Magufuli kumfilisi Lowassa

Magufuli kumfilisi Lowassa

Huu ni ujinga kumlinganisha lowasa rais wa nchi na pombe muuza pombe
 
Kama Kweli Mna Akili Timamu, Huyo Mgombea Wenu Angeanza Kuwakamata Na Kuwafilisi Wale Walionunua Boti ( MV DAR) Na YEYE Magufuli Akaizindua Toka Dar Kwenda BAGAMOYO!! Lkn. Hadi Leo HAIJULIKANI Iko Wapi!!!??
 
duuuh Lowasa fisadi wa ajabu sana ....mabilioni yote aliyonayo mpaka Magufuli anataka kumfilisi anahangaika kutafuta bilion tano

Unadhani assets hazina thamani? Assets alizonazo zina thamani ya mabilioni, kwa hiyo hata kama akiwa hana hela cash, kufilisiwa kunawezekana tu. Jiulize ameanza kutoa misaada yenye sura ya kampeni lini? Mpaka leo ametumia bilioni ngapi? Ingekuwa hela hizo hazijaisha, asingekuwa na wadhamini nyuma yake, lakini sasa unasikia Rostam na Wafanyabiashara kadhaa walioanza kumdhamini tangu akiwa bado yuko CCM.
 
Anajidanganya wakati kura hapati .lowasa chaguo LA mungu
 
Atarudi katika umasikini ambao anadai kuwa anaupigania
 
DSC00825.jpg

Sasa KWA TAARIFA YAKO, LOWASSA AKIPITA JK NA MWANAE NDO WATAFILISIWA VIBAYA MNO
 
AENDE KIFUNGONI IKULU, FISIEMU SI WALISHINDWA KUMSHTAKI? basi SISI WANANCHI TUMEAMUA KUMSHAKI NA ADHABU YAKE NI KWENDA KIFUNGONI IKULU NA KUTUTUMIKIA SISI WANANCHI WA TANZANIA KWA MIAKA 1O
 
Kwanza huyo fisadi scotland yard ya uingereza inamfuatia sana soon itamdabua coz alihamisha mamilion ya paundi ktk tz kwenda nche. hizo pesa alizipataje? mwizi mkubwa sana huyo. wait atanyoooooka tuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom