Magufuli kuondoa 'Mawaziri vivuli' bungeni

Magufuli kuondoa 'Mawaziri vivuli' bungeni

Kufuta mawaziri vivuli ili kubana matumizi ni sawa NA kusema unafuta tume ya uchaguzi au vyama vya siasa. Haiwezekani. Demokrasia ni Gharama. Labda ataangalia sehemu nyingine na sio hiyo uliyotunga wewe. Yeye sio mjinga wa kutolijua hilo.

Magufuli hafanyi kazi kwa mazoea, anaamini katika utendaji wake.
 
You don't need to resort to English to be understood. Our national language is such a beautiful and self-sufficient language.
I would agree with you if by our national language meant Swahili. But the last time I checked English was among the two national languages; And to prove this; look at the commands in JF and you tell me what language they are in. If I were you, I would appreciate one's freedom of choice. With my utmost respect to you.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Yaani ni tabu. Magufuli hajui kwa mini duniani pote wameona umuhimu wa mawaziri vivuli na washabiki wake nao hawajui.
Kweli CCM ni chaka la ujinga. Pamoja na kukaa bungeni miaka ishirini pengine hana hata taarifa utaratibu huo ulianzaje. Naanza kupata mashaka na weledi wake huyu jamaa

Usikariri ndg kua kila kitu kifanywacho nchi zingine nasi tufanye, tunao uwezo wa kutengenezq sheria zinazoendana na mazingira yetu ili juacommodate maendeleo japo mchakato utakua mgum lakin if u try unaweza fanikiwa ndo mana china,japan na kwingineko wanajiangalia kwanza wao jabla ya mataifa mengine so lets think BIG
 
Kama Magufuli ana ubavu wa kutimiza hayo anayoahidi na kama siyo msanii aeleze kwanza adhabu atakayowapa walioingiza serekali kwenye gharama kubwa kutokana na kuuzwa kwa nyumba za serekali na adhabu atakayotoa kwa watu walioingiza serekali kwenye gharama ya kuwalipa fidia wachina wa minofu ya samaki.
Magufuli hatokuwa raisi
 
Hana uwezo kisheria kufanya hiyo kitu kama vile hawezi kuondoa vyama vya upinzani. jifurahisheni tu. Besides if he is really serious about spending cut he must concentrate on eliminating waste and unnecessary spending like overseas trips, ghost workers and pensioners, luxury goods such as V8 vehicles and making excessive payments on seminar participants while they are on duty in the first place
Na wala hawezi kuwa raisi
 
I would agree with you if by our national language meant Swahili. But the last time I checked English was among the two national languages; And to prove this; look at the commands in JF and you tell me what language they are in. If I were you, I would appreciate one's freedom of choice. With my utmost respect to you.
Well, it does not serve any purpose, afaik; to use English while the thread is originally in Kiswahili. Unless by doing so you erroneously believe you will be better "understood".
 
Kama Magufuli ana ubavu wa kutimiza hayo anayoahidi na kama siyo msanii aeleze kwanza adhabu atakayowapa walioingiza serekali kwenye gharama kubwa kutokana na kuuzwa kwa nyumba za serekali na adhabu atakayotoa kwa watu walioingiza serekali kwenye gharama ya kuwalipa fidia wachina wa minofu ya samaki.

Magufuli anaamini katika utendaji wake.
 
Well, it does not serve any purpose, afaik, to use English while the thread is originally in Kiswahili. Unless by doing so you erroneously believe you will be better "understood".

Nimekusikia mkuu. Nasema tena; heshima zangu kwako
 
Dr Magufuli katika mpango wake wa kupunguza matumizi ya Serikali yasiyokuwa ya Lazima, anatarajia kupunguza baraza la mawaziri, watakaokuwa wachache na wenye viwango stahiki.

Aidha pia anatarajia kupeleka mswada bungeni wa kuondoa mawaziri vivuli ili pia kupunguza gharama zisizo za lazima. Misamaha ya kodi kwa Wabunge nayo ni miongoni mwa marekebisho atakayoanza nayo Dr Magufuli.




Baada ya kushindwa uchaguzi 2015, Magufuli hawezi hata kuwa kiongozi wa upinzani bungeni!
 
Nahisi kuna mambo kadhaa JPM hayajui licha ya kuwepo kwenye siasa kwa miaka mingi. Naona anafanya mipango ya mihimili mingine ya dola badala ya serikali
 
Kama ni kweli hii habari ni njema.!
 
Angesema ataleta ile ya Warioba sawa ila km sivyo hawezi
 
Huyu ndio tuliyekua tunamtaka sisi ni kiongozi mzuri sana Hongera Magufuli kuliona hilo

Mi nashauri tusubiri Oct 25 ili tuone ni chama gani kitatoa mawaziri vivuli. Inanikumbusha Sauli wa Tarsus alikuwa ameweka sheria kali sana dhidi ya wafuasi wa Yesu, baada ya muda mfupi naye akaongoka na kuangukia katika mateso aliyoya asisi mwenyewe!!
 
Mkuu mimi nilifikiri Mawaziri Vuvuli ni wale wanaotoka vyama vya upinzani, au ulikuwa unamaanisha manaibu Waziri?
 
Back
Top Bottom