Kutumia lugha nzuri hamuwezi???? Kwanini mnatukana viongozi wetu kama hamuwataki???? Lugha iliotumiwa na mleta mada kuwa RCs na DCs ni wahuni na washenzi haikubaliki....mods hawa watu wanatuharibia jukwaa letu na forum yetu kwa ujumla....
Ni nani ambaye anastahli kufanywa mpumbavue na mshenzi? Mtu anayefanya mambo ya kipumbauve, kihuni na kudhihirisha ushenzi kama kuvuruga katiba inayoongoza taifa kwa makusudi, kuvunja sheria kwa kiburi na ufedhuri, aitwe nani?