Aigoo
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 3,124
- 2,814
I fear death but am not ignoranceU fear because u are ignorance on it!!
I fear death but am not ignoranceU fear because u are ignorance on it!!
Ni sisonje
Sikiliza kuanzia dakika ya 1 mbele kwa mbeleee.Wanafuata maelekezo kutoka juu
kiingereza umekikosea ,U fear because u are ignorance on it!!
Niliwahi kuliita "Bunge Bange". Lakini wavuta bange wanaojitambua wakanilalamikia kwamba nimewatukana kwa kuwafananisha na bunge dhalili kama hili.
Natabiri anguko kuu la wabunge wa CCM 2020Mzee Magu Ana nia njema ya kukomesha wezi na wabadhilifu lakini kwa kuwa anshindwa kusimamia haki ya watu wake nina imani iko siku ataangukia pua , na nyie timu Magu unaoshabikia uoza huu eleweni mnaingamiza Tanzania
Hao maRc na mDc hawafai kupewa heshima kwakuwa wameshindwa kujiheshimu.Kutumia lugha nzuri hamuwezi???? Kwanini mnatukana viongozi wetu kama hamuwataki???? Lugha iliotumiwa na mleta mada kuwa RCs na DCs ni wahuni na washenzi haikubaliki....mods hawa watu wanatuharibia jukwaa letu na forum yetu kwa ujumla....
Hawajielewi ndo maanaKutumia lugha nzuri hamuwezi???? Kwanini mnatukana viongozi wetu kama hamuwataki???? Lugha iliotumiwa na mleta mada kuwa RCs na DCs ni wahuni na washenzi haikubaliki....mods hawa watu wanatuharibia jukwaa letu na forum yetu kwa ujumla....
FANYA KAZI wacha Longo longo....Mtaendelea kupata UKAKASI mpaka LYAMBA! poleni sana CHADEMA haya yanaitwa ni mateso bila chuki mliyataka wenyewe.....Mimi siwaelewi na Naaza Kuwadharau sana, Watu ambao Kila akitokea Mkuu wa Wilaya au Mkoa Kufanya Jambo la Kishenzi dhidi ya Wapinzani au Wananchi moja kwa moja, Basi watu hawa Wanasema Kuwa Rais hahusiki, hajawatuma.
Hawa Wakuu wa Wilaya, na Wakuu wa Mikoa wanateuliwa na Rais, Na Rais Mwenye akili Timamu hawezi Kunyamazia Wateule wake wanapofanya Mambo ambayo ni Uvunjifu wa Sheria. Kuna Matukio Mengi ya Kukera, ya Kihuni na Kihalifu yamefanywa na Wakuu wa Wilaya na wa Mikoa! Kama Kupora Rambi Rambi, Kuvuruga Misiba, Kuingilia Kihamba cha asili cha Mtu na Kuharibu Mazao tena bila hata amri ha Mahakama! Unamwingilia Mtu kwenye shamba la Asili! Ni kama Kumwingilia Magufuli Shambani kwake Chato! Kumkamata Mbunge wa Ubungo, Kuvamia Clouds!
Rais Magufuli Kama hawatumi hawa Wahuni, washenzi, na Wahalifu, Yeye au Mtetezi wake yeyote hapa anieleze ni lini alishawahi Kukemea tabia hizi au kumwajibisha angalau mmoja wa Watu wake hawa wahalifu, maana siwezi kuwaita wahuni viongozi!
Nani Kawaloga Watanzania Mpaka wanaheshimu watu Wanaobeba Mbeleko uhuni wa aina hii?
Mbona kishaanza! Ameunga mkono kuharibiwa mali za Mbowe.Nasubiri Mghwira naye aanze vioja.
Awamu hii mtalalamika sanaMimi siwaelewi na Naaza Kuwadharau sana, Watu ambao Kila akitokea Mkuu wa Wilaya au Mkoa Kufanya Jambo la Kishenzi dhidi ya Wapinzani au Wananchi moja kwa moja, Basi watu hawa Wanasema Kuwa Rais hahusiki, hajawatuma.
Hawa Wakuu wa Wilaya, na Wakuu wa Mikoa wanateuliwa na Rais, Na Rais Mwenye akili Timamu hawezi Kunyamazia Wateule wake wanapofanya Mambo ambayo ni Uvunjifu wa Sheria. Kuna Matukio Mengi ya Kukera, ya Kihuni na Kihalifu yamefanywa na Wakuu wa Wilaya na wa Mikoa! Kama Kupora Rambi Rambi, Kuvuruga Misiba, Kuingilia Kihamba cha asili cha Mtu na Kuharibu Mazao tena bila hata amri ha Mahakama! Unamwingilia Mtu kwenye shamba la Asili! Ni kama Kumwingilia Magufuli Shambani kwake Chato! Kumkamata Mbunge wa Ubungo, Kuvamia Clouds!
Rais Magufuli Kama hawatumi hawa Wahuni, washenzi, na Wahalifu, Yeye au Mtetezi wake yeyote hapa anieleze ni lini alishawahi Kukemea tabia hizi au kumwajibisha angalau mmoja wa Watu wake hawa wahalifu, maana siwezi kuwaita wahuni viongozi!
Nani Kawaloga Watanzania Mpaka wanaheshimu watu Wanaobeba Mbeleko uhuni wa aina hii?
Kutumia lugha nzuri hamuwezi???? Kwanini mnatukana viongozi wetu kama hamuwataki???? Lugha iliotumiwa na mleta mada kuwa RCs na DCs ni wahuni na washenzi haikubaliki....mods hawa watu wanatuharibia jukwaa letu na forum yetu kwa ujumla....
Mkuu huwezi ogopa kitu ambacho hakizuiliki, kifo kipo tu ila ni wivu wa kutangulia na kuwaacha wengine duniani ndo unatufanya hivyo.Mtu akitamani kufa basi ashakata tamaa na magumu yamemzidi but in real no 1 who wish to die kama ni mzima wa afya
Hizi lugha zimeasisiwa na hao hao unaodhani hawapaswi kuitwa wanavyowaita wenzao. Kuna mtu alimuita mwingine kichaa hadharani, ila kwa kuwa yeye ni ukoo wa mungu halikuwa neno.Kutumia lugha nzuri hamuwezi???? Kwanini mnatukana viongozi wetu kama hamuwataki???? Lugha iliotumiwa na mleta mada kuwa RCs na DCs ni wahuni na washenzi haikubaliki....mods hawa watu wanatuharibia jukwaa letu na forum yetu kwa ujumla....
Hii ndio lugha rasmi ya awamu hii ya tano!Kutumia lugha nzuri hamuwezi???? Kwanini mnatukana viongozi wetu kama hamuwataki???? Lugha iliotumiwa na mleta mada kuwa RCs na DCs ni wahuni na washenzi haikubaliki....mods hawa watu wanatuharibia jukwaa letu na forum yetu kwa ujumla....
Hana nia njema yoyote, mtazame matendo tuMzee Magu Ana nia njema ya kukomesha wezi na wabadhilifu lakini kwa kuwa anshindwa kusimamia haki ya watu wake nina imani iko siku ataangukia pua , na nyie timu Magu unaoshabikia uoza huu eleweni mnaingamiza Tanzania
Hapo hakuna matusi mkuu mbona lugha huielewi, hayo ni majina mtu hupewa kutokana na sifa/ tabia yake....mshenzi, mhuni, mwizi, lofa, ni watu wenye tabia za kishenzi. Uhuni, wizi, ulofa, kama tunavyoita mtu ni profesa kwa maada ya kuzawadiwa nishani ya uprofesa.Halafu moderators wanafurahia threads kama hizi