Ellyson
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 1,714
- 405
Siliace ndo kuwaje?Yeye na wenzake mafisadi watafilisiwa. Magufuli yupo siliace na kazi yake.
Siliace ndo kuwaje?Yeye na wenzake mafisadi watafilisiwa. Magufuli yupo siliace na kazi yake.
CCM imefanya mengi ila haimaanishi kuwa hakuna mapungufu, ndio maana kwanza tukamkataa Lowassa kuwa mgombea wetu ili tuubadili mfumo wa kuwa na watu kama yeye, Tukamuweka Magufuli ambae ana rekodi nzuri ya utumishi wenye mafanikio na ambae mpaka sasa ameweka wazi kuwa haridhishwi na utendaji wa waliomtangulia pamoja na kuainisha vipaumbele kadhaa ambavyo ukiviangalia vina kila sababu ya kuleta mabadiliko ya kweli kwetu Watanzania.
Kwa historia yake ilivyo na kwa ushahidi ulio wazi, atatekeleza hayo yote.
Wafuasi atakaokwenda nao SEGEREA, UKONGA au KEKO.
Hahahahaha eti Magufuli ni maarufu.... Hahahaha, haya ngoja nikuache.... Ila kama unataka kujua ulisemalo ebu tembelea hapa Sumve afu utake jina la Magufuli kama wanamjua.... Hahahahaha endeleeni kumdanganya...
Anapozomewa kama jana Mbeya ndio nafkiri anaanza kupata akili kuwa hali ni ngumu...
Uraisi hawezi. Atavurunda tuu. Simwamini na kura yangu hapati. Mapungufu ni mengi kuliko maendeleo ukilinhanisha na rasilimali tulizonazo. Aendelee kukudanganya wewe na familia yako.
Hebu niulizie kwa magufuli hapo lini atarudisha hela zetu alizonunulia kivuko chakavu? Lini atarudisha hasara aliyosababishia serikali kwa kukurupuka kukamata meli yenye vibali vya kimataifa vya uvuvi? Ukiona kama anapata kigugumizi hebu mwulize mbona barabara zake ziko chini ya kiwango? Mathalan toka chato kwenda bukoba viraka ndio vimejaa barabaran?
Unamfili nini kwani yeye ajawahi kugawa nyumba za serikali kwa vimada na ndugu mali zake ni za halali!Labda yeye ajifilisi nyumba sa serikali.
Baada ya Lowasa kuapishwa kuwa raisi wa tanzania.
Aliyeuza nyumba za serikali kwa hawara zake ajiandae kwenda segerea.
Ripoti ya CAG mwaka huu inaonyesha upotevu wa bilioni.262 kwenye wizara ya ujenzi waziri husika ajiandae kwenda segerea.
Bora JPM kafanya tukaona. mahakama nao wamekuwa bingwa wa kugeuza uongo kuwa ukweli,
Kwa hiyo inawezekana UKAWA ndio mlioshiriki kuharalisha wavuvi haram wa bahari kuu kuonekana walikuwa sahihi ili mpate hoja.
Yaan siasa zimewalevya hata mambo ya msingi hamuungi mkono. Wewe lofa kbs, issue hapa El ni Fisadi hapati nchi.
Tunamsubiri Oct 25 kumkata bila kuwaangalia mashabiki wake UCHWARA km wewe.
Siliace kweliYeye na wenzake mafisadi watafilisiwa. Magufuli yupo siliace na kazi yake.
Miaka 54 yote mlokaa madarakani mbona hamkufanya hayo bado mwataka kudanganya Watz