jazba si MTU wa uhalisia zaidi sana ni MTU too manual... Aina ya Nyapara sikuwahi ona "uongozi" alionao Magufuli.
 
Ningekuuliza swali lakini ngoja niache tu....

Tunachakachua thread ya watu bila sababu ya msingi....

Tuendelee kujadili kilichopo mezani haya mengine tukutane kwenye thread husika.....
Hahahah hivi zile nakasha zetu zinaendelea tu? Nimezimis ntakuja....
 
Back
Top Bottom