ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 8,265
- 14,848
Ndio ukweli huo, mtu apende ama asipende Ila ndo hivyo. Tofauti na wagombea wengine, JPM ataendelea kuwa Rais hadi 2025.
Sababu za kumpa ushindi ni nyingi wala hazihesabiki, akianguka sana ni amepata robo tatu(75%) ya kura zote. Kwa hiyo ni uamuzi wa wapiga kura kuweka kura zao kwenye kapu la ushindi ama kuzitoa kafara.
Kuhusu wapinzani, kwanza watambue hamasa yao mitandaoni hailandani na uhalisia wa mitaani. Pili wasikate tamaa maana uchaguzi ni haki yao. Tatu, wawe tayari kukubali na kusaini karatasi za matokeo.
Kwa wale wanaopingana na huu uzi niwasihi wazitunze comments zao hadi mwezi November.
Sababu za kumpa ushindi ni nyingi wala hazihesabiki, akianguka sana ni amepata robo tatu(75%) ya kura zote. Kwa hiyo ni uamuzi wa wapiga kura kuweka kura zao kwenye kapu la ushindi ama kuzitoa kafara.
Kuhusu wapinzani, kwanza watambue hamasa yao mitandaoni hailandani na uhalisia wa mitaani. Pili wasikate tamaa maana uchaguzi ni haki yao. Tatu, wawe tayari kukubali na kusaini karatasi za matokeo.
Kwa wale wanaopingana na huu uzi niwasihi wazitunze comments zao hadi mwezi November.
