gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,340
- 3,394
Unatuelza bila kusema chanzo cha hizo habari umekipata wapi.inakuwa ngum kuaminika hiyo habari yako
Tuwe na tabia yakupongeza vitu vizur hata kama vinatubana ila kama vina maslah kwa taifa tusahau vyama vyetu.Sasa naona kwakua mawaziri vivuli wapo upinzani unatokwa na povu