Magufuli kuondoa 'Mawaziri vivuli' bungeni

Magufuli kuondoa 'Mawaziri vivuli' bungeni

Viva magufuli kweli punguza tu hakuna umuhimu wowote vivuli vivuli futa kabsa

Mawaziri vivuli waliopita ilikuwa ni kelele tu za kulialia afu wanachukua posho za bure. Kwa Magufuli hiyo kwisha.
 
Ukawa wakisikia hivi wanaanza kutetemeka. Eti hata Msigwa nae alikuwa anajiita waziri kivuli. Thubutu chini ya Magufuli. #HapaKaziTu

Hana uwezo kisheria kufanya hiyo kitu kama vile hawezi kuondoa vyama vya upinzani. jifurahisheni tu. Besides if he is really serious about spending cut he must concentrate on eliminating waste and unnecessary spending like overseas trips, ghost workers and pensioners, luxury goods such as V8 vehicles and making excessive payments on seminar participants while they are on duty in the first place
 
Dr Magufuli katika mpango wake wa kupunguza matumizi ya Serikali yasiyokuwa ya Lazima, anatarajia kupunguza baraza la mawaziri, watakaokuwa wachache na wenye viwango stahiki.

Aidha pia anatarajia kupeleka mswada bungeni wa kuondoa mawaziri vivuli ili pia kupunguza gharama zisizo za lazima. Misamaha ya kodi kwa Wabunge nayo ni miongoni mwa marekebisho atakayoanza nayo Dr Magufuli.
Mkuu hivi kweli unafahamu utaratibu wa mabunge ya jumuia ya madola?
 
...Besides if he is really serious about spending cut he must concentrate on eliminating waste and unnecessary spending like overseas trips, ghost workers and pensioners, luxury goods such as V8 vehicles and making excessive payments on seminar participants while they are on duty in the first place
You don't need to resort to English to be understood. Our national language is such a beautiful and self-sufficient language.
 
Dr Magufuli katika mpango wake wa kupunguza matumizi ya Serikali yasiyokuwa ya Lazima, anatarajia kupunguza baraza la mawaziri, watakaokuwa wachache na wenye viwango stahiki.

Aidha pia anatarajia kupeleka mswada bungeni wa kuondoa mawaziri vivuli ili pia kupunguza gharama zisizo za lazima. Misamaha ya kodi kwa Wabunge nayo ni miongoni mwa marekebisho atakayoanza nayo Dr Magufuli.
Yaani ni kweli Magamba mmechanganyikiwa! Hili suala lipo kwa mujibu wa katiba, Sasa Magufuli ndani ya CCM atalitoaje hili na wakati CCM wao ndio watakua wapinzani? Una uhakika CCM watakidhi akidi katika bunge lijalo? Hili suala ni Sera ya UKAWA watakaporudisha katiba ya Warioba.Msidandie magari ya watu kama lenu ni bovu.
 
Mkuu hivi kweli unafahamu utaratibu wa mabunge ya jumuia ya madola?

Magamba mengi yaliyoko humu mkuu hawajui kitu! Ndio maana muda mwingi humu wanaandika upuuzi humu, Nilisikia wengi wao humu ni wale wasanii walioko kwenye kampeni.
 
Magufuli uongozi wako utakuwa tofauti na wengine kweli ukifanya hivo.
 
Waziri kivuli unafahamu ni nani, anatoka chama kipi na ana kazi gani?
 
Kama hajui hata faida ya mawaziri vivuli, basi hatufai.

Yaani ni tabu. Magufuli hajui kwa mini duniani pote wameona umuhimu wa mawaziri vivuli na washabiki wake nao hawajui.
Kweli CCM ni chaka la ujinga. Pamoja na kukaa bungeni miaka ishirini pengine hana hata taarifa utaratibu huo ulianzaje. Naanza kupata mashaka na weledi wake huyu jamaa
 
Kwa taarifa yako hao vivuli hulipwa posho kama mawaziri, thats Magufuli anaenda kuondoa kitu hiyo

Kufuta mawaziri vivuli ili kubana matumizi ni sawa NA kusema unafuta tume ya uchaguzi au vyama vya siasa. Haiwezekani. Demokrasia ni Gharama. Labda ataangalia sehemu nyingine na sio hiyo uliyotunga wewe. Yeye sio mjinga wa kutolijua hilo.
 
Hana uwezo kisheria kufanya hiyo kitu kama vile hawezi kuondoa vyama vya upinzani. jifurahisheni tu. Besides if he is really serious about spending cut he must concentrate on eliminating waste and unnecessary spending like overseas trips, ghost workers and pensioners, luxury goods such as V8 vehicles and making excessive payments on seminar participants while they are on duty in the first place

Ebu elewa kilichoandikwa,imesemwa atapeleka mswada ili ikipita iwe sheria ndipo itumike sasa suala lipi la kisheria usilolielwa ndg?
 
Kama Magufuli ana ubavu wa kutimiza hayo anayoahidi na kama siyo msanii aeleze kwanza adhabu atakayowapa walioingiza serekali kwenye gharama kubwa kutokana na kuuzwa kwa nyumba za serekali na adhabu atakayotoa kwa watu walioingiza serekali kwenye gharama ya kuwalipa fidia wachina wa minofu ya samaki.
 
Back
Top Bottom