Mkuu mimi nilifikiri Mawaziri Vuvuli ni wale wanaotoka vyama vya upinzani, au ulikuwa unamaanisha manaibu Waziri?
You don't need to resort to English to be understood. Our national language is such a beautiful and self-sufficient language.
Dr Magufuli katika mpango wake wa kupunguza matumizi ya Serikali yasiyokuwa ya Lazima, anatarajia kupunguza baraza la mawaziri, watakaokuwa wachache na wenye viwango stahiki.
Aidha pia anatarajia kupeleka mswada bungeni wa kuondoa mawaziri vivuli ili pia kupunguza gharama zisizo za lazima. Misamaha ya kodi kwa Wabunge nayo ni miongoni mwa marekebisho atakayoanza nayo Dr Magufuli.
Asante Sana Super Brand Magufuli kwa mipango ya kuturudishia Tanzania yetu tunayoita....huku Kwetu 95% ya kura ni zako!! Kigoma unaendelea kufanya vizuri hadi sasa 85% Kura za Urais ni Zako!!
UKIWA wamepagawa nilikuwa Mwanza jana....jamaa wametaharuki wameanza michaka michaka ya usiku na kufanya uharifu barabarani...... #hapakazitu#
Dr Magufuli katika mpango wake wa kupunguza matumizi ya Serikali yasiyokuwa ya Lazima, anatarajia kupunguza baraza la mawaziri, watakaokuwa wachache na wenye viwango stahiki.
Aidha pia anatarajia kupeleka mswada bungeni wa kuondoa mawaziri vivuli ili pia kupunguza gharama zisizo za lazima. Misamaha ya kodi kwa Wabunge nayo ni miongoni mwa marekebisho atakayoanza nayo Dr Magufuli.
Sawa headgirl wa Masaki IT Centre kwa mawazo yako ya "Ki-Pre form one,usilolijuwa ni kwamba,nafasi hizo unazotamani zifutwe na Makomeo,hazikuwekwa kwa hisani ya Lumumba fc project fame,ni utaratibu wa mabunge yote ya nchi zilizo na mfumo wa vyama vingi.Lengo lake ni kuleta mawazo mbadala katika uendeshaji wa serikali.Hoja yako ni sawa na kusema Kamati za kuisimamia serikali zifutwe,jambo ambalo litalifanya bunge letu kuwa kinyume na mabunge mengine duniani hususan mabunge ya nchi za Jumuia ya Madola.
Mkuu hawa vijana hawajui kitu kabisa.Mkuu,hawezi kuondoa mawaziri vivuli. Ndio mfumo tulionao. Unafuata mfumo wa kibunge wa Uingereza. Anachoweza kufanya ni kupunguza baraza la mawaziri na kufanya mawaziri vivuli wawe wachache pia!
Dr Magufuli katika mpango wake wa kupunguza matumizi ya Serikali yasiyokuwa ya Lazima, anatarajia kupunguza baraza la mawaziri, watakaokuwa wachache na wenye viwango stahiki.
Aidha pia anatarajia kupeleka mswada bungeni wa kuondoa mawaziri vivuli ili pia kupunguza gharama zisizo za lazima. Misamaha ya kodi kwa Wabunge nayo ni miongoni mwa marekebisho atakayoanza nayo Dr Magufuli.
Dr Magufuli katika mpango wake wa kupunguza matumizi ya Serikali yasiyokuwa ya Lazima, anatarajia kupunguza baraza la mawaziri, watakaokuwa wachache na wenye viwango stahiki.
Aidha pia anatarajia kupeleka mswada bungeni wa kuondoa mawaziri vivuli ili pia kupunguza gharama zisizo za lazima. Misamaha ya kodi kwa Wabunge nayo ni miongoni mwa marekebisho atakayoanza nayo Dr Magufuli.
Hataweza hayo. CCM ni kubwa kuliko yeye, hivi wewe wa wapi hukijui hata chama chako?