PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,178
Lowassa Kuifilisi ccm ! Ihi imekaa Vizuri Sana.
Lowassa kashaifilisi CCM.... Saizi wana mpango wa kumleta Chamelion wa Uganda ili akapige show Mwanza
Yeye na wenzake mafisadi watafilisiwa. Magufuli yupo siliace na kazi yake.
MAGUFURI HAO HAPO JUU NDIYO WALIOIWEKA FISIEM MIFUKONI KTK KILA SEKTA,UTATHUBUTU KUWAGUSA?teh,teh,tehAlbart marwa riz na said lugum pamoja na maboss wa home shoping centre said pamoja na gharib wenye ma trilion ya masikini wa tz atawafanyaje?
Wafuasi atakaokwenda nao SEGEREA, UKONGA au KEKO.
Chameleone aje kufanya nini hapa? Okay, tuseme ni kweli, huoni kuwa ni hela ndio itakayotumika? Si bado wana hela?
Lowassa kashaifilisi CCM.... Saizi wana mpango wa kumleta Chamelion wa Uganda ili akapige show Mwanza
chameleons ndio mwake! akina diamond wamechuja NA show hazijazi tena!
Sikusema hakuna wasiomuunga mkono. Kanda ya ziwa anapendwa sana. Migodi zaidi ya 25 iliyokuwa imechukuliwa imerudishwa kwa wananchi katika awamu hii, ameahidi kuirudisha zaidi na kuwapa wachimbaji wadogo teknolojia ya kuwasaidia katika uchimbaji. Kwetu tunaoujua uchimbaji wa madini hilo ni jambo kubwa kwa mchimbaji wa dhahabu. Ina maana watapata mpaka concentration equipment ambazo unaenda kuipata gold ikiwa nyingi na ikiwa na impurities chache sana baada ya kuprocess ore nyingi tofauti na kutumia karai. Unategema watataka kipi tena?
Bado siku chache , hili jambazi lenu mtalikana.
Wuh, thank God kwa kukunyima jicho la ndani, uko sahihi sana unavyoamini, usije ukadanganyika kusikiliza propaganda tofauti na za chama kikuu
Kumbe ndio wale wale mjinga ndio mYeye na wenzake mafisadi watafilisiwa. Magufuli yupo siliace na kazi yake.
Yeye na wenzake mafisadi watafilisiwa. Magufuli yupo siliace na kazi yake.
Hapo ndio wanamuongezea lowassa wafuasi.
swissme
Miaka 54 yote mlokaa madarakani mbona hamkufanya hayo bado mwataka kudanganya Watz